Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kutokana na teaser ilianza kusambaa tangu wiki ilioisha huko kwenye mitandao ya kijamii "FUNDI BORA KWAKO NI NANI" Hatimae leo mida ya saa nane majira ya mchana fumbo litaenda kufumbuliwa, Je ni...
6 Reactions
95 Replies
10K Views
Jana niliangalia movie inaitwa DOSTI ya kihindi. Hii movie imeigizwa mwaka 1964 aisee inatia simanzi ssna
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Lily omy Tusha mleta Chama lawana Mafundi wa Burudani Ndani Ya Nyumba Sasa Bado Sammisago Kamati Ikamilike Tukiwashe Wasafi Hatuna Show mbovu Tumekuja kutibu Homa Ya Burudani Usiwaze kaa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
I wish you all a very happy Valentine's day, and continue to maintain love among us as God has commanded us. Twende moja kwa moja kwenye Topic Jana kupitia page mbalimbali za social medias...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwa upande wangu nimeangalia filamu nyingi za kibongo, bahati mbaya nyingi sijaziweka kichwani. Ziko ambazo nimeona Mzimu unapisha magari, ziko ambazo Jambazi anavua viatu na kuvamia ndani 😁😁😁😁😁😁😁...
4 Reactions
53 Replies
9K Views
Which song is favorite to you? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya wasanii ukisikiliza yimbo zao utagundua hazina maadili ya kumjenga mtu. Wakati mwingine nadiriki kusema wakafanyiwe uchunguzi wa akili; sio wazima. Tunataka nyimbo zenye mafundisho...
1 Reactions
5 Replies
892 Views
Wale team Kik hapa mjini anzeni kukaa vikao ni Kiki gani itayosindikiza hili Dude, sijui mtatangaza kurudiana na Tanasha au Mtatangaza Harmonize kurudi WCB
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Mtikisiko wa Harmonize kujitoa WASAFI haukuwa mdogo japo japo kila upande ulijitahidi ku play low Kuna sababu haziwekwi wazi sana lakini kuna moja ambayo ndio inaweza kuwa chanzo.. Na hii ni pale...
32 Reactions
124 Replies
12K Views
For football and game of throne fans mambo yangelikuwa hivi endapo characters wa series bora ambayo haijawahi tokea na haiji tokea wangerikuwa wachezaji wa mpira wa miguu Vip ni character yupi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Naangalia hapa wasafi TV muda huu naona wana fanya kipindi kama vile vya East Africa tv. Wame copy kipindi cha kali za kale cha Eatv kinachopiga au kuwaleta kina Dula na muunganiko wa East...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Nipo naangalia Clouds Tv hapa wameweka moja ya show ya Chris Brown... Hatofautiani sana na anavofanyaga msanii wetu pendwa Diamond Platnumz... Zile tuimbe wote kama kawa, sauti out of normal...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama ni mpenzi wa Novel za James Hadley Chase Gonga hapa Ku-download
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Poleni na majukumu ndugu zangu. Ebu tuongee kidogo kati ya Drake na Kendrick Lamar nani zaidi kwenye Hip Hop. Napata taabu sana kujua nani zaidi?
1 Reactions
17 Replies
3K Views
1. Michael Jackson- Billie Jean 2. Neyo- When you're mad 3. Bruno Mars ft Damian Marley- Liquor Store Blue 4. Justin Timberlake- Mirrors 5. Kendrick Lamar ft SZA- All the Stars 6. Papa...
4 Reactions
82 Replies
7K Views
1. Corona ya Rayvany 2. Corona ya beka flavour 3. Corona ya Lava Lava 4. Corona ya Dogo Silla 5. Corona ya Mzee wa Bwax 6... 7.... 8.... Binafsi nimeilewa ya lava lava, ina melody kali mno sema...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
"Son, I've made a life Out of readin' people's faces Knowin' what the cards were By the way they held their eyes So if you don't mind me sayin' I can see you're out of aces For a taste of your...
2 Reactions
3 Replies
976 Views
Mbosso anaendelea kumkimbiza msanii Harmonize huko YouTube. Mmakonde naona anaprove kwamba nje ya Wasafi yeye bado ni msanii wa kawaida tu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
3K Views
RIWAYA: CODE X 3: THE REAL ME 1 MTUNZI: Tariq Haji SEHEMU YA 1 "Niko wapi, niko mbinguni au" aliongea Alex baada kufumbua macho kutoka katka usingizi wa kifo, "tulia kijana, utafikaje mbinguni...
10 Reactions
110 Replies
18K Views
Back
Top Bottom