Clouds leo nimewapenda sana

Clouds leo nimewapenda sana

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,633
Reaction score
7,021
Mmetupumzisha na ile miziki yetu ya ngono! Nimefurahi sana kusikia mnapiga nyimbo za wasanii wengine wa zamani kama TMK, lady JD n.k

Zile nyimbo za sijui nilikagusa kakalegea, nimelowa tepe tepe, sijui ingiza yote tango,mara katika kiuno imekolea zinanikera mnoo. Na nilidhani ni mimi kwa sababu ya age ila nina biashara katika maeneo yenye wanachuo wengi nikiwapigia hizo nyimbo zinawakera sana.

Nahisi huwa hamfanyi utafiti kujua Wateja wenu wanataka nini. Ila kwa leo nawapa kongole kumbe bado kuna watu wanatumia akili sana hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmetupumzisha na ile miziki yetu ya ngono!Nimefurahi sana kusikia mnapiga nyimbo za wasanii wengine wa zamani kama TMK,lady JD n.k

Zile nyimbo za sijui nilikagusa kakalegea,nimelowa tepe tepe,sijui ingiza yote tango,mara katika kiuno imekolea zinanikera mnoo!Na nilidhani ni mimi kwa sababu ya age ila nina biashara katika maeneo yenye wanachuo wengi nikiwapigia hizo nyimbo zinawakera sana.

Nahisi huwa hamfanyi utafiti kujua Wateja wenu wanataka nini.Ila kwa leo nawapa kongole kumbe bado kuna watu wanatumia akili sana hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasanii wa siku hz sio wabunifu kabisa kila mtu.anaimba nionyeshe alichokupa mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasasa inabidi wajipange ushindani ni mkubwa,lasivyo tutawasahau.

son of almighty God.
 
Back
Top Bottom