Huyu jamaa anapenda hip pop na uwezo wa ku flow anao mzuri si mbaya.shida kubwa amekosa akili ya kutunga wimbo ukawa na maana yaani ukaeleweka anaongelea nini
Ana tofauti kubwa na fid q ambaye...
Mwenye hii movie inaitwa Regina iliyotolewa na kampuni ya JB Jerusalem films anisaidie. Nimeitafuta miaka miwili iliyopita bila mafanikio. Tafadhali mwenye nayo anisaidie naipenda sana.
Come back ya mzee wa maisha na muziki kama sijaielewa hivi, hii ngoma inavyoanza baadae inabadilika kabisa halafu pia kama ya kawaida Sana, sijui nyie mnaionaje wakuu?
KOFFI OLOMIDE": Kabla hata Group "QUARTIER LATIN" halijaanzishwa rasmi, nilikua nikifahamika Inchini kote kama "L'ETUDIANT LE PLUS CELEBRE DU ZAIRE" / MWANAFUNZI ALIE MAARUFU SANA INCHINI ZAIRE...
Habari zenu wakuu Mimi nashindwa kuelewa kweli kuhusu soudbrown na diamond platnumz mbona anamuwinda sana mtoto wa watu?
Ndo kutumwa na ruge mutahaba kiasi hiki kweli hakika kuna MTU mwisho wake...
Akiwa kashikilia nyaraka za kibenki mikononi mwake, kwa taratibu Johari alielekea chumba maalum cha maongezi cha benki yao. Chumba ambacho kilitengwa maalum kwa ajili ya kufanya maongezi na wateja...
Wakuu huu wimbo nimeubamba ndani siku mbili hizi. Naona umenikolea vibaya sana mpaka leo kutwa nzima nausikiliza
Do anybody is familiar with this very nice song?
Bila kupoteza Muda nitaeleza mapungufu na maboresho katika wimbo huu.
1.Wimbo huu umetumika kama tangazo pia la kinywaji cha Mofaya ambapo mwanzo alikiba anawasiliana na mpezi wake kumpa miadi ya...
Kwenye hii mnaita bongofleva alikiba ameitendea haki Sana kuna nyimbo Kama hii ya mwana
Alikiba
Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia
Mtoto peke yako...
Samata ni mchezaji mwenye magoli 11 katika ligi ya ubelgiji akiwa anaongoza,amaekua faraja sana kwa watanzania.
siku chache zilizopita alitengeneza makala inayomusuhu maisha yake kiujumla
Habari za week end wakuu.
Jamani kama kuna mwenye audio ya zamani ya nyimbo ya diamond I miss you, ile ambayo verse ya pili ni tofauti na I miss you yenye video..... naomba mnitumie wakuuu.
Asante
Naamini kuna wana TBC huwa wanapita humu!
1, Jumamosi ya kesho (Tarehe 15 december) rasmi mtazindua chanel yenu mpya kwa ajili ya utalii itayoitwa TANZANIA SAFARI, hii ni hatua kubwa na nzuri na...