Wamekusikia mkuuAisee mmejitahidi kwa kiasi kikubwa km hiyo mstari wa damu ipo vizuri. Sasa ili kupata pesa mtauza kwa platform gani mana CD hazina ishu mkiweka online wabongo wanapenda vya bure watapastiana tu na kujaza kwenye liblary zao kisha wataanza uziana kitaani bira nyinyi kupata chochote na mkisema muingie mkataba na AZAM na tv zingine wananyonya kishenzi msiwauzie hawa wajinga ndo wanafanya MOVIE za Kibongo zinakuwa mbaya kutokana na bei zao finyu,
yaani kuna mambo unatamani kufanya makubwa zaidi ya hayo lkn ukiwafikilia hao wadau wenyewe unabaki kuchoka tu.
HONGERENI MMEJITAHIDI SANA
kwa KIBONGOBONGO nawashauri muuze kwa mtindo wa FRASH ambazo ziko protected ucopy kitu wala upaste km mtakuwa na msingi mzuri wa pesa inawezeka 2gb china kila frash moja mpk kufika bongo haizidi elf 2 na kadri mnavyochukua nyingi bei inapungua kwa mtindo huo ndo mtapata pesa mana kila mtu itabidi awe flash yake hazitazagaa katika maliblary haya ya mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app