abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habari wana jamvi,
Hivi kasi walio nayo sasa hivi wasanii kwa kuimba nyimbo za CCM na zote zikiwarushia wapinzani madongo makali na Kuwasifia CCM. Mfano imetokea CHADEMA wakachukua nchi sijui itakuwaje
Kila msanii sasa hivi anatoa ngoma ya CCM. Jana nimeiona ile Magufuli gangs ya kina Sheta aise wamewaua vibaya CHADEMA; kama ile verse ya G. Nako hahahahahah nacheka kama mazuri
CHADEMA mwambie basi hata Sugu na Professor Jay watoe hata mabata madogo madogo yanaogelea yanaenda chadema chadema chadema
Hivi kasi walio nayo sasa hivi wasanii kwa kuimba nyimbo za CCM na zote zikiwarushia wapinzani madongo makali na Kuwasifia CCM. Mfano imetokea CHADEMA wakachukua nchi sijui itakuwaje
Kila msanii sasa hivi anatoa ngoma ya CCM. Jana nimeiona ile Magufuli gangs ya kina Sheta aise wamewaua vibaya CHADEMA; kama ile verse ya G. Nako hahahahahah nacheka kama mazuri
CHADEMA mwambie basi hata Sugu na Professor Jay watoe hata mabata madogo madogo yanaogelea yanaenda chadema chadema chadema