Alikiba aachia Wimbo wake mpya Dodo

Alikiba aachia Wimbo wake mpya Dodo

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,499
Reaction score
27,784
Niaje wakuu



Hivi huyu King Kiba anakwama wapi aisee? Yaani ile nyimbo yake mpya imepooza kajibweteka tuu yaani haifikii hata level ya nyimbo ya Femi one na Mejja.

Yaani King Kiba mpaka Wakenya siku hizi wanakupita? Hebu badilika basi

Yess bishoo hasWaaaa
 
Niaje wakuu hivi huyu king kiba anakwama wapi aisee ..? Yaani ile nyimbo yake mpya imepooza kajibweteka tuu yaani haifikii hata level ya nyimbo ya femi one na mejja yaani king kiba mpaka wakenya siku hizi wanakupita aisee em badilika basiii

Yess bishoo hasWaaaa
Tuwekee audio tusikie wenyewe
 
Mkuu binafsi sijauelewa huu wimbo sema utakiki kwasababu kuna Mobetto, but huyu jamaa inatakiwa atulie apunguze panic. Mziki ni kupanda na kushuka akubali tu kwamba kashuka. Mimi namshauri kama yupo humu ndani aanze upya kuimba yaani awe underground akubali kwenda studio kujipima uwezo asitoe nyimbo kwanza.
.
.
Maendeleo hayana vyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu binafsi sijauelewa huu wimbo sema utakiki kwasababu kuna mobetto but huyu jamaa inatakiwa atulie apunguze panic. Mziki ni kupanda na kushuka akubali tu kwamba kashuka. Mimi namshauri kama yupo humu ndani aanze upya kuimba yaani awe underground akubali kwenda studio kujipima uwezo asitoe nyimbo kwanza.
.
.
Maendeleo hayana vyama

Sent using Jamii Forums mobile app

Doh!! Binadamu bwana kazi kwelikweli
 
Ali Kiba hapendi kujionyesha tu,nicki Minaj kampigia sana simu King Kiba ili awe japo hata video vixen tu kwny huo wimbo jamaa akamchomolea nje akaona bora amchukue Mobeto.

Ametanguliza maslahi mapana ya nchi yetu,ni mzalendo na hapendi kujionyesha.
 
Back
Top Bottom