Admin1988
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,603
- 1,835
Heshima yenu wakuu.
Katika pilika pilika na huu ugumu wa maisha nimejikuta nauimba huu wimbo baadhi tu ya maneno.
......HATA UKULA UGALI NA CHUMVI Ooooh!
SHUKURU MUNGU AMINATA USIFE MOYO..........!
AMINATA, AMINATA, AMINATA.......!
Sasa kwingine nimesahau.
Natanguliza shukrani zangu kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika pilika pilika na huu ugumu wa maisha nimejikuta nauimba huu wimbo baadhi tu ya maneno.
......HATA UKULA UGALI NA CHUMVI Ooooh!
SHUKURU MUNGU AMINATA USIFE MOYO..........!
AMINATA, AMINATA, AMINATA.......!
Sasa kwingine nimesahau.
Natanguliza shukrani zangu kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app