Simulizi : Penzi Penzini...

Xoxa wear

Member
Aug 22, 2019
29
33
LOVE STORY: PENZI PENZINI
SEHEMU YA 1.
AGE : 18+

Alice ni msichana mrembo wa sura na umbo, ana rangi ya choculate, mrefu wa wastani na ana macho ya kusinzia, shavuni ana vitundu vidogo viwili ambayo huonekana anapocheka (dimpoz) na mdomoni katikati ya meno yake ya mbele kulikuwa na nafasi(mwanya) .Vitu hivi vyote vilimfanya aonekane mzuri na wa kipekee zaidi. Mbali na uzuri wote huo alikuwa na mwendo wa kimiss ambao ulihakisi uzuri wa umbo lake ambalo kwa wakati huo alikuwa ni mwembamba sana.

Udhaifu wake mkubwa ulikuwa ni kucheka cheka ovyo hali iliyomfanya kutamaniwa sana na wavulani kwani kitendo cha kucheka kiliruhusu mwanya na dimpoz kuonekana mda mwingi vitu ambavyo vilimfanya aonekane kuwa ni mzuri sana.Kwa kulijua hilo mda mwingi alikuwa ni mtu wa kutabasamu na kufurahi jambo lilomfanya aingie kwenye orodha ya wanawake wazuri huku dunini.

Vigezo hivi vya Alice havitofautiani sana na Gaston ambayo ni handsome boy aliyejaliwa uwezo mkubwa darasanii na huwa ni kivituo cha wasichana wengi .Pamoja na mambo mengne pia Gaston ni maarufu kwa kipaji chake cha kucheza mpira wa kikapu (basketball).Gaston pamoja na uhandsome aliojaliwa pia ni mstaarabu, mpole na mtanashati vigezo vinavyomfanya kuwavutia wadada wengi. Pamoja na kuwa na vigezo vingi bado hakuwa mtu wa mademu na alikuwa na msimamoo sana na kuamini kuwa siku zote anapaswa kuwa na msichana mmoja.
 
SEHEMU 2
Vigezo hivi vya pande zote mbili yaani Gaston na Alice sio ndio vilivyowakutanisha bali masomoo ya elimu ya juu Katika chuo cha Ushirika Moshi na Ushemeji waliokuwa nao.Alice anamwita Gaston shemeji kwa sababu ni boyfriend wa rafiki yake anayeitwa Jesca ambaye kwa sasa yupo Dodoma. Alice kimakazi alikuwa anaishi Dodoma na kwa sasa amejiunga na chuo kikuu kishiriki cha Ushirika na Biashara (MUCCoBS). Gaston ndo mwenyeji wake kwani yeye alikuwa mwaka wa pili na ndo mtu pekee anaye mjua hapo chuoni kwani ndo kwanza alikuwa ameripoti.

Siku ya kwanza tu walipoonana kila mmoja alivutiwa na mwenzake na kutamani kama wasingekuwa mashemeji.Kila mmoja alihisi kuwa mwenzake ana vigezo vya ziada vinavyomfanya awe kivutio kwake.Alice amepewa na rafiki yake Jesca jukumu la kumlinda na kumchunga Gaston na wakati huo huo Gaton amepewa kazi ya kumkaribisha Alice chuoni na kumuonesha mazingira na kumsaidia kimasomo kwa sababu yeye alikuwa ni mwaka wa pili.

Ni wiki mbili sasa zimepita tangia Alice aripoti chuoni na kila siku alikuwa akitamani sana kupata mda waongee na shemeji yake Gastoni.Siku moja jioni wakati wanafunzi wengine wakijiandaa kwenda vipindi vya dini Alice alijikuta tu amempigia simu Gaston na kuomba waonane.Kwa bahati nzuri Gaston na yeye alikuwa bado yupo eneo hilo.Wakatafuta mahali hapo hapo chuoni wakakaa na mazungumzo yao yalikuwa hivi.

Alice; Hivi viti vya sumenti tulivyokalia ndo vinaitwaje tena?

Gaston; Ahaaaaaaaa kwani nini umeuliza, kwani wewe umeambiwa vinaitwaje?

Alice; Nilitajiwa jina gumu kweli nishalisahau.

Gaston; Vimbweta?

Alice; Yes exactly (ndio, umepatia)
 
SEHEMU 3

Gaston; Kwa nini umeamua tukae hapa ili hali kigiza kimeshaingia na sehemu hii hamna taa?

Alice; Hapana sehemu hii nimepapenda tu siunajua room (hostel) sa hivi kila mtu yupo alafu kwa wewe mtoto wa kiume sio vizuri kuingia chumba cha watoto wa kike tupu usiku huu.

Gston; Ni kweli, lakini mimi nilikwambia uje gheto kwangu.

Alice; No, leo sijisikii kutoka nitakuja siku ingine, ebu nambie ulitaka kuniambia nini?

Gaston; Kwa mazingira haya siwezi kukuambia kitu, ila kwa kuwa huwezi kutoka nitakwambia hiyo siku ingine ukiweza kutoka nje ya chuo.

Alice; Sawa haina shida, tutatoka wikiendi uniambie.

Hayo ni baadhi ya mazungumzo mafupi baina ya Alice na Gaston mtu na shemeji yake wakiwa juu ya kimbweta cha chuo.kwa wale wasiojua kimbweta ni viti vilivyotengenezwa kwa sumenti kwa ajili ya kujisomea na vinapatikana nje ya madarasa mara nyingi huwa vipo vyuoni na vina majina mbalimbali kulingana na chuo husika.

Wakati wakiendelea na stori za hapa na pale kwenye sehemu hiyo yenye kigiza na mbu wasumbufu mara kuna watu wawili walikuja tena wa jinsia mbili tofauti hapa namaanisha wa kike na wa kiume. Gaston akamwambia shemeji yake ebu tujifiche tuone sinema maana kila siku nasimuliwaga eti kuna wanachuo waliochizika wanakuja huku kufanya mapenzi. Wale watu wawili wa kike na kiume wakaenda kwenye Vimbweta vilivyojificha zaidi na kutulia hapo. Walikuwa wanaongea kwa sauti ya chini sana hali ambayo iliwafanya Alice na Gaston wasogee zaidi kujua nini kinaendelea.
Kwa mbali walisikia wale watu wakibishana kuhusu bei,
Wa kike; Tatizo lenu nyie wanafunzi wa secondary mnataka vitu vizuri wakati hamna hela. Mtu huwezi kulipia hata hela ya guest bado mnanisumbua hamuoni kuwa mnazalilisha kazi yangu?
 
SEHEMU 4

Wa kiume;Hapana dada, mambo kusaidiana siunajua tena mambo ya uboyzini

Wa kike; Haya nitakufanyia buku tano, bao moja

Wa kiume; nifanyie bao mbili basi maana nmezidiwa sana

Wa kike; Haya poa lete hiyo hela usije ukafa kwa ugwadu.

Waswahili husema ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, kwenye vimbweta sehemu ambayo wenzao hutumia kujisomea mchana wao waliamua kugeuza guest, kweli mapenzi ni upofu. Mara yule wa kiume akaanza kuvaa soksi(kondom) tayari kwa mapambano. Alice kuona vile uzalendo ulimshinda akaanza kuuliza.

Alice;Ina maana yule dada mrembo vile anajiuza? Kabla hajajibiwa akaongeza swali lingine hivi ni mwanachuo kweli?

Gaston; Alimjibu kwa kumuuliza swali, sasa kama sio mwanachuo amewezaje kuingia eneo la chuo?

Alice; hapana bwana anaweza kuwa sio mwanachuo kwani pale getini si mtu yeyote anaweza kuingia?

Gaston; Yote yanawezaekana ila yule kijana inaonesha ni mwanafunzi wa secondari

Alice; Sasa kwa nini tusiripoti hili tukio?

Gaston safari hii hakumjibu kitu kwani alikuwa bize akiangalia watu wakivunja amri ngumu ya sita tena juu ya kimbweta sehemu ambayo mchana wanachuo huwa wanafanyia discussion. Basi Alice alijiunga na shemeji yake na kuendelea kuangalia wenzao wakibadilishana staili. Alice naye akaihisi mzuka imempanda akamsogelea zaidi shemeji yake na......

**ITAENDELEA.***
 
SEHEMU

Walimuona yule dada akipanda juu ya kimbweta na kupiga magoti huku yule mwanaume akisimama tayari kwa kumwingilia kwa staili ya kinyume nyume.Yule dada alijibinua akamuachia kijana makalio kwa nyuma kisha akanza kumkatikia mauno.Kweli mapenzi ni upofu maana kijana alikuwa kama anachochea moto kwenye jiko la kuni huku mkono wake mmoja ukiwa kwenye kichogo na mwingine kwenye kiuno cha mrembo huyo.Utamu utamu huo wa mechi ulimfanya Alice msogelee zaidi Gaston na kutamani amkumbatie na wao wafanye ka mchezo hako.

Wale wadau hawakuishi hapo waliendelea kufanya yao na yule dada alijigeuza na kuangalia mbele.Akapanua mapaja na jamaa akafanya yake.Jamaa alikuwa amesimama na dada amekaa kwenye vimweta na hawakuvua nguo zote la hasha bali jamaa alifungua zipu tu na yule dada alishusha kidogo tu kufuli lake na kufanya upenyo mdogo ulioruhusu nyoka kuingia pangoni.

Mmmmmmmh iiiiishiiiiiiiiiiiiiiii yeaaaaah hapooo hapoooooooooo ni baadhi za sauti zilizosikika sauti zilizomfanya Gaston kuuma meno na kubetua mdomo wake juu kama mbuzi beberu aliyenusa nyeti ya mbuzi jike na kupata mzuka wa ajabu.Alitamani kumrukia Alice lakini ndo hivyo ushemeji ulikuwa kikwazo.Wote wawilii waliendelea kufaidi mautamu mpaka pale walipoona wenzao wamemaliza na kuvaaa nguo zilizokuwa zimechojolewa nusu nusu kama nyimbo ya Joh Makini.

Basi mechi ya wenzao iliisha wakavaa nguo na kuondoka zao. Gaston kuona hivyo ilibidi na yeye aage kwani mda ulikuwa umeenda sana na yeye alikuwa hoi bini taabani huku sehemu zake za mbele zikiwa tayari zimesimama na kuinua suruali.Alice aliligundua hilo na alitamani kucheka lakini alivunga na kukausha tu. Basi kila mtu akaondoka zake, Alice aliingia Sokoine hostel na Gaston akaondoka zake na kwenda gheto kwake sehemu moja wenyewe waliita madukani mahali ambapo alikuwa amepangisha chumba. Sio mbali kutoka chuoni na hii ni kutokana na uhaba wa vyumba ndani ya chuo, hivyo wanafunzi wote wa kiume isipo kuwa wale wenye matatizo maalumu walikuwa wakikaaa nje ya ch
 
Habari mambo naitwa Mr Equator Nimeandika ujumbe huu kuku omba swala moja tu!
Mimi nimetengeza website ya ku share story ambayo ni EquatorStory
Je umekuwa ukipata tabu kupost story zako hapa?
Hili ndo suluhisho lako.
Mimi nataka nkupe nafasi ya kuwa mmoja wapo wa kwanza kutumia hii website
unda account yako na uweze kupost story yako mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom