Akiwa na miaka 10 kwa industry Rapper drake aka drizzy siku ya jana aliweza kuvunja na kuweka rekodi yake mpya kwenye charts kubwa duniani za billboard. Billboard ilimtangaza drake kuvunja rekodi...
Wapo wenye mtazamo kuwa bifu hutengenezwa ili kuleta ushindani katika soko la burudani Kama vile movie au muziki kwa mfano Alikiba Vs Diamond.
Je, unahisi ni kweli?
Haya makundi mawili ya waigizaji yamejizolea umaarufu sana kwa kutengeneza filamu kali zinazobamba saaana.
EXPENDABLE = hii series ya movies imesheheni Waigizaji wakongwe na waliotamba saana...
Joto la uchaguzi limeanza, wanasiasa wanapishana huku na kule wakitafuta njia za kuweza kuendelea kushiriki kwa namna moja au nyingine katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kisiasa. Wanamuziki...
EMERGENCY SALVATION
He was a play boy, professional womanizer,
When it came to women, he was no miser,
He loved to party
He carried them all,
Tall, slim, even fatty
One day, he decided to settle...
Habarini wakuu....Mtu ukikikumbuka kitu basi nakuwa kama nnaarosto nacho hivi.Iyo movie
Nimeisahau jina ila nakumbuka storyline kwa uchache...Nahisi star ni Ramsey Noah, Ramsey (kama ndiye)...
Ujio wa hii channel mpya ya upendo TV kwakweli nimeufurahia, zinapigwa nyimbo za injili muda wote. Kwa sisi wapenda nyimbo za injili hili ni la kupongezwa
Pia jamaa wanapiga nyimbo zote bila...
Sababu Kuu ya Ziwa hili Kuwa na Ndege wengi sana Aina ya Flamingo ni Kwasababu Katika Ziwa hili Kunapatikana Bakteria Wengi sana Wanaozaliana na Hii ni Kutokana na Ziwa Hilo kuwa na Chumvi Nyingi...
Habari wakuu?
Watu wengi wamekuwa wakiangaika mahali ambapo wanaweza kupata nyimbo ambazo hawatachoka kusikiliza. Hii hapa ni orodha ya nyimbo zote nzuri za misimu tajwa.
Orodha bora ya mziki...
Hallow
Mimi ni Muimbaji wa nyimbo za injili, nimejiuliza hill swali kwann sisi hatufanyi matamasha makubwa kama tunavyoona wenzetu wakifanya?
Shida ni nini? Maana najua tupo waimbaji wengi ambao...
Kuna maswali najiuliza kwenye hii professional wrestling ambayo wanasema sio ya kweli bali ni show kwa ajili ya entertainment hivi wa nafanya katika haya:
-zile ngumi, mateka vinavyopigwa...
Mimi nashangaa kwamba kila tamthilia au movie ni lazima wawepo
Yaani ni pete na kidole
Nashindwa kujua ni kwanini kila tamthilia wawepo au ndo masharti ya waganga wa huko ufilipino
Mfano huyu...
Habari,
Wakuu leo ilikuwa bonanza watanzania wanaotumia twitter yaani Tanzanians on Twitter. Nilifanikiwa kuhudhuria na kujifunza mambo kadha wa kadha. Kubwa katika hili Bonanza ni kuimarisha...
Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve...
Chombezo: MZEE WA DODO
Sehemu: 01
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500
Tumu aliingia chumbani kwake akiwa na hamu na mkewe baada ya kutoka kuoga pamoja na yeye kumwacha akijipaka mafuta na...
NINA STAHILI LAWAMA.
Na. Robert Heriel.
Maandishi ya Robert Heriel, Kwa Lugha ya kiswahili
Kila kitu nilikiona cha muhimu. Hata yale niliyokuwa ninayachukulia kama mambo ya kawaida nilianza...
Naleta mashtaka kwako baba Paroko, naleta mashtaka kwenu kanisani, mimi na mama ya watoto nyumbani kivumbi na jasho. Nyumbani hapaliki wala hapalaliki, kisa na mkasa Paroko sielewi
Ni wiki ya...
Habarini Jf members,
Napenda tushee ideas kuhusu simulizi hapa jukwaani kwa mwaka huu unaoisha.
Kwa upande wangu simulizi zilizonisisimua zaidi ni:
1:Mke wa Rais
2:Peniela(story ya kijasusi)...
Sizungumzii Hiphop ya Tanzania bali nazungumzia hip hop ya Marekani.
Huu mziki asilimia 90 ya nyimbo ni matusi, kuuana, ngono, visasi, madawa , majigambo, ujambazi n.k. Kiufupi ngoma nyingi za...