Nadhani katika maduka yanayouza filamu za kibongo inaweza kuwepo.Yes ni bongo movie ktk movie zooote za bongo movie Tanzania hii naipenda sana huyo Dada aliigiza vizuri sana namajibu yake aliyokuwa anatoa aiseee
ukifika Agrey ulizia watu wakuonyeshe maduka wanayouza cd yapo mengi tuYes nipo dar mkuu, mtaa wa agrey duka linaitwaje mkuu?
iyo movie ni copy ya movie ya kimarekani inaitwa derived from eveMwenye hii movie inaitwa Regina iliyotolewa na kampuni ya JB Jerusalem films anisaidie. Nimeitafuta miaka miwili iliyopita bila mafanikio. Tafadhali mwenye nayo anisaidie naipenda sana.View attachment 726437
Kuna nyingine inaitwa FATUMAUmeiyona TUNU (hadithi za kumekucha ), bonge movie ni y JB na kijana wake
Movie Safi sana hiiiyo movie ni copy ya movie ya kimarekani inaitwa derived from eve
Itabidi niitafute maana sio kwakupenda movi hukuMovie Safi sana hii, ll cool j alisukumizwa huko kwa Eve akanogewa ! Akaharibu mipango yote