Riwaya: Mwalimu Mwenye Mkono Wa Bandia

Riwaya: Mwalimu Mwenye Mkono Wa Bandia

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,672
Image may contain: one or more people



Abdul akiwa ameshangazwa na kitendo hicho cha mwalimu mlemavu kutembea karibu kilometa tano toka Bagamoyo mjini hadi hapo, alijikuta akishawishika kumpeleleza. Abdul, kwa mwendo wa kunyata, alimwandama mwalimu wake hadi mbele ya pango au chumba chenye kiza zaidi. Hapo asingeweza kuendelea zaidi. Alijificha nyuma ya nguzo ya nyumba hiyo na kumshuhudia mwalimu wake akiwasha tochi na kisha kujitoma ndani. (Kazi nyingine ya Ben R. Mtobwa.


Nakipitia tena MWALIMU MWENYE MKONO WA BANDIA).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom