Sema jamani tuusemeni ukweli alikiba anajua

Sema jamani tuusemeni ukweli alikiba anajua

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,803
Reaction score
60,649
Kwenye hii mnaita bongofleva alikiba ameitendea haki Sana kuna nyimbo Kama hii ya mwana


Alikiba

Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia
Mtoto peke yako nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia

Ndani ya Dar es Salaame Ulikuja bure
Tena kimwana kimwana hujui Kuchuna
Nazile lawama za wale waliokuzoweza
Ulikuja jana na leo tofauti sana...

Tena Bora yule wa Jana, wa leo tofauti sana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
Tena Bora yule wa Jana, wa Jana leo wa Jana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma

Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]

Ukaanza kulewa madawa kuvuta kwa sana
Ndani ya Dar es Salaam mambo mataam Hayakukuisha
We bado mtoto kwa mama hujayajua mengi
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani

Amesema sana mama dunia tambara bovu
Kuna asali na shubiri, ujana giza na nuru
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana
Ulichokifuata huku pata, umekosa ulivyoacha

Kwa baba yako mwana, na mama yako mwana
Kwa vichache ulivyo vitaka, nivingi ulivyoacha

Mbona unjitesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mashairi mazuri sauti nzuri
Na Kuna wimbo wa Mac muga mchizi Mac muga hii pia naizimikia Sana
Na Kuna zipo nyingi akishirikishwa anafanya vizuri Sana kweli nineshaamini Ni msanii mkubwa anajua.tumpe nafasi Kama aliyonayo diamond na ye afanye makubwa
 
Kwenye hii mnaita bongofleva alikiba ameitendea haki Sana kuna nyimbo Kama hii ya mwana


Alikiba

Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia
Mtoto peke yako nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia

Ndani ya Dar es Salaame Ulikuja bure
Tena kimwana kimwana hujui Kuchuna
Nazile lawama za wale waliokuzoweza
Ulikuja jana na leo tofauti sana...

Tena Bora yule wa Jana, wa leo tofauti sana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
Tena Bora yule wa Jana, wa Jana leo wa Jana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma

Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]

Ukaanza kulewa madawa kuvuta kwa sana
Ndani ya Dar es Salaam mambo mataam Hayakukuisha
We bado mtoto kwa mama hujayajua mengi
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani

Amesema sana mama dunia tambara bovu
Kuna asali na shubiri, ujana giza na nuru
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana
Ulichokifuata huku pata, umekosa ulivyoacha

Kwa baba yako mwana, na mama yako mwana
Kwa vichache ulivyo vitaka, nivingi ulivyoacha

Mbona unjitesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mashairi mazuri sauti nzuri
Na Kuna wimbo wa Mac muga mchizi Mac muga hii pia naizimikia Sana
Na Kuna zipo nyingi akishirikishwa anafanya vizuri Sana kweli nineshaamini Ni msanii mkubwa anajua.tumpe nafasi Kama aliyonayo diamond na ye afanye makubwa
Mkuu tukiacha ushabiki wa kijinga tutajua jamaa anajua mno... Mimi sio shabiki wa Ally ila hii mpya kadogo sio poa Kaua sana
 
Kwenye hii mnaita bongofleva alikiba ameitendea haki Sana kuna nyimbo Kama hii ya mwana


Alikiba

Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia
Mtoto peke yako nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia

Ndani ya Dar es Salaame Ulikuja bure
Tena kimwana kimwana hujui Kuchuna
Nazile lawama za wale waliokuzoweza
Ulikuja jana na leo tofauti sana...

Tena Bora yule wa Jana, wa leo tofauti sana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
Tena Bora yule wa Jana, wa Jana leo wa Jana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma

Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]

Ukaanza kulewa madawa kuvuta kwa sana
Ndani ya Dar es Salaam mambo mataam Hayakukuisha
We bado mtoto kwa mama hujayajua mengi
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani

Amesema sana mama dunia tambara bovu
Kuna asali na shubiri, ujana giza na nuru
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana
Ulichokifuata huku pata, umekosa ulivyoacha

Kwa baba yako mwana, na mama yako mwana
Kwa vichache ulivyo vitaka, nivingi ulivyoacha

Mbona unjitesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee [x2]
Mashairi mazuri sauti nzuri
Na Kuna wimbo wa Mac muga mchizi Mac muga hii pia naizimikia Sana
Na Kuna zipo nyingi akishirikishwa anafanya vizuri Sana kweli nineshaamini Ni msanii mkubwa anajua.tumpe nafasi Kama aliyonayo diamond na ye afanye makubwa
Mkuu unakunywa MO ENERGY au MO FAYA
 
Kuna makosa huwa mnafanya. Haswa la kumlinganisha Kiba na Mondi. Tofauti yao kubwa,Ni mbingu na ardhi.

Usiniulize nani mkali. Mmoja ni mbingu mwingine ni ardhi.
 
Kwa kweli uwezo wa kuwaza nao aliugawa Mungu wengine aliwapa uwezo mkubwa wengine kidogo wengine aliwanyima kabisa sasa hapa nafikiria sana inawezekana kumfananisha mondi na kibamia kwel..
Tuache ulimbukeni penye ukwel tuseme ukwel....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom