Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,878
- 1,849
Kwa wale tuliosikiliza audio kabla ya Video tutakubaliana kuna mabadiliko. Ilivyo ni kwamba, audio ilikuwa inamaliziwa mwishoni kabisa na Nay Wa Mitego ndiyo goma linaisha.
Sasa picha linabadilika kwenye Video - Hatumuoni Nay Wa Mitego wala kusikia verse zake. Kwanini? Zilifutwa au ilikuwaje kuwaje? 😂 Sanaa na wasanii! Mimi napita tu.
Sasa picha linabadilika kwenye Video - Hatumuoni Nay Wa Mitego wala kusikia verse zake. Kwanini? Zilifutwa au ilikuwaje kuwaje? 😂 Sanaa na wasanii! Mimi napita tu.