XXL wamesema! Inaanza kitchen party, halafu harusi

XXL wamesema! Inaanza kitchen party, halafu harusi

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,034
Reaction score
900
XXL ni kipindi kinachorushwa na Clouds Fm kuanzia saa saba mchana hadi saa kumi, leo wameingia na msemo wao "Inaanza kitchen party, ikifuatiwa na harusi" mwenye kufahamu maana ya huo msemo naomba tafsiri.
 
Nadhani itakuwa tamasha lao la fiestaaa...Kitchen-part (apa wameandaa nyama chomaaa, promotion za vitu mbali mbali kwa wafanya biasharaaa).

Harusi (tukio lenyewe la wasanii kupanda jukwaaniii na kuimba TILLL morning).

BABA KASEMAAaaaaa...
 
kwa nilivyoelewa ni kitchen party ni wasafi na Fiesta ndo harusi eenh....ngoja nisubirie maoni ya wengine!
 
XXL ni kipindi kinachorushwa na Clouds fm kuanzia saa vii mchana hadi saa x, leo wameingia na msemo wao "Inaanza Kitchen Party, ikifutiwa na Harusi" mwenye kufahamu maana ya huo msemo naomba tafsiri.
Nilivyoelewa mim... Konde atachoma ubani kama kaka siku ya harusi, maana bi harusi atakuwa kashafundwa siku ya kitchen party!
 
XXL ni kipindi kinachorushwa na Clouds Fm kuanzia saa saba mchana hadi saa kumi, leo wameingia na msemo wao "Inaanza kitchen party, ikifuatiwa na harusi" mwenye kufahamu maana ya huo msemo naomba tafsiri.
Wanaume kama mabinti
 
XXL ni kipindi kinachorushwa na Clouds Fm kuanzia saa saba mchana hadi saa kumi, leo wameingia na msemo wao "Inaanza kitchen party, ikifuatiwa na harusi" mwenye kufahamu maana ya huo msemo naomba tafsiri.
Truly these guys are entertainer [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] loh waneno ya kanga kabisa haya [emoji91] acha tufurahi ss na vita zao.
 
Wenye maneno ni Dai kuzidisha uswahili. Na misukule yake sasa
 
Hio wameongelea uchaguzi huu wa safari hii, uchaguzi wa serikali za mtaa ni kama vile imeanza "KITCHEN PARTY", mwakani uchaguzi mkuu ndio "HARUSI YENYEWE".
[emoji23][emoji23][emoji23] jiwe kizani au jiwe moja ndege wawili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom