Back up ilinigomea, nimejaribu njia zote nilizofahamu, lakini ikashindikana.Mkubwa Kudo mbona kama hauko updated na technolojia ulishindwaje kufanya back up ya no. za wateja wako
Halafu mtu akihitaji riwaya zako zote ambazo umewahi kuziuza humu ikiwemo mkono wa chuma utamtoza pesa ngapi
OK sawa mkubwa nitakutafuta jioniBack up ilinigomea, nimejaribu njia zote nilizofahamu, lakini ikashindikana.
Riwaya zangu zote kwa pamoja huwa naziuza kwa tsh 15000/= Ila ukihitaji moja unalipa 2000/=.
Karibu, utaweza kunipigia kwa 0758573660. Ama kunitafuta whatsapp kwa 0658564341.(haipo hewani, inapatikana whatsapp tu.)