Natafuta muvie ya Sarafina ila ambayo ni ndefu( Extended). Maana hii ya sasa ni tofauti na niliyokuwa naangalia miaka ya 90. Iwe na kile kipande wanachoimba kanisani, pia kuna kile kipande jamaa...
Kwanza naomba ni declare sina ubaya na huu wimbo wao wa #Gere bali najaribu kutoa maoni tuu ili kuboresha tasnia hii ya music.
Inasikitisha sana wimbo wenye jina la kimwambao(Gere) kuwa na vionjo...
Hii inawahusu wale wanao fuatilia mziki wa rapp
Kenya kuna rapper maarufu kabisa kwa jina la Khaligraph Jones. Lakin nimekuja kujua kuna Group flan lipo Kenya hawa jamaa wana jiita AFROCENTRIC ...
Leo nilikuwa nasikiliza wimbo wa Bongo Dar es Salaam wa Prof. Jay nikiwa nahusisha na hali ilivyo sasa na ilivyokuwa kipindi huu wimbo umetoka, I think ni early 2000's; vingi vinavyotajwa kwenye...
I can do what I want,
I'm in complete control
That's what I tell myself
I got a mind of my own,
I'll be alright alone
Don't need anybody else!
I give myself a good talking to
No more being a fool...
Wadau nataka ni download movie ya kihindi inaitwa chalte chalte 2003. Nimeshindwa kuipata, nimeambulia triler tu. Wadau Naomba msaada wa kujua ni website gani nitapata kudownload full movie ya...
Kuna ngona moja hiv nasikia Sana mtaani na moja Kati ya mistari inasema hiv
Naisikuibiwa,nachanganyikiwa
nimechoka kusubili mbona utokei.
alafu chorus yake ni "kaputa" sijui nitakuwa nipo...
Bondia asiyepigika Floyd Mayweather ametangaza niya yake ya kupambana na Khabib pamoja na Conor McGregor kwa siku moja ambapo amepanga kuanza kumtandika Khabibu mchana kisha kummaliza kabisa Conor...
Wadau wa JF naomba nipate official website ambayo ntaweza kudownload movie ya CHALTE CHALTE 2003. mana nikijaribu kuutafuta napata triler. Naomba msaada kupata web official ya movie ya chalte...
Kwenye ule wimbo wa baddest 47, unaoimbwa hivi, sijui nikagongee nyagi au nikagongee veve,, sijui nikagongee banana au nikagongee yokozuna, anaejua maana ya kihuni ya yokozuna ni nn atuambie...
Nimekuwa muhanga wa kudownload series mzigo mzima halafu mwisho wa siku najilaumu baada ya kuona nilikosea kuchagua!Mara nyingi huwa nasoma tu short story ya series,itakayonipendeza naichukua...
Wapenzi wa series iliyovuma kipindi cha 2016-17 Homeland na mwana Dada Kerry Matson imerudi upya na kwakishindo kikubwa Soul Katekwa na talebani itafute.
Utangulizi:
Pengine umejaribu kuangalia series ya Game of Thrones lakini umeshindwa kuielewa kwa sababu mbalimbali.
Hapa nakupa utangulizi wa baadhi ya mambo yaliyotokea katika dunia hii ya...
Only lengendary understand this seasons
Ipi ilikukoshaa na hasa tukio gani huwezi lisahau.
Changia tuone picha itabaki kuwa ni dhahabu.
Only Lengendary wanazielewa hizo picha
Naanza GOT John...
Habari zenu wakuuu...!!!ni hivi nilikuwa na shida moviee yeyote ya kibongo ambayo ni nzuri nicheki mda huu nimemiss movie za kibongo kwaiyo kama,
Kuna yeyote anayejua jina la bongo movie nzuri...
Yani nipo sehemu napata upepo mara unapigwa wimbo wa Juma Kakere. Kama ni mfuatiliaji wa muziki wa dance utaujua. Sasa ni wimbo mtamu sana, tena wa siku nyingi. Najiuliza, kilichomfanya kuimba...
TAHADHARI!! Kama huna kichwa cha kuelewa na kuchambua mistari ya hiphop bora upite kushoto, hutakaa waelewa Fid Q na Joh milele.
Asee nimesikiliza hii nyimbo zaidi ya mara 3 yani alivyozungumza...
Yani kuna ngoma kibao zimewekwa ndani WCB, lengo lao kutaka tu kupinzana na Konde Boy.
Eti Rayvany Mr Nyegezi katoa ngoma 5 bada ya jeshi kutoa. Sasa Diamond anasubiri siku tu Harmo akitoa ngoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.