Nyimbo ya kisukuma

Nyimbo ya kisukuma

Natokea Kanda Maalum

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2016
Posts
750
Reaction score
1,327
Msaada wadau....... kuna nyimbo ya kisukuma huchezwa sana kwenye maharusi huku watu wakitikisa mabega huku wakishuka chini........
Moja maneno ninayo ya kumbuka ni pamoja na

"..........funyagi mahwele anyango........"

Anayeufahamu vizuri..... jina la msanii....jina la wimbo......hata akiuweka hapa itakuweka hapa au link yake itakuwa vizuri zaidi

Asante
 
kachunge ng'ombe huko ustuletee FRESTRESHENI hapa

yaan Rais kuwa msukuma bas mnafkiri kila kitu ni kisukuma!

nenda usukumab huko kamuulizie huyo mwimbaji! eti msanii khaaaaa
 
Kuna mtu niliwahi kuona humu JF ameuposti katika nyuzi fulani, watu wakamshushia povu nene, pia jina nakumbuka kama kitu fulani BHATOJA, au BHATOJA MAYO au BATOJA MAYO. (Kati ya hayo matatu, sikumbuki freshi)

Au ingia nyuzi wa wana CCM, hautakosa wasukuma wanao ujua kule.[emoji18]

Angalia youtube utaupata.
 
Kuna mtu niliwahi kuona humu JF ameuposti katika nyuzi fulani, watu wakamshushia povu nene, pia jina nakumbuka kama kitu fulani BHATOJA, au BHATOJA MAYO au BATOJA MAYO. (Kati ya hayo matatu, sikumbuki freshi)

Au ingia nyuzi wa wana CCM, hautakosa wasukuma wanao ujua kule.[emoji18]

Angalia youtube utaupata.
Asante mkuu
 
Msaada wadau....... kuna nyimbo ya kisukuma huchezwa sana kwenye maharusi huku watu wakitikisa mabega huku wakishuka chini........
Moja maneno ninayo ya kumbuka ni pamoja na

"..........funyagi mahwele anyango........"

Anayeufahamu vizuri..... jina la msanii....jina la wimbo......hata akiuweka hapa itakuweka hapa au link yake itakuwa vizuri zaidi

Asante
Kaimba Bob haisa unaitwa Bhatoja
Ukiingia yutube upo
 
Back
Top Bottom