decomm
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 726
- 666
Salaam.
Moja kwa moja kwenye mada:-
... Pale mziki unapokukolea kisawasawa na kujisikia furaha ama huzuni iliyopitiliza...
Unafurahia bila kushurutishwa...
Unahuzunika bila kulazimishwa...
Unapiga makofi ama kunyanyua mkono (mikono) juu bila kupelekeshwa na msemaji ama muimbaji...
Unapiga kelele bila kuambiwa kufanya hivyo...
Feeling like popping, jamming rhyming etc
Natamani ifike siku hapa Bongo wanamuziki, waimbaji wetu husasani wa kizazi kipya wawafikishe washabiki wao 'climax' ya furaha wakati wakitumbuiza mubashara bila kuwalazimisha.
decomm!
Moja kwa moja kwenye mada:-
... Pale mziki unapokukolea kisawasawa na kujisikia furaha ama huzuni iliyopitiliza...
Unafurahia bila kushurutishwa...
Unahuzunika bila kulazimishwa...
Unapiga makofi ama kunyanyua mkono (mikono) juu bila kupelekeshwa na msemaji ama muimbaji...
Unapiga kelele bila kuambiwa kufanya hivyo...
Feeling like popping, jamming rhyming etc
Natamani ifike siku hapa Bongo wanamuziki, waimbaji wetu husasani wa kizazi kipya wawafikishe washabiki wao 'climax' ya furaha wakati wakitumbuiza mubashara bila kuwalazimisha.
decomm!
