Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 786
- 945
Kwa wale wafatiliaji wa time traveler kwa kupitia hii YouTube channel, watakua wanamfahamu huyu jamaa anaeitwa Noah. huyu mtu alikua anasema yeye ni mtu kutokea future [2030]. Ameaminisha watu wengi sana kuhusu kusafiri kwa muda.
Tarehe 23 July 2019, ApexTv walirusha video yake ambayo inaonyesha sura ya Noah. Kwenye hiyo video Noah anataja jina lake halisi. Lakini jamaa aliendelea na kua yeye hajatokea mwaka 2030, yeye ni kijana ambaye hana kazi ya kufanya {jobless} kwa iyo akaamua kutengeneza uongo kwamba anatokea mwaka 2030. Huyu chalii alitangazwa sana kwenye vyo vya habari vya huko Marekani. Pia kwenye lie detector chalii hakushikwa kabisa na hivyo vifaa ikapelekea watu wengi sana kumfatilia.
Wanaoamini time traveler ipo au inawezekana mna lipi la kuchangia hapa.
Tarehe 23 July 2019, ApexTv walirusha video yake ambayo inaonyesha sura ya Noah. Kwenye hiyo video Noah anataja jina lake halisi. Lakini jamaa aliendelea na kua yeye hajatokea mwaka 2030, yeye ni kijana ambaye hana kazi ya kufanya {jobless} kwa iyo akaamua kutengeneza uongo kwamba anatokea mwaka 2030. Huyu chalii alitangazwa sana kwenye vyo vya habari vya huko Marekani. Pia kwenye lie detector chalii hakushikwa kabisa na hivyo vifaa ikapelekea watu wengi sana kumfatilia.
Wanaoamini time traveler ipo au inawezekana mna lipi la kuchangia hapa.