Zilipendwa za Kale Dhahabu

Zilipendwa za Kale Dhahabu

Francis Mawere

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
969
Reaction score
844
Wadau mambo Vipi?

Nawasalimu wote na Poleni kwa Pilika za hapa na pale za kuusaka utamu wa Ugali na maisha Ahueni. Imekua kitambo sana tangu niondoke hapa Jf (Kiukweli nilipakumbuka Jf).

Leo nimepanda hapa Jukwaani ili kuwaletea tena ile Blog Yenu Pendwa ZILIPENDWA ambapo Blog hii Niliwahi kuitambulisha kwenu siku za nyuma lakini kutokana na mimi Kuwa Busy na mambo mengine nilishindwa kuiendeleza hivyo nikaamua kuipoteza kwa Muda.

ZILIPENDWA ni site Ambayo inahusika na Ngoma zote kali zilizo wahi kuwika miaka ya Nyuma Enzi za Muziki ukiitwa Muziki. Wale wadau wa Muziki huu tukutane kule ZILIPENDWA ambapo utaweza Pakua nyimbo kali kutoka kwa Kundi lako ama msanii wako uliye wahi mkubali kama Vile Msondo,DDC Mlimani, Tabora Jazz, Maquis Original, Less Wanyika nk.

tumia Link ifuatayo kuifikia site Hiyo >>>ZILIPENDWA
 
Mkuu unaweza ukaifanya page yako kudownload kwa page hiyo not to open another window/page.
Kazi nzuri. Zilipendwa ndio muziki sio bang bang za siku hizi
Shukrani Mkuu
 
Tuletee pia na page ya zilipendaa za Congo enzi hizo kuanzia miaka ya 92 kuja mpaka 2000 itapendendeza sana,asante!!
 
Mkuu unaweza ukaifanya page yako kudownload kwa page hiyo not to open another window/page.
Kazi nzuri. Zilipendwa ndio muziki sio bang bang za siku hizi
Shukrani Mkuu
Mkuu Ngoma zote ni One click download na haifungui link to the next window. Angalia browser yako mkuu labda iko attacked.
 
Wazee wangu mnakumbuka hiki kitu - Orchestre Veve-Mikolo Mileki Mingi....Mambo yalikuwa ni fire fire !!! hasa kuazzia dakika 4:26

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom