Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

ankai

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
3,282
Reaction score
4,260
Ina maana mpaka leo hii ngoma bado ni no moja on YouTube trending asee.

Pamoja na kupondwa kote huku hii ngoma, kwamba ni mbaya ila bado inatamba kiasu hiki mpaka leo.

Najiuliza sasa wanaoifanya itrend ni kina nani kama wenye IQ kubwa humu JF mnatuaminisha kuwa hii ni ngoma mbaya zaidi kuwahu kutolewa na Ali Kiba nasubiri majibu, ila kwenye hoja zenu msi involve neno love.

Povu pia ruksa!!

Kiba.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiba amejua kuwafunga midomo haters
Daaah!! Kiukweli binafsi nimeshangaa sana leo baada ya kufanya matembezi kule youtube na kukuta hali iko ivyo, nikastuka na nikajiuliza mbona kule mitaa ya JF wstu wenye IQ kubwa wanasema hii nyimbo ni mbaya mno, lakini uko mitaani mbona inaonekna kwamba ndo ngoma ambayo wananchi wameielewa zaidi ndani ya izi wiki mbili ili ndo swali langu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachoifanya itrend no 1 ni nyimbo inayotrend no 2.

Kama kilichoifanya seduce me ivume sana kipindi kile ni WCB kutoa zilipendwa.
 
Kinachoifanya itrend no 1 ni nyimbo inayotrend no 2.

Kama kilichoifanya seduce me ivume sana kipindi kile ni WCB kutoa zilipendwa.
Mmmh hujaeleweka apa tueleweshe zaidi mshindi no mbili anaweza kumfanya mwinngine awe no moja kwani uyo no mbili yeye hataki kuwa no moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh hujaeleweka apa tueleweshe zaidi mshindi no mbili anaweza kumfanya mwinngine awe no moja kwani uyo no mbili yeye hataki kuwa no moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ki ukweli ile ngoma ya kiba ni ya kawaida.. lakini kwa kuwa namba mbili kuna dogo wa juzi kabisa wa WCB Team kiba wanajitahidi kuview sana ili kiba asipitwe na mtoto anayenuka maziwa..

Mfano hata wewe ukiwa unatembea mwenyewe unaweza tembea km 4 ukawa unechoka ukapumzika.. lakini assume unatembea na mtoto wakike halafu unaona zimefika km 4 bado mtoto wakike hana mpango wa kupunzika.. je na wewe utapumzika?? Itabidi ujikaze tu ikiwezekana ufie njiani... ndio kitu kinatokea youtube.
 
Ki ukweli ile ngoma ya kiba ni ya kawaida.. lakini kwa kuwa namba mbili kuna dogo wa juzi kabisa wa WCB Team kiba wanajitahidi kuview sana ili kiba asipitwe na mtoto anayenuka maziwa..

Mfano hata wewe ukiwa unatembea mwenyewe unaweza tembea km 4 ukawa unechoka ukapumzika.. lakini assume unatembea na mtoto wakike halafu unaona zimefika km 4 bado mtoto wakike hana mpango wa kupunzika.. je na wewe utapumzika?? Itabidi ujikaze tu ikiwezekana ufie njiani... ndio kitu kinatokea youtube.
Mmmmh hii si kweli umedanganya kwaiyo waksti team kiba wanajikaza kuongeza views kwenye ngoma ya kiba team mondi wao kwanini nao wasijikaze ili waongeze views kwenye iyo ngoma bora ya Zuchu ili waipite kabisa ngoma ya kiba, kwa maana nature ya dunia inasema kwamba kila binadamu anapenda kuwa no moja hakuna anayependa kuwa no mbili.

apa hujanishawishi bado lazima kuna something extra kwenye hii ngoma ya kiba haiwezi tu kutokea automaticaly from no where ikawa no moja kwa wiki mbili mfululizo!!

na ukumbuke pia iliitoa ngoma ya MdaWCb mwingine ambayo ilikuwa no moja on trending kama sikosei ilikuwa ni ya Rayvany!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizuri cha jiuza
Mmmmh hii si kweli umedanganya kwaiyo waksti team kiba wanajikaza kuongeza views kwenye ngoma ya kiba team mondi wao kwanini nao wasijikaze ili waongeze views kwenye iyo ngoma bora ya Zuchu ili waipite kabisa ngoma ya kiba, kwa maana nature ya dunia inasema kwamba kila binadamu anapenda kuwa no moja hakuna anayependa kuwa no mbili.

apa hujanishawishi bado lazima kuna something extra kwenye hii ngoma ya kiba haiwezi tu kutokea automaticaly from no where ikawa no moja kwa wiki mbili mfululizo!!

na ukumbuke pia iliitoa ngoma ya MdaWCb mwingine ambayo ilikuwa no moja on trending kama sikosei ilikuwa ni ya Rayvany!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah!! Kiukweli binafsi nimeshangaa sana leo baada ya kufanya matembezi kule youtube na kukuta hali iko ivyo, nikastuka na nikajiuliza mbona kule mitaa ya JF wstu wenye IQ kubwa wanasema hii nyimbo ni mbaya mno, lakini uko mitaani mbona inaonekna kwamba ndo ngoma ambayo wananchi wameielewa zaidi ndani ya izi wiki mbili ili ndo swali langu??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kijambio kina trend kuliko mbunye😀😀
Nimejaribu tu kuwatetea JF IQ kubwa😀😀😀
 
Back
Top Bottom