Ruge anakubalika na Mkuu wa nchi wakati Wasafi wanakubalika na Naibu mkuu wa nchi hapo ndipo ilipo shida...."Get well soon" Ruge..Wakati Tigo Fiesta wakifuta tamasha la mwaka huu huko Dar baada ya kuzuiwa kutumia uwanja wa Leaders Club huko Mtwara tamasha la Wasafi limehudhuriwa na viongozi wa serikali akiwemo naibu Waziri wa utamaduni na michezo.
Na naibu ana nguvu kuliko mkuuRuge anakubalika na Mkuu wa nchi wakati Wasafi wanakubalika na Naibu mkuu wa nchi hapo ndipo ilipo shida...."Get well soon" Ruge..
He runs the systemNa naibu ana nguvu kuliko mkuu
Naibu wazir alimfata Young Killer...naskia dogo anamdatisha sana muheshimiwa....