emmadeclassic
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 304
- 129
Wadau kama tunavojua Zuchu ni msanii mpya alietambulishwa na Record label ya WCB iliyopo chini ya Diamond platnumz hapo juzi na kutambulisha EP yake hapo jana usiku kupitia wasafi TV na channel zao za online ,na leo ameiachia rasmi huko boom play ikiwa na ngoma saba ambazo ni
1.Wana
2.Raha
3.Nisamehe
4.Kwaru
5.Ashua ft Mbosso
6.Mauzauza ft Khadija kopa
7.Hakuna kulala.
Mi kwangu Ashua ndo bonge moja la Song (jeshini Chenja) je we Mdau unaionaje EP hii na je dogo Zuchu atafika mbali au kazingua ,kama umeipenda taja na favourite song unayoikubali .
Wenu..MD EJM
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Wana
2.Raha
3.Nisamehe
4.Kwaru
5.Ashua ft Mbosso
6.Mauzauza ft Khadija kopa
7.Hakuna kulala.
Mi kwangu Ashua ndo bonge moja la Song (jeshini Chenja) je we Mdau unaionaje EP hii na je dogo Zuchu atafika mbali au kazingua ,kama umeipenda taja na favourite song unayoikubali .
Wenu..MD EJM
Sent using Jamii Forums mobile app