Mkuu hata mm nazitafuta kwel kweliUkiangalia ktk semina zake huyu mtumishi hua kuna tunyimbo tuzuri sana anatuimba twa kipekee,kama ''KWA IMANI TUTASHINDA'' ..''OHH SAYUNI SAYUNI'' N.K kama kuna mwenye hutu tunyimbo tuzuri anisaidie hapa tafadhari
Ukitupata tushtuane mkuuTule tunyimbo hua ninatupenda sana aisee
Nduhu umphayo...wamishaNkoi kinehe?
Mkuu ulifanikiwa kuzipata kama ulifanikiwa nitumie, maana nilienda kanisani kwake nikanunua CD mbili za nyimbo zake watu wakawa wanaazima hawarudishi sasa sina hata moja na nimekosa mtu wa kumtuma maana niko mbali na darMh'ola nkoyi,olehe'obhe?
Aisee sijawahi kupata hata kidogo hizo nyimbo bwana...Mkuu ulifanikiwa kuzipata kama ulifanikiwa nitumie, maana nilienda kanisani kwake nikanunua CD mbili za nyimbo zake watu wakawa wanaazima hawarudishi sasa sina hata moja na nimekosa mtu wa kumtuma maana niko mbali na dar
Itabidi nifanye maarifa nimtume mtu aninunulie maana CD zipo pale kanisani cd moja inauzwa 10,000Aisee sijawahi kupata hata kidogo hizo nyimbo bwana...