Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwenye hii mnaita bongofleva alikiba ameitendea haki Sana kuna nyimbo Kama hii ya mwana Alikiba Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza Ona babio mamio wote wanakulilia Mtoto peke yako...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Samata ni mchezaji mwenye magoli 11 katika ligi ya ubelgiji akiwa anaongoza,amaekua faraja sana kwa watanzania. siku chache zilizopita alitengeneza makala inayomusuhu maisha yake kiujumla
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa wale waliofika tunduma naombeni mnitqjie baadhi ya mitaa ya huko
0 Reactions
3 Replies
45K Views
Habari za week end wakuu. Jamani kama kuna mwenye audio ya zamani ya nyimbo ya diamond I miss you, ile ambayo verse ya pili ni tofauti na I miss you yenye video..... naomba mnitumie wakuuu. Asante
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naamini kuna wana TBC huwa wanapita humu! 1, Jumamosi ya kesho (Tarehe 15 december) rasmi mtazindua chanel yenu mpya kwa ajili ya utalii itayoitwa TANZANIA SAFARI, hii ni hatua kubwa na nzuri na...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Mimi binafsi si mpenzi wa muziki wa taarabu lakini nimekuwa nikiufuatilia kwa muda sasa...Kitu kinachonivutia ni lugha ya picha ambayo inavutia sana endapo mtu unapata nafasi ya kuitafakari...
3 Reactions
125 Replies
41K Views
2 Reactions
2 Replies
609 Views
Nyimbo ya kufungia mwaka
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa Nimekuwa mfatiliaji wa muziki wa hiphop kwa mda mrefu, nyimbo nyingi zimetoka hivi karibuni,ila hii ya young killer imenifanya kuukumbuka mziki mzuri wa hiphop baadhi ya...
0 Reactions
33 Replies
12K Views
Inasemekana hii imetokana na mafanikio yake kwenye biashara zake mbali na muziki ambapo ameingiza mkwanja mrefu sana kwenye DiamondKaranga,ChibuPafyum,Ubalozi wake kwenye kampuni kubwa kama...
8 Reactions
102 Replies
52K Views
Sjava – Umqhele Zip Album Download. South African Hiphop, ‎Soul‎ And R&B‎ Artist Sjava Signed To Ambitious Entertainments Drops His Highly Anticipated 2 Disc 18 Tracks Album Titled Umqhele And As...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Haya ni maoni yangu binafsi ambayo naomba yaheshimiwe na simlazimishi Mtu ayakubali japo nakaribisha ' Kukosolewa ' nayo ila kwa Hoja na Mantiki. Sidhani kama baada ya kutokea tatizo...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
mi nadhani wanaume wapenda taarabu, michiriku, na vigodoro wanatuaibisha wanaume wengine wa dar..... nimesoma sehemu eti wanawake wa dar zamani walikua wanatoka geto wanachechemea saiv wanatoka...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba kujua namna ya kuona Isidingo kwenye simu badala ya You tube
0 Reactions
0 Replies
740 Views
DJ Sumbody hands out a potential club scorcher on the chronicle Monate Mpolaye which highlights rap investor Cassper Nyovest. The tune places Cassper in a new circumstance and he confessed all...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wapenz wa kpop tutambue wanamzik wake 1.BTS 2.TWICE 3.BLACKPINK 4.JAY PARK 5.RAIN 6.TAEYON andka unaowajua
0 Reactions
0 Replies
534 Views
SEHEMU YA 01 Kweli maisha ni safari ndefu. Kama ilivyo safari ndefu yoyote ile, ina milima, mabonde, mbuga na misitu. Na waswahili wana msemo usemao "Kabla hujafa hujaumbika".Leo unaweza kujiona...
6 Reactions
59 Replies
18K Views
Back
Top Bottom