Chombezo: Mzee Wa Dodo

Chombezo: Mzee Wa Dodo

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,646
Image may contain: 2 people, text


Chombezo: MZEE WA DODO
Sehemu: 01
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500

Tumu aliingia chumbani kwake akiwa na hamu na mkewe baada ya kutoka kuoga pamoja na yeye kumwacha akijipaka mafuta na kutoka nje mara moja baada ya kuitwa na jirani yake. Akiwa katika mazungumzo akili yake yote ilikuwa kwa mkewe kwa kuamini siku ile hamu yake ya muda mrefu kupata penzi la ushirikiano
Alipoingia ndani alimkuta mkewe amelala bila kitu mwilini na macho yake kutua kwenye mahaba yake kwenye kilima kilichokuwa nyuma ya mkewe ambacho kwake kila alipomtazama mwili ulimsisimka. Alifunga mlango na kuondoa taulo iliyokuwa imenyanyuliwa chini kama mkonga wa gari la kubeba vitu vizito.
Alipanda kitandani na kumtikisa mkewe ili wafanya maandalizi kabla ya mchezo. Ajabu mkewe alionekana tayari kapitiwa usingizi mzito na kuanza kukoroma kuonesha amechoka sana na kazi za kutwa nzima. Yeye hamu zilikuwa juu lakini ndiyo hivyo mkewe ambaye kama kawaida alikuwa halali na nguo alikuwa ameisha pitiwa usingizi.
Kutokana na Mungu kumjalia maumbile ya utata hasa alipolalia tumbo Tumu alikuwa kwenye wakati mgumu kwani kila jicho lilipotua kwenye tuta alijikuta kwenye hali mbaya na alipomsogelea na kukutana na joto la asili hapo ndipo usingizi ulipokimbia kabisa na kuhitaji hata mguu wa jini ili alale bila hivyo mzee mzima aliteseka.
Kila alipomtikisa mkewe aliponekana yupo kwenye usingizi mzito, alimtikisa ili amsadie katika kulitafuta chozi moja kwani raha ya wimbo kuimba kwa kupokeza siyo kuimba peke yako. Alimtazama mkewe kwa jicho la uchu lakini tabia za kila siku kujipakulia na kula kisha aondoe vyombo aliiona kama inamnyima raha ya ndoa.
“Bebi..bebi..” Tumu alimtikisa mkewe aliyekuwa hakitambua japo kitanda kilikuwa sita kwa sita. Lakini kitanda chote alikimbaliza yeye miguu na mikono ilikuwa imetawanyika kuonesha amechoka sana kama alikuwa akifua vyuma. Aliendelea kumtikisa ili aamke alie chozi moja la ushirikiano alichoka kila siku kujifanyia self service.
“Mke wangu... Mama Maneno,” Tumu aliendelea kumwita mkewe aliyekuwa akikoroma.
“Mmh,” mkewe aliitika bila kuamka.
“Amka basi.”
“Mume wangu jamani nimechoka.”
“Sawa najua umechoka lakini nami nina haki kama mumeo.”
“Haki gani tena mume wangu?”
“Ya ndoa.”
“Mume wangu lini nimekunyima haki yako?” mkewe alimuuliza akiwa bado amelalia tumbo.
“Unanipatia lakini ya kunisusia.”
“Mume wangu si unajua kazi zangu nachoka sana?”
“Najua lakini na mimi mumeo nina haki ya kufurahia ndoa kwa kupata ushirikiano wako.”
“Mume wangu kila siku nakuachia ule utakavyo sijawahi kukubania kwa vile najua ni haki yako.”
“Unaniachia au unanisusia mpenzi gani nakuwa kama nafanya mapenzi na maiti.”
“Usiseme hivyo mume wangu maiti haina joto la kukufanya ufike safari yako.”
“Mke wangu raha ya mapenzi ni ushirikiano si kuniachia peke yangu,” Tumu alimlalamikia mkewe.
“Basi mume wangu nitajitahidi kukupa ushirikiano,” mkewe alisema huku akijigeuza mkao wa kula.
Tumu aliyekuwa na uchu wa fisi hakuchelewa aliruka mchupo wa mkizi, mwanzo wa mchezo mkewe alijitahidi kuonesha ushirikiano ambao ulimfanya Tumu aufurahie usiku ule. Kila muda ulivyokwenda mkewe kupitia raha ya safari usingizi ulimpitia na kurudi hali ya siku zote ya Tumu kuimba bila ushirikiano.
Mpaka anafika safari mkewe alikuwa akikoroma, hali ile ilizidi kumuumiza sana Tumu na kuiona ndoa yake imekosa furaha. Kazi kwa mkewe imekuwa kila kitu kufikia hatua ya kuiona kazi kama ndiye mumewe. Raha ya ndoa aliipata mwanzo mpaka wapopata mtoto na kupata msichana wa kazi.
Basi kazi zote za ndani alimuachia msichana wa kazi mpaka kumlea mtoto, ikawa yeye na kazi, kazi na yeye. Kila aporudi usiku kutoka kazini aliulizia hali ya mtoto kama amelala hakuwa na shida ya kumuona alioga na kula kisha alipanda kitandani mpaka kesho yake kuwahi kazini.
Tumu alipotaka haki yake ya ndoa mkewe alimsusia afanye mambo yake bila ushirikiano mkewe akiuchapa usingizi wa kazi za kutwa. Tumu kila alipomaliza alimfunika mkewe na yeye kujilaza.
Siku ile nayo ilikuwa kama siku zilizopita, alinyanyuka baada ya shughuli ya upande mmoja, alimuangalia mkewe aliyekuwa kwenye usingizi mzito moyo ulimuuma na kupoteza hamu ya mapenzi na mkewe kutokana na kukosa ushirikiano. Alikwenda msalani aliporudi alimfunika mkewe na yeye kujilaza upande wa pili akiwa hana raha ya ndoa kabisa.
****
Snura mke wa Tumu baada ya kumaliza elimu yake ya chuo kikuu alikuwa na ndoto za kupata mume mzuri chaguo la moyo wake, ombi lake lilitua kwa Tumu kijana mfanya biashara mwenye fedha za kubadili mboga. Ndoto yake ya pili kupata kazi kulingana na elimu yake, dua yake nayo ilipokelewa na kupata kazi katika benki kubwa nchini.
Mwanzo wa ndoa yake mapenzi yalikuwa motomoto kitu kilichomchanganya akili Tumu kwa kujiona sawa na kuokota dodo chini ya mkorosho. Snura pamoja na kuwa na umbile la kuvutia hakuwa mvivu mnapoamua kupimana kifua, kwake ilikuwa mpaka mkwezi useme bhaaaas ndipo akuruhusu uteremke kwenye mnazi wake.
Baada ya kujifungua mtoto mmoja na kuwa na msichana wa kazi aliyefanya kazi zote na yeye kuanza kuongezewa majukumu ya kazi taratibu
alijikuta akibadilika kutokana na kuzidiwa na kazi na kumfanya arudi nyumbani usiku amechoka sana kiasi cha kushindwa kukidhi haja za mumewe.
Kutokana na kurudi amechoka sana na uwezo wa kufanya mapenzi na mumewe wake akiwa macho hakuwa nao alimuomba mumewe kama ameshikika basi amtegeshee yeye ajilie tani yake kama nyani aliyelikuta shamba lisilo na mwenyewe.
Mwanzo mumewe alipokuwa akisusiwa kutokana na uchu na umbile la mkewe lisilo isha hamu. Aliona kawaida alijihudumia mwenyewe kisha alimwaga mzigo na humfunika mkewe na yeye kujilaza. Mwanzo alijua hali ile ni ya muda lakini kumbe iligeuka kuwa mazoea kwa mkewe kila siku kurudi amechoka na kumuachia ajilie, penzi lililokosa ushirikiano na kujiona kama anabaka au kufanya mapenzi na maiti.
NINI kitaendelea? Endelea kufuatilia katika ukurasa wa Hadithi za Ally Mbetu. Pia machombezo mikasa na riwaya utazipata katika Whatsapp kwa kulipia 4000 tu, wahi ili isipitwe na uhondo
 
