Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari wakuu, Katika miaka ya 2015, nimekuwa nikifuatilia Series moja inayokwenda kwa jina la FRINGE. Ni season kali sana ambayo sijawahi kuona tena kwa upande wa Series za kisayansi. Hii ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama tittle inavyosema na ni kwanini Hiyo thriller movie kwako ni best?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napendelea sana kuangalia movie na series za commedy na baadhi ya series commedy nashauri wapenda commedy wenzangu waziangalie (hapa nitataja kumi bora tu) 1. Friends 2. Seinfeld 3. The Big Bang...
3 Reactions
65 Replies
7K Views
Jamani kuna wimbo wa bongo flava unakipande kinaimbwa "hivi ni nini kimefanya unipendeee, unazidi kunipa mawenge" nimeutafuta bila mafanikio. Msaada plz Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
938 Views
Nduguzanguni naombeni horror movie (movie yakutisha) ya kizungu yenye maudhui kama Final Destination. Sitaki iwe na maudhui ya zombie, vampire au kishetani.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wazee dude hilo Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Wimbo huu unapigwa hapa Turin italy muda huu karibu na piaza navo Ekwuemeeeeeee ekwueeeeme Kweli afrika ipo siku itatawala dunia.
0 Reactions
2 Replies
832 Views
Hawa jamaa wa Block 89 ya Wasafi wanaongeaga vitu vingi sana hawavijui! Too much lies! Story za Kobe (wao wanamuita Kobe na sio Kobi) zimepotoshwa sana kuhusu basketball. Most of them are...
13 Reactions
61 Replies
8K Views
Habari wanajamvi Mimi sio mwandishi mzuri ila kuna kitu nimeanza kukiona kwenye hii Media mpya ambayo ina msemo "Hii ni ya kwetu sote". Ukweli ni kwamba siku hizi hii media imeanza kususa kabisa...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Hii ndio sura ifuatayo, kusema heri mfalme wako oh (Ekelamu ya se, kumisa nde mokonzi yo oh ) Viumbe vya ulimwengu, msifu Mungu badala yake (Worldly creatures, praise God instead) Hii ndio...
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Rapper ROSA Ree Atoa Wimbo Mpya Unaoitwa "Balenciaga" Tazama VIDEO Hapa Mambo ya Vitamini Uuuuuuuuu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nani zaidi kati ya Drake na Kendrick Lamar katika Hip Hop??
0 Reactions
86 Replies
7K Views
Binafsi ni, 1. Michael Jackson 2. Whitney Houston 3. R-Kelly Shuka na yako !!!
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Verses hizi hapa niwekee vocal na biti unitumie PM.Ukiwa na vese za kuongezea weka hapa......Master Jay, Majani. Ney wa Mitego, Roma Mkatoliki. Kama unafanya kazi Weka salary mezani Tuoneee sasa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya maneno kwenye chorus huwa siyaelewi sijui waliimba nini. Ni remix ya niite basi, imeimbwa na wakali kwanza ....niite basi mpenzi uwe wangu, nikakutambulishe kwa ndugu zangu, shida...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] kuna nyimbo nikizisikiliza lazima nijifunze kitu asee ---:::--- -Kala Jeremiah -Nchi Ya Ahadi . -Roma mkatorki- 2030 -Kala Jeremiah -Dear God -Kala...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari tena waungwana! Kitambo sana sijaongelea kuhusu filamu. Leo nimerudi tena. Jana nilipata kuitazama filamu ya "Bohemian Rhapsody" iliyotoka mwaka wa 2018. Si ajabu imepata kuuzwa sana hadi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
The Inspirer When You Fall A Poem There are times when you just feel tired, tired of trying to fix things, tired of trying to carry on. You tried to write that book but it can’t be finished...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
upo hiv una sound anko hamisi tucharo najua nimekosea kutamka kihindi lakini kitu Kama hicho.
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Jay-Z na Beyonce ni miongoni mwa watu ambao walibaki wamekaa wakati wimbo wa taifa la Marekani ukiimbwa kwenye ufunguzi wa fainali za #SuperBowl usiku wa kuamkia leo. Tafsiri yake ni kutounga...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom