Hizi taasisi mbili Simba na Yanga ni team zenye washabiki na wanachama wengi zaidi ya Chama chochote cha siasa hapa nchini,.. Mwekezaji mmoja mwenye hisa 49 ana nguvu na sauti kubwa sana katika...
Hatimaye baada ya Homecoming jamaa wameachia Timeline ya project zao zinazofata!. Tutaanza purukushani za Cinema mwaka ujao (2020) mwaka huu unapita.
Tuliokuwa tukiisubiri Guardians of The Galaxy...
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Nilikutana naye Mlimani City supermarket. Alionekana kuwa msichana mrembo sana, kuanzia sura yake ya kuvutia, umbo la namba nane, chuchu saa sita yani alikuwa ni...
Hivi karibuni kumeibuka tabia ya hawa wasanii kuwaimbisha watu waliotoa viingilio vyao kwenda kuwaangalia wakiperform kwenye stage. Binafsi naiona hii tabia kama kero na dhuluma kwa mashabiki na...
Kwa mtazamo wangu kwa nyimbo zote za kizazi kipya cha sasa hizi zinabeba ujumbe mzito na ambao utaishi muda mrefu kwa maana siasa na H.IV/AIDS ni masuala mtambuka.Hongereni prof na Ferooz kwa...
Abdul akiwa ameshangazwa na kitendo hicho cha mwalimu mlemavu kutembea karibu kilometa tano toka Bagamoyo mjini hadi hapo, alijikuta akishawishika kumpeleleza. Abdul, kwa mwendo wa kunyata...
Wakuu kwema
Muda c mrefu nimetoka kwenye mihangaiko yangu kwenye banda la chipsi.
Kwa sababu muda umeenda nikaamua kupita mtaa Fulani shortcut ili niwahi kufika gheto kwangu (mtaa mwingine)
Nikiwa...
Haya kwa wale wapenzi wa muvi kutoka studio za marvels tukutane hapa..
Mashabiki wa Avengers Team na Justice league Team.
Tujuzane muvi zitakazotoka kutoka Studios za marvel.
Superhero walio...
Karibu ufuatilie hasa kwa wale ambao hamumjui nduli Idd Amin.
Hii makala imenikumbusha vita vya Kagera, kina January na Nape walikuwa shule ya vidudu zama hizo!
Kwa wale wafatiliaji wa time traveler kwa kupitia hii YouTube channel, watakua wanamfahamu huyu jamaa anaeitwa Noah. huyu mtu alikua anasema yeye ni mtu kutokea future [2030]. Ameaminisha watu...
Wakuu mambo vipi ile movie ya sister marry iliyofungiwaga na body ya filamu Tanzania
Kisa haina maadili inadhalilisha kanisa katoliki hatimaye imeachiwa huru
Daaah! Movie moja kaliii sana
Humu...
Kwa gamers wa ukweli watakua wanaelewa hii.
Baada ya Michael kufake his death for 10years, Trevor agundua kua Michael yuko hai. Aamua kumfata nyumbani kwao ili kumuua lakini, Kutokuepo kwa Tracey...
Banshee
Game of thrones
Vikings
Iris
Sixflying dragons
American Odyssey
Power
Gangrelated
The 100
The originals
Vampire diaries
Money heist
Blacklist
Strike back
Bodyguard
Into the badland
The...
Leo sina mood kabisa ya kufanya chochote, nimejaribu kuangalia movies naona nashindwa. Kwa wadau wenzangu wa movies, ebu tupeane maujanja, ni movies gani huwa huwezi kufuta kwenye pc yako? Ni...
Katika pitapita zangu Facebook nimekutana na hii kitu nikaamua niilete hapa jukwaani.
Naomba uitaje movie quotation yoyote ile ambayo akiisoma mtu mwingine atajua hiyo ni movie ipi.
Kwa mfano...
Huu ni uzi maalum kwa wanaJF kuweka Nyimbo Wanazohisi ni nzuri Ajabu na Zitaishi Milele. Mtu ukitaka kusikiliza Nyimbo zilizoenda Shule Huu uzi utakuwa unakuhusu sana. Maana Kila mtu ataweka list...
1. Game Of Thrones
Seriously, mtu unaishi bila kuangalia game of thrones, i wish niifute akilin af niiangalie tena, tuzo yake ya best series in century ipo palepale
Hii ndo best series kwa yoyote...