Chombezo: MZEE WA DODO
Sehemu: 02
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500

ILIPOISHIA:Mwanzo mumewe alipokuwa akisusiwa kutokana na uchu na umbile la mkewe lisilo isha hamu. Aliona kawaida alijihudumia mwenyewe kisha alimwaga mzigo na humfunika mkewe na yeye kujilaza. Mwanzo alijua hali ile ni ya muda lakini kumbe iligeuka kuwa mazoea kwa mkewe kila siku kurudi amechoka na kumuachia ajilie, penzi lililokosa ushirikiano na kujiona kama anabaka au kufanya mapenzi na maiti.

SASA ENDELEA...
***

Tumu tabia za mkewe zilikuwa zikimkera sana kiasi cha kumkosesha raha na kutoona faida ya kuoa mwanamke anayefanya kazi. Kwa vile nyumbani mkewe alikuwa akirudi muda mbaya aliamua kumfuata kazini muda wa chakula cha mchana. Alimuomba kwa dakika kumi japokuwa hata hizo mkewe aliona kama anachelewa kufanya kazi zake. Lakini alikubali kwa shingo upande ili asimuuzi mumewe.
Wakiwa wanapata chakula cha mchana kwenye hoteli ya karibia na ofisi, Tumu alimweleza mkewe kinachomkosesha raha kwenye ndoa yao.
“Mke wangu najua unanipenda sana, lakini hivi hali hii itaendelea mpaka lini?”
“Mume wangu naomba uvumilie kwa kipindi hiki kifupi, matunda yake ni makubwa kuliko mateso ya muda huu.”
“Sawa lakini basi angalau hata mara moja kwa wiki nami nijue nina mke. Kila siku unachoka na sasa hivi mpaka jumapili ipi ni siku yangu kama mumeo?” Tumu alizungumza kwa unyonge.
“Najua kiasi gani ninavyokunyima raha mume wangu, lakini kama nilivyokuambia vumilia muda si mrefu nitakuwa meneja wa kanda, kazi zangu zitapungua nina imani zile raha za mwanzo zitarudi.”
“Mpaka lini?”
“Kipindi hiki cha mahesabu ya mwisho wa mwaka na kuandaa mipango ya mwaka ujao tupo bize sana na wafanyakazi wenye uwezo wa kuifanya hiyo kazi tupo wawili tu mi na Edna.
“Kama kazi itaisha vizuri tumeahidiwa kuwa mameneja wa kanda, mshahara juu na marupurupu kibao huoni mume wangu tutapiga hatua!” Snura alimweleza mumewe huku akimtazama jicho la kike.
“Mmh! Haya basi jitahidi mke wangu hata mzunguko mmoja uwe macho baada ya hapo ruksa kulala.”
“Mume wangu nitajihahidi ila huwezi kuamini uchovu na raha unazonipa hujikuta nimepitiwa usingizi katika raha ndani ya raha.”
“Jitahidi mke wangu nakupenda sana.”
“Hata mimi nakupenda ndiyo maana nimekuwa siku zote muaminifu katika ndoa yetu.”
“Basi mke wangu nisikucheleshe kazi, nashukuru kwa kuitikia wito wangu.”
“Nashukuru Mume wangu leo nimejisikia raha ajabu, nina imani nitafanya kwa furaha.”
Baada ya mazungumzo Tumu aliachana na mkewe na kwenda kwenye mihangaiko yake.
Mkewe alirudi ofisini na kuendelea na kazi, lakini muda mwingi alikuwa mtu mwenye mawazo mengi. Kitendo cha mumewe kumfuata kazini kutoa dukuduku lake ambalo nyumbani aliisha mweleza aliamini linamkosesha raha kwa kiasi kikubwa.
Kazi aliipenda na mume naye alimpenda sana, hakupenda kupoteza chochote katika vyote. Shoga yake wa karibu Edna alimgundua shoga yake yupo kwenye hali si ya kawaida.
“Snura?” alimwita baada kumuona yupo kwenye dimbwi la mawazo.
“Abee shoga,” aliitikia huku akijitahidi kutengeneza tabasamu la uongo.
“Upo sawa?”
“Ndiyo, kwani vipi?”
“Si uliniambia shemu amekuja?”
“Ndiyo.”
“Mi’ nilijua leo utakuwa na furaha kupata chakula cha mchana na mumeo.”
“Ni kweli katika siku ambayo moyo wangu umekuwa na furaha ni leo.”
“Sasa mbona kama umepoteza kitu usoni nilichokizoea?”
“Ni kweli, nina mtihani ambao nina imani unaikosesha amani nyumba yangu.”
“Mtihani gani tena?” Edna aliuliza huku akimkazia macho Snura.
Snura alifunguka kwa shoga yake malalamiko ya mumewe. Edna baada ya kumsikiliza shoga yake kwa makini alimjibu.
“Shoga kwanza pole.”
“Sijapoa kwa vile sijapata ufumbuzi.”
“Hilo tatizo inawezekana hata kwangu lipo ila mume wangu sijamsikia analalamika.”
“Mna muda gani hamjakutana?”
“Huwezi kuamini mwezi wa pili sasa.”
“Ha! Mnalalaje?”
“Kitanda kimoja, kwa vile huwa narudi nimechoka na nilimweleza nipo bize kwa sababu gani amekuwa muelewa.”
“Mmh! Mi wa kwangu ni muelewa lakini anataka hata siku moja lipigwe gemu live. Kama nilivyokueleza kutokana na uchovu wa kila siku akianza tu kupiga kasia, raha ninazozisikia basi zinanibembeleza na kujikuta nashtuka asubuhi na kujikuta nimetumika bila kujua nimelala saa ngapi.”
“Basi shemu anatakiwa kuwa mvumilivu, tena ana bahati unamtengea ajilie, mi jamani nikichoka huwa sitaki usumbufu. Mwenzangu tulichoahidiwa kikubwa umeneja wa kanda si masihara.”
“Sasa ndo unanishauri nini?” Snura alihitaji msaada wa shoga yake.
“Kwa vile bado miezi minne mwambie avumilie, mvumilivu hula mbivu.”
“Nitajitahidi kumwambia, naumia sana mume wangu anapokosa furaha ya ndoa.”
“Mweleze avumilie, nawe basi jitahidi kumridhisha siku mojamoja.”
“Hilo neno leo iwe isiwe patachimbika lazima nikomae naye.”
“Sasa sikiliza baadhi ya kazi zako nitazifanya mimi ili itimize lengo lako leo.”
“Nitashukuru, mbona mtoto wa kike leo atanitaja jina langu la utotoni,” Snura alijitapa.
“Hayo ndiyo maneno.”
Waliendelea na kazi huku wakicheka kwa pamoja.
****
Snura alijitahidi kuwahi nyumbani, alipofika alioga na kula chakula kisha aliagiza red bull na kuinywa taratibu kurudisha nguvu akimsubiri mumewe kwa hamu kubwa.
Kama kawaida alichukua CD ya blue print na kuanza kuuangalia mkanda wa weusi watupu ambao ulimpandisha mzuka na kuona mumewe anachelewa kwani siku ile alipania mchezo kuhakikisha mumewe anapoza machungu ya muda mrefu ya mkewe.
Baada ya kumuona anachelewa naye ndo kila dakika zilikuwa zikipanda na bwawa lilitishia amani kumwaga maji nje. Alitamani kumpigia simu lakini siku ile hakutaka kumshtua alipanga kufanya surprise. Akiwa katikati ya mawazo ya kumwaza mumewe. Mlango ulifunguliwa na kumfanya mumewe ashtuke kumkuta mkewe amevaa mavazi ya utata huku akiangalia mkanda wa kuyashtua mashetani.

Nini kitaendelea,
 
Chombezo: MZEE WA DODO
Sehemu: 03
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500
ILIPOISHIA:
Baada ya kumuona anachelewa naye ndo kila dakika zilikuwa zikipanda na bwawa lilitishia amani kumwaga maji nje. Alitamani kumpigia simu lakini siku ile hakutaka kumshtua alipanga kufanya surprise. Akiwa katikati ya mawazo ya kumwaza mumewe. Mlango ulifunguliwa na kumfanya mumewe ashtuke kumkuta mkewe amevaa mavazi ya utata huku akiangalia mkanda wa kuyashtua mashetani.
SASA ENDELEA...
Tumu alishtuka kumkuta mkewe amewahi kurudi tena kwenye hali ile ambayo ilimuonesha kuna kitu.
“Vipi mke wangu leo mapema?”
“Kwani vipi?” Snura alisema kwa sauti ya mbano huku akimsogelea mumewe ambaye macho yaliyokuwa yamemtoka kama kaona meli barabarani.
Snura alitoa nguo za mumewe moja baada ya nyingine na kumfanya awe kama kuku aliyenyonyolewa manyoya. Akamshika mkono hadi bafuni na kumwagia maji kisha akarudi naye kitandani.
Kwa vile tayari tui lilikuwa nimekolea nazi, alipofika kitandani alimparamia mumewe kama komba mzofu kwenye mnazi. Hakuchelewa kukichemsha chombo antena ikawa juu si unajua tena kwa Tumu ilikuwa kama surpise aliyofanyiwa na mkewe bila kujiandaa.
Wakakivuta chombo mpaka katikati ya maji kisha wakakidandia. Tumu pamoja na kuwa mzoefu na bahari ile lakini siku ile alijiona mgeni wa chombo kila kitu alichofanya alionekana anakosea.
“Bebiii vipi?” Snura alimuuliza mumewe baada ya kuonekana ana papara nyingi.
“Kwani vipi?’
”Mbona kama unakimbizwa, hizi ni zako zabibu kula taraaatiibu,” Snura alimtoa hofu mumewe.
“Sawa Mpenzi.”
Tumu alijikuta akitumia nguvu sana kupiga kasia na kumfanya awahi kuiona pwani kitu kilichomuudhi sana Snura.
“Tumuuu! Unafanya niniii?”
“Hata sielewi nimejitahidi kufunga bleki lakini chombo kimeteleza na kwenda kugota ukingoni.”
“Tumu usinichezee kabisa nimeacha kazi zangu kwa ajili ya kazi hii.”
“Wacha basi nipumzike tutaendelea.”
“Aah! Wapi,” Snura alisema huku akiishika shingo ya kuku na kukuta kuku hajakata roho vizuri alimgeuza mumewe huku akisema.
“Tumu usinitanie, nikachie kazi hii,” alisema akiwa bado kamshika kuku shingo.
“Bebi acha atulie hajafa huyo amesinzia tu.”
“Aaah, wapi! Hawaaminiki hawa, lazima nimuwahi anaweza kunifia mkononi nami ndo kwanzaaa!” mtoto wa kike alisema akikalia shina la muhogo na kuliona bado lina nguvu. Hakusubiri kuwambiwa endesha alikivutia chombo kwenye maji na safari ilianza. He! Kumbe kuku alikuwa kweli amesinzia mchicha alipoanza kukuolea nazi aliwika bila kuangalia muda na kumfanya Snura azidi kuchanganyikiwa kwani mpinzani wake alikuwa amekaa kona aliyokuwa akiitaka.
Tumu naye hakutaka kuonekana hawezi kwani ugomvi aliutafuta mwenyewe hivyo kupigwa ingekuwa aibu. Aliamini kulegea kwake kutampa pointi mkewe ya kumdharau, hivyo naye aligangamala kuhakikisha analinda heshima yake. Tumu alirudi mchezoni ikawa piganikupige hakuna aliyekubali kurudi nyuma mashambulizi yalikuwa mbele kwa mbele. Kama kingekuwa chuma kingetoa cheche za moto.
Taratibu Tumu alianza kumpata sawasawa mkewe ambayo siku nyingi alikuwa hajapata kucha fupi zenye kukuna kwa raha isiyo karaha na kugeuka utamu usoisha hamu.
“Haki ya Mungu naacha kazi,” mkewe alianza kulia huku akikata mawimbi na shetani wa mahaba alikuwa kesha mpanda kichwani.
“Kwa nini mke wangu uache kazi?” Tumu alimuuliza huku naye akipiga kasia taratibu ngoma ukifuata mdundo.
“Ha..ha..pana mi..mi naacha kazi,” Snura alig’ang’ania,
“Meneja kakuudhi?”
“Hapana.”
“Kakutongoza?”
“Hapana.”
“Edna, kakuudhi?”
“Hapana.”
“Kuna mwanaume anakutongoza?”
“Hapana mume wangu.”
“Sasa kwa nini unataka kuacha kazi mke wangu?”
“Naacha tu mume wangu, haiwezekani!”
“Niweke wazi basi mke wangu tatizo nini?”
“Hunipendi mume wangu,” Snura alilalamika huku akifuata mawimbi kwenda juu na chini huku nyoga ukichukua nafasi mikono kichwani kama kapagawa.
“Mimi?” Tumu alishtushwa na maneno ya mkewe.
“Ndiyo, unipendi.”
“Kwa sababu gani?”
“Kumbe siku zote ulinipaka shombo.”
“Shombo?” Tumu alishtuka.
“Ndiyo, leo ndiyo nimemla samaki mwenyewe.”
“Samaki?”
“Ndiyo mume wangu, mbona siku zote hukunipa mapenzi matamu kama haya. Unasubiri mpaka nikuudhi ndipo unipe. Basi mi naona bora niache kazi nisizikose raha hizi.”
“Hapana mke wangu, fanya kazi mi nipo. Siku moja moja kama leo patakuwa panachimbika bila jembe.”
Tumu alisema huku akibadili mfumo toka pasi nyingi na kutumia mtindo chekeche yaani pasi ndefu mbio na krosi ambazo zilizidi kumchanganya mkewe.
“Tuuumu, o..o..ona sasaa, na..na..a..a.chiiii!”
Ooh! Maiwee, kumbe Snura alikuwa ameiona pwani na kutulia kukiacha chombo kiende taratibu kwenda kugota ukigoni.
“Asante mume wangu,” Snura alishukuru huku akimuangalia mumewe mara mbilimbili asiamini kilichompata muda mfupi uliopita.
“Nawe asante mke wangu.”
“Naweza?”
“Tena sana,”
“Mmh! Muongo.”
“Kweli mke wangu ukiamua mtoto hatumwi dukani.”
“Hata wewe leo umeniweza sijawahi, mbona hukunipa siku za nyuma?”
“Raha ni zilezile sema ulizikosa kwa muda mrefu na ulikuwa na hamu nayo lazima iwe tamu.”
“Asante mpenzi, mmmwaaa,” Snura alibusu mumewe huku akimvutia kifuani kwake walikumbatiana na kujikuta wakipitiwa usingizi wakiwa wepesiii,
Siku ile ilikuwa zaidi ya siku ya fungate. Kila mmoja aliliona penzi kama limezaliwa upya.
Nini kitaendelea? Kutukutane toleo lijalo. Kwa wapenzi wa chombezo zangu waliojiunga katika Whatsapp chembezo la AWENYA ATETE (Mambo si Mambo) litaanza rasmi tarehe moja mwezi wa 3 kama bado hujachelewa kujiunga kwa kulipia 4000. Malipo kwa namba yangu 0713646500
 
