Kwangu mimi nyimbo hizo mbili za hip hop zina catch feelings zangu sana na hazinichoshi, kulingana na message na rhythm na mpangilio wake wa mashairi. Je nyimbo zako mbili za hip hop ambazo ni...
Wimbo unaenda kwa jina la TUJIANGALIE kutoka kwa kundi maarufu Afrika Mashariki la SAUTI SOL, maudhui ya wimbo ni mambo ambayo yanatokea katika nchi zote za E.A katika nyanja zote za Siasa...
Leo nimepata muda wa kusikiza kwa makini huu wimbo wa huendi mbinguni, simjui jamaa aliyeimba huu wimbo lakini lazima nikiri jamaa alifikiri mbali sana
Wimbo huu ungeimbwa na mojawapo ya kambi...
Huyu jamaa anapenda hip pop na uwezo wa ku flow anao mzuri si mbaya.shida kubwa amekosa akili ya kutunga wimbo ukawa na maana yaani ukaeleweka anaongelea nini
Ana tofauti kubwa na fid q ambaye...
Mwenye hii movie inaitwa Regina iliyotolewa na kampuni ya JB Jerusalem films anisaidie. Nimeitafuta miaka miwili iliyopita bila mafanikio. Tafadhali mwenye nayo anisaidie naipenda sana.
Come back ya mzee wa maisha na muziki kama sijaielewa hivi, hii ngoma inavyoanza baadae inabadilika kabisa halafu pia kama ya kawaida Sana, sijui nyie mnaionaje wakuu?
KOFFI OLOMIDE": Kabla hata Group "QUARTIER LATIN" halijaanzishwa rasmi, nilikua nikifahamika Inchini kote kama "L'ETUDIANT LE PLUS CELEBRE DU ZAIRE" / MWANAFUNZI ALIE MAARUFU SANA INCHINI ZAIRE...
Habari zenu wakuu Mimi nashindwa kuelewa kweli kuhusu soudbrown na diamond platnumz mbona anamuwinda sana mtoto wa watu?
Ndo kutumwa na ruge mutahaba kiasi hiki kweli hakika kuna MTU mwisho wake...
Akiwa kashikilia nyaraka za kibenki mikononi mwake, kwa taratibu Johari alielekea chumba maalum cha maongezi cha benki yao. Chumba ambacho kilitengwa maalum kwa ajili ya kufanya maongezi na wateja...
Wakuu huu wimbo nimeubamba ndani siku mbili hizi. Naona umenikolea vibaya sana mpaka leo kutwa nzima nausikiliza
Do anybody is familiar with this very nice song?
Bila kupoteza Muda nitaeleza mapungufu na maboresho katika wimbo huu.
1.Wimbo huu umetumika kama tangazo pia la kinywaji cha Mofaya ambapo mwanzo alikiba anawasiliana na mpezi wake kumpa miadi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.