Wakati dunia inapambana na hili gonjwa hatari la covid19, kwa mikakati mbalimbali huku vifo na maambukizi yakiongezeka upande mwingine wale wasanii wa action movies watakuwa kwenye mchakato wa...
Habari za time hii wanabidi
Naombeni kujuzwa zipi filam au series Kali za
1/kibongo
2/kifilipino
3/kihindi
Mm sinaga time na hii mambo sema kuna demu namzimia kila time anataka nimtaftie muviie...
Kwa sasa ni moja ya wasanii wanaonikosha sana kwa mapini ya kubembeleza, kama humjui vizuri sikiliza hizi ngoma usipozielewa hata nusu yake nakurudishia hela ya bando;
1. Slow
2. Sikupendi(mhh...
Mambo aje wadau,
Leo nimezikumbuka sana hizi ngoma za muendelezo wa Terminator 2&3. Nimejikuta natamani kuzirudia.
Ila kabla sijafanya hivyo, kuhusu suala la ukali wa movie hizo basi mie kura...
Kwa wale Wapenzi Wa Hii Series kitu cha 4 kishatoka kama Hujapata Pita na Hio Link mzigo una Episode 8 Full HD
English Language:
Pia Subtitle ni English
Mzigo uko hapa Link...
Binafsi sio mpenzi sana wa miziki ya kisasa ila nimezisoma sana miziki ya miaka ya 1930s mpaka 1980s na hata ya 1990s na navutiwa sana na aina hii ya miziki ikiwa kwenye ujumbe na burudani pia...
Habari zenu wanajamvi, matumaini yangu muwazima na ni matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaenda vizuri, tujitahidi jamani.
Straight to the point, leo nimetazama movie ya The BFG(mzee wa...
Habari JF!
Poleni wadau na majukumu ,najua bado tupo kwenye mapambano na wengine kutokana na nature ya shughuli zetu masaa mengi tupo nyumbani kifupi tumepunguza kutembea kama hakuna mchongo wa...
Uzi huu ni maalum kwa wapenzi wa muziki wa rock; share chochote kinachohusu muziki wa rock tushirikishe au tujuze chochote kuhusiana na rock music.
Karibuni.
@military_Genius
IMEANDIKWA NA : ATUGANILE
MWAKALILE
*********************************
*********************************
***************
Simulizi : Sitasahau Tanga
Sehemu Ya Kwanza (1)
Nikiwa kwenye mishe zangu za...
Nakupenda hip hop - Roho Saba
Darubini - Mfalme Suleiman / Afande Sele
Chemsha Bongo - Profesa J
Chagua Moja - Fid Q
Nakwenda - Chindo Man
Mtazamo - Sollo Thang
Sent using Jamii Forums...
"Mr John jikaze kifo kipo na kila mwanaadam ataonja umauti kwahiyo naomba uvumilie,najua ulimpenda mke wako kipenzi mama manavy,,piga moyo konde boss"yalikua maneno ya kumtia faraja kidog Mr John...
MTUNZI: FAKI A. FAKI
SEHEMU YA KWANZA
Fikiria kwamba uko chumbani na mke wa rafiki yako aliyeko safarini. Mwanamke anakwambia kwamba anakupenda. Anakulaghai kwa maneno mpaka unalainika. Unaamua...
Mtoto wa tajiri wa pili duniani,,n simulizi nzur,yenye visa mbalimbali vya mapenzi,mauaji,shida,mafanikio,na mambo mengi ndani yake ikimlenga mtoto wa tajiri mkubwa duniani... support yenu...
Mwenye Album Hiyo tafadhali naomba unipatie nyimbo za album hiyo
Mimi ninazo
1. Maria Saloma 2. Kaisiki 3.Alimwatusile pekee.
Naomba mwenyei nyimbo zingine za Abum hii anisaidie.
Nimeona trailer ya hizi movie nafikiri Kwa sasa Movie za kibongo zitafaa kuangaliwa
1. Mstari wa damu trailer
2. Mzalendo
3. Jeshi la ukombozi
4. Chaguo series
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.