Hiki ndio kikosi nataman kianze kesho kwenye mechi ya kombe la klabu bingwa baran afrika Kati ya Simba na Al ahly. Kwanza napenda kusema kwamba sina lengo la kumpinga kocha au kumpangia majukumu...
Salaaam wakuu.......
Bila Shaka mu wazima na kheriiiii,Kama topic inavyojieleza natafuta wimbo wa tot/komba wa CCM NI ILE ILE mwenye nao au anajua link Tafadhali
Shukrani
Sent using Jamii Forums...
Please mwenye nyimbo hizi za bongo flava naziomba
1. Mtani jirani - Juma Nature
2. Kicheko tu - BDP
3. Kula kona - Manzese Crew
4. Bosi - BWV (from mwanza kirumba)
5. Haki - Mr II Ft...
Kwakeli niwe muwaz,napenda sana muziki a reggae, ni muziki ambao huuchoki kuusikiliza,kuanzia beats mpaka vocal ni namna gani hawa watu wanakipaji cha muziki.
Hata MTU asivutie kwenye kuimba lakin...
mi nakumbuka chorus tu na mara ya kwanza kuisikia ni kwenye kifo cha complex na viviani''mpenzi mi nakwenda safari mpenzi m na kwenda safari penzi letu ulilinde usiwe na hofu mpenzi penzi...
Mzuqa!
Huyu mzee hapana aiseee. Huu wimbo wake Loving you desperately ni mzuri mno.
Special dedication Valentines day 2019
Kuna kipande kaimba hivi:
Will I laugh, will i cry like, will I...
SIMULIZI;NAACHA UCHAWI.
MTUNZI;RAJA SADY.
WHATSAPP;0756920739.
SMS;0621047841.
SEHEMU YA KWANZA ( 01 )
ANZA NAYO....
Napenda kuwasimulia kisa hichi ili nanyinyi wenye mipango ya kuwa wachawi...
Nani alie na zile volume za Colombo,ni miziki ambayo ilikuwa ikitoka kwa volume kama kuna mwenye nayo ile volume 2 anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyimbo mpya kabisa alikiba akishirikiana Timaya msanii kutoka Nigeria
To be honest alikiba anajua jamani, ngoja nikuache usikilize mwenyewe kwenye link hapo chini.
Sent using Jamii Forums...
Kwa wale wenzangu wapenzi wa miziki ya lingala,naomba view zenu.Mimi binafsi ninawakubali sana hawa wasanii wote wawili kiasi ninashindwa kuamua yupi zaidi.Naomba mtazamo wako,nani mkali zaidi...
tukumbushane zamani kidogo,dsm kukikuwa na kumbi za cinema kama,empress,empire,newchox,avalon,cameo,odeon na drive in,,empress ndo ulikuwa ukumbi wa wajanja,hasa watoto wa ilala,kila jmosi...
Niliona uzi humu kuwa mwanaume unaanzaje kuangalia Sultan kama sio tabia za kike, ikanibidi nicheke kwanza na kumuona yule aliyeleta ule uzi na waliokuwa wanamsupport hawana akili timamu na...