Mwezi juni mwaka jana, mfalme wa msituni, alitangaza mtandaoni kuachia album yake aliyoiita 7 jours de la semaine (siku saba za wiki au wiki nzima),.
Jina.
Jina la album hii likimaanisha wiki...
Mwezi juni mwaka jana, mfalme wa msituni, alitangaza mtandaoni kuachia album yake aliyoiita 7 jours de la semaine (siku saba za wiki au wiki nzima),.
Jina.
Jina la album hii likimaanisha wiki...
Wow wo!! Karibuni members wote wenye uwezo WA kurap..na hii itakua text battle..unaanza na bars kazaa,anaefuata anaunga..as a music composer and sound engineer..atakae fanya vizuri,.nna beats kali...
ZAWADI YA HARUSI, Hii ni riwaya ya kusisimua na kuelimisha inayofuata ubora uleule wa ubunifu toka kwa mwandishi mbunifu inayomhusu msichana mrembo Josephine.
Licha ya uzuri aliokuwa nao...
“Mkeo amefariki Msiba uko hapa nyumbani?” Denis alipokea ujumbe mfupi kwenye simu yake, kuangalia ulitoka kwa Mama yake mzazi. Nguvu zilimuishia, alikuwa akiongea na mteja ofisini kwake lakini...
Wakuu habarini za usiku,bila kupoteza nguvu na muda kuna filamu moja hivi ya hapahapa bongo MRISHO MPOTO kacheza kama jambazi,filamu hiyo inahusu madaya ya kulevya yaliyo wekwa kwenye kiatu bahati...
Its true kwamba Alama ya rapa mzuri ni uwezo wa kughani mashairi ya kupendeza..,lakini Alama ya Rapa mkali ni uwasilishaji wake wa visa,matukio,adithi,katika njia ya kupendeza na kumvutia...
MAMA VANESSA
SEHEMU YA KWANZA
Muda ulikuwa umeenda sana macho ya Lucas Manyama yalianza kujifumba yenyewe ishara kuwa mwili wake ulikuwa umechoka na ulihitaji kupumzika. Saa yake ya ukutani...
Mzee wangu aliwah kunambia kuwa ntapata shida sana nikiwa mtu mzima dunia hii. Sabab aliniona ni mtu ninayependa na ku enjoy ukwel na hii imesababisha nikose hata marafiki wengi.
Hizi movie za...
KLABU ya Manchester United ipo katika mikakati ya kuutanua Uwanja wa Old Trafford katika upande wa majukwaa ili kuingiza watu 88,000 kutoka 75,000 wanaoweza kupata siti kwa sasa.
Hivi karibuni...
Today would have been Bob Marley's 69th birthday.
Marley was born in St. Ann Parish, Jamaica on Feb. 6, 1945. His Jamaican roots remained a cornerstone of Marley's personal identity and musical...
Kuna ile Christmas Carol ikipigwa RTD zama zile mwenye kuwa nayo jamani.
Iyooo Christmas iyo iyoyoyo iyo!one,two three four!
Happy Christmas iyoooyoo
Happy new year iyoooyoo
Nimejaribu kufuatilia nyimbo kadhaa za Hemedi phd (mpemba) anajua kuimba na nyimbo zake karibia zote ni nzuri.
Jaribu na wewe kusikiliza nyimbo yake mpya hii na ujaribu kutoa maoni yako pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.