Powerbreakfast ya Clouds FM leo imeendeshwa na watukutu watatu wapya

Powerbreakfast ya Clouds FM leo imeendeshwa na watukutu watatu wapya

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,806
Reaction score
7,684
Wadau mada hapo juu yaeleweka.

Siza, Masoud(KP) na Babra hawasikiki Clouds FM Power Breakfast. Badala yao wapo watukutu watatu. Wawili wanatoka XXL ambao ni Adam Mchomvu na Sinyorita aka Sesenyor au chai ya maziwa. Mwingine ni Captain Gardner G Abash kutoka Jahazi.

Kwanini kuna badiliko kubwa redioni Clouds Leo?
 
Wadau mada hapo juu yaeleweka.

Siza, Masoud(KP) na Babra hawasikiki clouds FM power breakfast. Badala yao wapo watukutu watatu. Wawili wanatoka XXL ambao ni Adam Mchomvu na Sinyorita aka Sesenyor au chai ya maziwa. Mwingine ni captain Gardner G Abash kutoka Jahazi.

Kwanini kuna badiliko kubwa redioni Clouds Leo?
babra atakuwa xxl nadhani, masoud count down amplifaya

wanavunja mwiko na kufanya uvamizi wa vipindi vingine na baadae watarudi kwenye nafasi zao

changamka
 
babra atakuwa xxl nadhani, masoud count down amplifaya

wanavunja mwiko na kufanya uvamizi wa vipindi vingine na baadae watarudi kwenye nafasi zao

changamka
Kwanini wamefanya hivi?
 
Kuna ka idea kao wamekatengeneza.wanaita kuvunja sheria.so mtangazaji wa kipindi flani anaweza akahama na kwenda kutangaza kwenye kipindi kingine tofauti na kile ulichozoea kumsikiliza.ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom