Hii mixer ya watangazaji clouds ni vituko

Hii mixer ya watangazaji clouds ni vituko

sawee225

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2017
Posts
3,227
Reaction score
12,125
Naangalia clouds apa kipindi cha ala za roho ambapo watangazaji ni Meenah ally jose mara na Dr Izack
Tangu asubui naona vipindi vyoye vipo tofauti...
vipindi vyote vimebadililshiwa watangazaji kwa mfano Adam mchomvu (baba jonii) alikuwa kwenye PB asubui wakati B12 alikuwa kwenye jahazi...sasa namuona meena ally kwenye ala za roho full vituko na mauno anayakata kweli japokuwa flatscreen kwakweli iki kinachoendelea clouds na vituko vitupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti kinaitwa vunja sheria.
naangalia clouds apa kipindi cha ala za roho ambapo watangazaji ni Meenah ally jose mara na Dr Izack
Tangu asubui naona vipindi vyoye vipo tofauti...
vipindi vyote vimebadililshiwa watangazaji kwa mfano Adam mchomvu (baba jonii) alikuwa kwenye PB asubui wakati B12 alikuwa kwenye jaaz...sasa namuona meena ally kwenye ala za roho full vituko na mauno anayakata kweli japokuwa flatscreen[emoji16][emoji16]kwakweli iki kinachoendelea clouds na vituko vitupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom