Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Saidi fella ni mfanyabiashara Katika tasnia ya Muziki na mafanikio ya hii band kwa asilimia zote yeye ndio kayawezesha. Kwa hili nampa Hongera sana Kilichonifanya niandike huu uzi ni Tukio...
1 Reactions
51 Replies
11K Views
Dah mzigo nimeusubiri kwa hamu sana huu na umenikosha,' Binafsi Profesa kaniacha hoi kwa ile mbinu waliyotumia kumuokoa mke wake na kumpeleka benki kuu
1 Reactions
4 Replies
2K Views
SEHEMU YA 1 Nilikamatwa na maaskari majira ya saa sita mchana kwenye mgahawa wa ENO. Nilikuwa nakula mayai huku nikinywa kahawa. Unaweza kuita kifungua kinywa kilichochelewa, kwa sababu...
5 Reactions
43 Replies
13K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
How can u say Professor of money heist is smarter than Michael Scofield of prison break. Scofield survived through betrayals, setups, toughest prisons and smart detective like Alex Mahone...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimeona kwenye matangazo mengi hii serires ikipewa promo kubwa sana, hadi watu wengi wanaweka zile mask za wale robbers kwenye dp zao. Nikaona niitafute bana. Dah Money Heist ni series ya hovyo...
18 Reactions
117 Replies
14K Views
Aman iwe nanyi Yule roma mkakoliki ambaye amekimbilia kwa mabeberu leo bhana kaachia ngoma kali sana ya kusifu na kuabudu Ngoma ni kali sana aisee Producer bin Laden kapiga bonge la beat...
2 Reactions
46 Replies
9K Views
Naona tuzo za Oscar zinatolewa kesho na hizi movie zote zinashindania tuzo ya best animated feature.. kwa naoni yako ipi kali? naona Zootopia imeshinda.
3 Reactions
136 Replies
24K Views
Hii imedhiirika baada ya wasanii kadhaa kujitoa WCB mashabiki waliokua wanawatukuza na kuwapaisha kua ni wasanii wakali na watunzi wazuri wa mashairi, mashabiki hao hao ndo wanaongoza kwa...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwanza kabisa hiyo a.k.a ya Kardinali mimi ndio nimempa huyu jamaa kwa sababu ana Pengo. Back to my point. One the Incredible has stuck in the 90s. He thinks 2019 is 1994. Yani up to this era...
4 Reactions
74 Replies
9K Views
Huyu jamaa anajua sana, naamini anatakiwa awe mbali zaidi ya hapa alipo, ni moja ya waimbai wa Rhythm and Blues (RnB) wakali sana. Tafuta management inayojielewa, watu kama wakina jux ni wa...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Hivi ingetokea janga hili la Coroca ndo limetokea wakat Kuna BBA.... na South wana Lockdown inamaana wale waliomo ndani si ndo ingekuwa mazima mpaka hali ikae sawa... nafikiri shindano...
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Huyu Jamaa anaimba vitu real sana. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za jioni wapenzi wote wa burudani na wana jf kwa ujumla.. Nitaenda moja kwa moja kwenye mada kama heading inavo state Toka mwaka uanze wasanii mbalimbali hapa nchini wametoa nyimbo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu? Matumaini yangu ni kwamba mko na afya njema. Kwa waliopata maswaibu Mungu awape nguvu, hata hayo pia yanapita. Straight to the point, leo ninamzungumzia mwanamziki mashuhuri...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Media Imecopy karibu vipindi vyote vya watangulizi wao mpaka maudhui ya vipindi. Jamaa wameiga mpaka Ndondo Cup. Hata matamasha wanafanya kwa mtindo uleule wa watangulizi wao hawana ubunifu...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakati kukiwa na ushindani mkali kati ya marvel cinematic universe na dc comics kwenye soko la filamu za superheroes hizi ndio movie zangu bora hadi sasa hivi ambazo nimeshaangalia 1.The Dark...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Naomba nieleweshwe vizuri maana sielewi, hivi Fawler aliyekuwa mchezaji wa Liverpool aliitwa Mungu wa Magoli ilikuaje na alicheza mwaka gani? Kwanini walimpa jina hilo na alikua anacheza nafasi...
0 Reactions
2 Replies
903 Views
Takribani miaka 10 na zaidi kijana huyu amekua akikonga nyoyo za mashabiki na amegoma kabisa kushuka. Huyu kijana ana akili sana maana anatumia trick nying sana na figisu za kutosha ili abaki...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom