Habari wana JF,
Habari kwenu watazamaji na mashabiki wa ulimwengu wa movies.
Ebu tuambiane na tufahamishane Movie kali zilizowahi kutikisa na kuteka ulimwengu wa movie. Unakaribishwa kujazia ili...
Tumefikia makubaliano leo jijini Mwanza na Producer Mr.Haruna Paul a.k.a H-PAUL ambapo tayari tumeanza Production kwa Track zote zitakazo kuwa katika Lugha ya Kiingereza.
Zaidi tumeangalia katika...
Habari wana jamvi,
Hivi kasi walio nayo sasa hivi wasanii kwa kuimba nyimbo za CCM na zote zikiwarushia wapinzani madongo makali na Kuwasifia CCM. Mfano imetokea CHADEMA wakachukua nchi sijui...
Baada ya Dozen kuhama Clouds FM, Leo XXL wamemfanyia mahojiano Nikki mbishi kuhusu bifu yake na Wakazi pamoja na kuhusu diss track ya P Mawenge, baada ya mahojiano wakawaunganisha live kupitia...
1. Wherever You Are By (Jay Z)
2. Forever Young By (Jay Z)
3. Bonnie & Clyde By (Jay Z)
4. Run This Town By (Jay Z)
5. My Life By (The Game)
6. Life Goes On By (2pac)
7. I Roll Up By (Wiz...
Anayemjua please atujulishe ni nani hyu mwamba anayecharaza bati kwenye huu wimbo wa hayati Lucky Dube Back To My Roots. Yani ni sheeda; anapiga ngoma vibaya sana. Huyu ni nouma dah yani sheeedah
Siku hizi ukifanya interview kali ni promo si tu kwa msanii bali na media pia.
Tumeona mifano mingi interview zikiinua vituo vya redio Kama Lil Ommy, Millard Ayo wakivikuza vituo vyao vya kazi...
Sorry,
Ni maoni yangu binafsi. Huu wimbo walioutoa rayvanny na diamond wakuitwa amaboko it's very ordinary song na Kwa wale wanaofahamu mambo ya midundo (beats) watakubaliana nami kwamba huu...
Kumekucha ,Leo nakuja na mtazamo wa kuwashindanisha hawa wadada wawili wasanii wa nyimbo na kutaka kujua yupi mi bora katika tasnia ya uimbaji Nandy na Vanessa Mdee.
Niende moja kwa mmoja...
hello JF,
Napenda kujua hao kwenye video wanaocheza nimeona video nyingi wakicheza kama hivyo… swali ni kitu unachoweza kujifunza(learning) ama ni kitu unazaliwa nacho? (genetic)?? heheheeeheheheh
Nimeamini wabongo wanajua kutengeneza Kiki. Mwanzoni tuliaminishwa kabisa kwamba Mawenge na Unju wapo kwenye beef Kali kumbe hamna lolote na check sasa wanakuja kukutana kwenye ngoma yao na Wana...
Habari za Mida hii Wapendwa Katika Bwana, Natumaini Hamjambo
Wakuu Naomba kujua hizo Movie pendwa nilizozitaja hapo juu, Zina uzuri kiasi gani?
Kama mmoja wapo ama wewe ushaziona uniambie kama...
Nilikuwa nam-zoom The Legend. Undertaker ghafla nikapata Idea ya kufanya kitu..
Wajuba..
Mnaonaje tukiji- organize watu km 5 na kuendelea ila wasizd10 tukaifanyia maajabu ile Instrumental ya...
√SERIES
TYRANT -S02 cont.
TEEN WOLF -S05 cont.
STRIKE BACK -S5 Finale
DOMINION -S2 cont.
UNDER THE DOME -S03 cont.
EMPIRE -S02 23 sept. 2015
√MOVIES
TERMINATOR THE GENISISY
AVENGERS...
Kulikua kuna uzi wa nyimbo za zamani za Bongo Fleva. Kama kuna mtu anaweza ni quote nitashukuru.
Natafuta nyimbo hizi hapa
1. Nuruchiko- Kumfukuza mpenzi eti kisa binti
2. P funky ft Dully Sykes-...
Miongoni mwa ujio niliokuwa nikiusubiri kwa muda mrefu ni ujio wa mfalme Mzee Yusuph na malkia Leyla Rashid maana tangu wakae mbali na muziki wa taarabu , muziki huo uliyumba na kupoteza radha kwa...
Wakatia Anaanza alikuwa vizuri, lakini naona sasa toka atoe aya naona ndo vile vile nyimbo zinazofata ni kulalamika kama kwenye Aya, Marioo badilika tunataka sasa utoke nje ya East Africa Nenda...
Wadau hebu huu uzi tukumbushane bendi na nyimbo za zamani
mimi.naanza na.Ngarula karubandika usimchezee chatu.kata.maji ukweni hizi maquise de zaire
Mesenja kaleta balaa hii bima lee...