Chombezo: MZEE WA DODO
Sehemu: 04
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500

ILIPOISHIA:...
“Asante mume wangu,” Snura alishukuru huku akimuangalia mumewe mara mbilimbili asiamini kilichompata muda mfupi uliopita.
“Nawe asante mke wangu.”
“Naweza?”
“Tena sana,”
“Mmh! Muongo.”
“Kweli mke wangu ukiamua mtoto hatumwi dukani.”
“Hata wewe leo umeniweza sijawahi, mbona hukunipa siku za nyuma?”
“Raha ni zilezile sema ulizikosa kwa muda mrefu na ulikuwa na hamu nayo lazima iwe tamu.”
“Asante mpenzi, mmmwaaa,” Snura alibusu mumewe huku akimvutia kifuani kwake walikumbatiana na kujikuta wakipitiwa usingizi wakiwa wepesiii,
Siku ile ilikuwa zaidi ya siku ya fungate. Kila mmoja aliliona penzi kama limezaliwa upya.
SASA ENDELEA...
***
Siku ya pili Snura alikwenda kazini akiwa amechoka sana, siku hiyo kazi ilimshinda kila alipogusa kazi, dakika mbili alipitiwa na usingizi mpaka alipoamshwa na shoga yake Edna.
“Snura..Snura.”
“A..a..bee.”
“Jamani pole.”
“Asante shoga, yaani hata sijui siku ya leo itakuwaje, ndo maana huwa sipendi kitu kama hiki.”
“Shoga mbona kitu cha kawaida tu, siku moja moja siyo mbaya.”
“Shoga bosi atokee hapa unafikiri kuna usalama? Atajua nilikuwa namridhisha mume wangu?”
“Ayajue yote hayo ya nini?”
“Nitamwambiaje?”
“Ukiuliza utasema unaumwa, kwani wewe chuma huumwi? Hata chuma kinapata kutu.”
“Mmh! Wee acha tu, unafikiri kama kila siku si mtu unafukuzwa kazi.”
“Shoga wala usihuzunike sana, kazi za leo nitakusaidia. Fanya unazoweza ukichoka jilaze mi nitafanya peke yangu, usingizi ukiisha utaendelea na kazi. Najua leo kwako kesho kwangu wala usiwe na wasi.”
“Mmh! Nashukuru shoga yangu.”
Snura aliyekuwa amechoka sana alitoa kitenge kwenye mkoba na kutandika chini kisha alijilaza.
Edna alimwangalia shoga yake aliyekuwa amejilaza kwa kujiachia, kuonesha usiku wa kuamkia siku ule palichimbika bila jembe na kutamani naye usiku wa siku ile alianzishe kwa mumewe.
Baada ya kazi Snura alirudi nyumbani baada ya kuoga na kula aliwahi kitandani hakuwa na hamu ya kitu chochote kwa siku ile. Usiku ulipofika hakuna mtu aliyekuwa na hamu na mwenzake kila mmoja alimpa mgongo mwenzake, japokuwa baada ya kugusana kidogo Tumu alitaka kuomba angalau chozi la mnyonge.
Lakini siku ile mkewe alionekana amechoka sana hivyo ingekuwa usumbufu. Aliiacha siku ile ipite huku akiifurahia jana yake ambayo kwake ilikuwa historia ya ndoa yao.
****
Baada ya kumkata kiu mumewe Snura aliendelea na kazi zake huku zikiwa zimeongezeka zaidi baada ya Edna kuugua ghafla. Hivyo kumfanya afanye kazi kwa kipindi kirefu na kurudi nyumbani muda mbaya sana ambao mumewe na mwanaye huwa wamelala. Msichana wa kazi ndiye aliyekuwa na jukumu la kumsubiri tajiri yake na kumwandalia chakula.
Kutokana na wingi wa kazi za mkewe Tumu alijikuta akirudia tabia yake ya kujipakulia na kula bila ushirikiano na mkewe. Alijikuta akipenda kutazama sana CD za blue print ili kumpa mzuka wa kwenda kulianzisha kwa mkewe.
Kila siku ilikuwa lazima abakie sebuleni peke yake kuangalia mkanda ule na akitoka hapo beki ya kwanza kwa mkewe. Mchezo ule ulikuwa kila alipojisikia hamu ya kufanya mapenzi na mkewe lazima aweke mkanda ule kisha ndipo akaliazishe.
Siku moja alijisahau na kuondoka bila kuzima tivii na kuwahi chumbani. Msichana wa kazi alitoka usiku kwenda msalani alipofika sebuleni alishtuka kuona picha ambayo hakuwahi kuiona katika maisha yake.
Alikwenda msalani haraka na kurudi sebuleni kuangalia, alijikuta akivutia huku akihamishiwa katika dunia nyingine kabisa. Bila kujielewa mkono mmoja alishuka bondeni na mwingine aliziminya dodo zake changa zilizojaa kifuani sawa bin sawia.
Alijikuta akisafiri na mchezo uliokuwa ukichezwa naye bila kujitambua alikuwa amedondosha kanga na kubakia kama kuku anayesubiri kuingizwa kwenye kalai la mafuta ya moto.
Kwa vile mchezo ule alikuwa akiujua alijikuta akifika pwani bila kujijua na kupiga kelele baada ya kuangukia banda la kuku na kuvunja yai moja.
Alijilaza chini kuvuta pumzi ili arudi chumbani kwake kulala. Chumbani Tumu akiwa amemaliza kushusha mzigo mawazo yake yalimtuma kama hakuzima deki.
Alitoka haraka akiamini msichana wa kazi hajatoka kwenda msalani. Alipofungua mlango, msichana wa kazi alishtuka alijinyanyua chini ili awahi chumbani. Alipotaka kuelekea chumbani alikumbuka ameacha kanga, alipotoka kuirudia Tumu alikuwa amefika aligeuka na kutimua mbio kuwahi chumbani kwake akiwa hana kitu mwilini na kumfanya Tumu afaidi umbile la msichana wake wa kazi live.
Binti wa kazi naye hakuwa si haba, Mungu alimpendelea kiumbile kidogo lakini chenye utata mtupu. Hakuwa na makalio makubwa sana ila kiuno cha dondola kiliyafanya naonekane vizuri na kumfanya mwanaume rijali kuyatamani.
Kifuani alikuwa na dodo zilizojaa kama embe nyonyo ambazo hazitakiwi kuliwa kwa kisu bali kunyonywa tu, ukitumia kisu utakuwa amefanya kosa la jinai.
Siku zote umbile lile Tumu aliliona ndani ya kanga nyepesi hasa anapotoka kuoga, lakini moyoni alimlaani shetani na kuona kutembea na msichana wa kazi ni aibu pia uchafu hakuwa na hadhi ya mkewe hivyo angejishushia hadhi yake.
Lakini siku ile alijikuta akipandwa na mzuka baada ya kuliona umbile tamu la binti yule. Aliamini mtu wa kushusha hasira zile ni mkewe alirudi tena ndani kwa mkewe kumaliza hasira zake japo mchezo ulikuwa wa upande mmoja.
.
Nini kiatendelea?
 
Chombezo: MZEE WA DODO
Sehemu: 05
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500

ILIPOISHIA:
Binti wa kazi naye hakuwa si haba, Mungu alimpendelea kiumbile kidogo lakini chenye utata mtupu. Hakuwa na makalio makubwa sana ila kiuno cha dondola kiliyafanya naonekane vizuri na kumfanya mwanaume rijali kuyatamani.
Kifuani alikuwa na dodo zilizojaa kama embe nyonyo ambazo hazitakiwi kuliwa kwa kisu bali kunyonywa tu. ukitumia kisu utakuwa amefanya kosa la jinai.
Siku zote umbile lile Tumu aliliona ndani ya kanga nyepesi hasa anapotoka kuoga, lakini moyoni alimlaani shetani na kuona kutembea na msichana wa kazi ni aibu pia uchafu hakuwa na hadhi ya mkewe hivyo angejishushia hadhi yake.
Lakini siku ile alijikuta akipandwa na mzuka baada ya kuliona umbile tamu la binti yule. Aliamini mtu wa kushusha hasira zile ni mkewe alirudi tena ndani kwa mkewe kumaliza hasira zake japo mchezo ulikuwa wa upande mmoja.
SASA ENDEEA...
****
Siku ya pili wakati Tumu anajiandaa kwenda kazini alikutana uso kwa uso na msichana wa kazi, ambaye alionekana mwenye aibu na sana tofauti na siku zote.
“Shikamoo shemeji,” alimwamkia huku akitazama pembeni.
“Marahaba, vipi?”
“Ha..ha..pana,” alijibu huku akielekea msalani akiwa katika vazi la kanga moja.
Tumu alijikuta akimsindikiza kwa macho mpaka alipopotea. Alijikuta akimwona msichana wa tofauti na alivyomzoea siku ile alikuwa kama embe dodo lililoiva juu ya mti na kunukia. Alisisimkwa alipoliangalia umbile kwa mara nyingine likiwa ndani ya kanga nyepesi japo alivaa nguo ya ndani na kulikumbuka aliloliona jana yake likiwa halina kitu.
Kwa vile alikuwa ameisha jiandaa kwenda kazini alikunywa chai iliyokuwa imeandaliwa juu ya meza ili aondoke zake.
Alishangaa siku ile msichana wa kazi kuwa na aibu kupindukia. Mpaka anataka kuondoka hakumuona ilibidi amwite ili amuachie maagizo.
Ajabu alipomwita alikuja akiwa na aibu huku amevaa gauni na kuzifanya dodo zake kifuani zionekane vizuri. Huku akimtazama kifuani alimuuliza.
“Teddy vipi?”
“Sa..sa..mahani shemu.”
“Ya nini Teddy?” alimuuliza kwa sauti ya upole.
Teddy alishindwa kusema alibakia kuuma kucha huku ameangalia chini. Tumu aligundua pengine ni kutokana na kuangalia mkanda wa pilau ambao aliusahau kuuzima. Alimtoa hofu huku akimshika mgongoni kwa kuutembeza mkono taratibu.
“Teddy ya jana achana nayo, sawa mke wangu?” Tumu alipenda kumwita mkewe kutokana na kumwita Snura dada pia kulea mtoto wake ambaye siku zote alimwita mama.
Teddy alisisimkwa mwili baada ya kupata joto la shemeji yake lilimwingia barabara na kumfanya ahisi raha ya ajabu huku bomba la chini likijifungua na kumwaga maji. Alijikaza ili asijulikane yupo kwenye hali gani, kwani alifumba macho na kuliacha bomba limwage maji mepesi.
“Aiishii...a..a..asante mu..mu...shemeji.”
“Nini?” Tumu alishtuka na kumuuliza, baada ya kumuona Teddy ametulia kwa muda akiwa amefumba macho na kushusha pumzi ndefu.
“Aah! Basi tu,” Teddy alijibu akiwa ametizama chini, hali ile ilimshtua Tumu, aliamini Teddy mambo ya kikubwa anayajua.
“Teddy bwana,” Tumu alisema huku akimpiga kofi jepesi shavuni.
“Mmh!” Teddy aliguna tu na kuangalia pembeni hakutaka kukutanisha macho na shemeji yake.
“Teddy nini mbona hivyo?”
“Hakuna kitu shemu.”
“Hebu niangalie,” Tumu alisema huku akimtazama usoni.
Teddy alijitahidi kumtazama kwa shida, jicho lake lilikuwa limelegea lililohitaji msaada. Tumu aliamini pale shetani alikwisha sogea hivyo akimwendekeza angeingia katika majaribu yaliyomshinda baba yetu Adamu.
Ilibadili mada haraka ili aondoke zake.
“Asante kwa chai.”
“Asante kushukuru,” Teddy alijitahidi kujibu sauti ya kawaida, lakini ilikataa na kuonekana kama anatafuna kitu.
“Ulisema nini kimepungua kwenye mahitaji muhimu?”
“Mayai ya kienyeji kwa ajili ya uji wa mtoto, maziwa ya kopo na pambasi.”
“Okay, nitavileta jioni.”
Tumu alitoka kuwahi kazini na kumwacha msichana wa kazi akiwa bado amesimama. Alihisi kumejichafua baada ya kupapaswa na tajiri yake. Alikimbilia bafuni na kujiangalia, alikuta amejivunjia yai la bata lenye ute mwingi.
Alijiswafi na kujikuta akitamani na yeye tamu ya mwili. Toka alipofika ulikuwa ukikatika mwaka wa pili bila kumjua mwaname. Mara ya mwisho alikumbuka alikutana na mwanaume wake wa kijijini usiku wa kuamkia siku ya safari aliyelala kwake mpaka asubuhi.
Tokea hapo alikuwa hamjui mwanaume hasa kutokana na nyumba aliyoikuta kuwa ya watu wanaojiheshimu. Japokuwa tajiri wa kiume alimwita jina na mkewe, lakini yeye alimuona kama baba yake mzazi, alimpa heshima zote.
Lakini jana yake alivyokuta picha ya watu wakipeana raha, alijikuta akiamsha mashetani yake na mtu wa kuyashusha hakuwepo. Baada ya kuoga alirudi kuendelea na kazi zake kama kawaida. ****
Tumu kama aliendelea na tabia zake za kutazama mkanda wa pilau kila alipopata hamu ya kukutana na mkewe ili kupata stimu ya kulianzisha, Siku moja akiwa mjini alinunua mkanda uliokuwa umeandikwa kiswahili BANDIKA NDANDUA na maneno mengine Shughuli mtindo mmoja. Mkanda ule ulimvutia usiku kama kawaida alimwacha mkewe amelala na kutoka sebuleni na taulo bila nguo ya ndani alikuwa ametoka kuoga.
Alipokuwa akiangalia mkanda ambao kweli ulikuwa mtoto hatumwi dukani. Mkono ulikuwa umeshika mnazi, raha zilivyokuwa zikikolea naye alijisahau na kuupanda mnazi wake kwa mikono.
Kelele za mwanamke aliyetandikwa bakora balabala, zilimchanganya na kujiona kama yeye ndiye aliyekuwa akimchapa yule punda aliyetoa kilio cha furaha.
Teddy naye siku ile alikuwa ameamka ili aende msalani, sauti ya mwanaume kugugumia kama anatumbuliwa upele ilimshtua na kumfanya asogee taratibu kwa kunyata hadi sebuleni na kukuta mchezo kwenye screen umepamba moto.
Kila alipoitafuta sauti ya mtu anayegugumia kwa raha hakuiona sauti na mambo yalivyokuwa yakiendelea kwenye screen ya tivii vilimchanganta mtoto wa kike. Hakujua kanga ameiangusha saa ngapi, alizidi kuifuata sauti huku wadudu wakiwa wamecharuka chini.

Nini kiatendelea?
 
Love Stori: Mzee wa Dodo
Sehemu: 06
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500......

ULIPOISHIA:
Alipokuwa akiangalia mkanda ambao kweli ulikuwa mtoto hatumwi dukani. Mkono ulikuwa umeshika mnazi, raha zilivyokuwa zikikolea naye alijisahau na kuupanda mnazi wake kwa mikono.
Kelele za mwanamke aliyetandikwa bakora balabala, zilimchanganya na kujiona kama yeye ndiye aliyekuwa akimchapa yule punda aliyetoa kilio cha furaha.
Teddy naye siku ile alikuwa ameamka ili aende msalani, sauti ya mwanaume kugugumia kama anatumbuliwa upele ilimshtua na kumfanya asogee taratibu kwa kunyata hadi sebuleni na kukuta mchezo kwenye screen umepamba moto.
Kila alipoitafuta sauti ya mtu anayegugumia kwa raha hakuiona sauti na mambo yalivyokuwa yakiendelea kwenye screen ya tivii vilimchanganta mtoto wa kike. Hakujua kanga ameiangusha saa ngapi, alizidi kuifuata sauti huku wadudu wakiwa wamecharuka chini.
SASA ENDELEA...
Teddy alikuwa kama mbwa aliyesikia sauti ya chatu na kuzidi kuifuata sauti ya tajiri yake, aliyekuwa akijisafirisha kwa mkono huku amejilaza kwenye kochi.
Kwa vile alikuta kitu kipo hewani na tajiri yake amefumba macho akiitafuta Pemba. Aliwahi kumtoa mkono kwenye mnazi na kuupanda yeye.
Tumu alishtuka kusikia hali tofauti ilibidi afumbue macho. Alishtuka kumuona msichana wa kazi katikati ya mnazi. Alitaka kumshusha lakini alikuwa amechelewa kwani wazungu walikuwa wameishafika.
Alitulia kuliacha bomba limwage maji kwani hakuwa na nguvu za kumteremkasha kwenye mnazi. Bomba lilipokata maji alimsukuma mpaka chini huku akilalamika.
“Teddy unafanya nini?”
“Sa..sa..mahani she..shee..mu.”
Teddy alisema huku akikimbilia chumbani kwake.
Tumu alimsindikiza kwa macho huku hamu zake zikiwa zipo juu na kutamani kumwita angalau wacheze mchezo wa live tofauti na mkewe anayesusia bila ushirikiano. Kwake ilikuwa kitu kipya kwa msichana wake wa kazi kufanya kitendo kama kile.
Siku zote hakupenda kitu kile kitokee kwa kufanya mapenzi na msichana wa kazi aliye duni asiye na hadhi ya kutembea naye japokuwa alikuwa na umbile changa la kuvutia.
Lakini alishangaa raha za muda mfupi zilimchanganya na kujawa na mawazo mengi juu ya ujasiri ya yule msichana kuupanda mnazi wake bila wasiwasi kama ameuzoea.
Alinyanyuka kwenye kochi na kusimama huku mkonga wa tembo ukiwa bado upo juu huku bomba likiendelea kudondosha maji machache yaliyobaki bombani.
Kwa vile alikuwa ametiwa ndimu na hamu zake zilikuwa juu, alikwenda kumaliza hasira kwa mkewe aliyemkuta amelalia tumbo na kuacha kifusi cha haja kilichoonekana nimejaa tele juu ya kitanda.
Kama kawaida alimgeuza na kukivutia chombo kwenye maji na kuudandia mtumbwi kisha kuanza kupiga kasia taratibu kuitafuta pwani, hakuchelewa kufika pwani. Kama kawaida alikipaki pembeni na kushuka kisha alijilaza pembeni ya mkewe kuitafuta siku ya pili.
***
Teddy aliingiwa na uoga kwa kitendo alichomfanyia tajiri yake kwa kumbaka. Aliamini kabisa ajira yake ilikuwa mashakani, alipanga kutoroka bila kuaga. Lakini alihofia kumuacha mtoto wa tajiri yake bila mtu wa kumwangalia.
Wazo lilikuwa usiku ule afanye kazi zake ikiwa kufanya usafi wa nyumba nzima kisha aandae chai na kujifungua chumbani ili shemeji yake akitoka asimuone ili jioni akirudi mama mwenye nyumba aombe kuacha kazi.
Alifanya kama alivyopanga kwa kufanya usafi usiku ule, kisha aliandaa chai ya mabosi wake na kwenda kujifungua chumbani kwake kusubiri tajiri zake wote waondoke bila kuonana nao.
Tumu baada ya kuondoka mkewe alioga na kwenda juu ya meza na kukuta kila kitu kipo tayari, alikunywa chai na kushangaa kutomuona Teddy wala mtoto wao ambaye huwa lazima amwone kabla ya kwenda kazini.
Alikwenda chumba cha Teddy na kugonga, Teddy kwa woga aliuliza:
“Nani?”
“Mimi,” Tumu alijibu na kushangaa swali kama lile ambalo hakuwahi kuulizwa na msichana wa kazi.
Aliposikia sauti ya shemeji yake alishtuka na haja ndogo ilimtoka kwa mbali alijiuliza atamtazamaje usoni pia atamjibu nini akimuuliza kwa nini alifanya vile.
“Teddy vipi mbona leo umelala muda huu, hebu amka ili nikuachie maagizo niwahi kazini.”
Teddy alifungua mlango na kutoka nje huku vidole vikiwa mdomoni na macho kuangalia chini kwa aibu.
“Shi...shiii..kamoo she..shee..meji,” Teddy aliingiwa na kigugumizi cha ghafla.
“Marahaba,” Kwa vile Tumu hali ile aliishaijua itatokea hakutaka kumtisha kwa lolote alijifanya kama hakuna kitu chochote kilichotokea.
Alimweleza alichomwitia na kumuona mtoto aliyekuewa ameamka kipindi cha kucheza kitandani. Baada ya kumwona mtoto alimwachia maagizo ya siku ile na aliondoka bila kumuuliza kitu chochote.
Tumu akiwa njiani ndani ya gari lake alijikuta akiwa na wasiwasi mwingi kuhusu kitendo cha msichana wa kazi kufanya naye mapenzi bila idhini yake, huenda atamwambia mkewe na kuwa tatizo na litakalo tafsiriwa kuwa yeye ndiye aliyepanga kitendo kile.
Wazo lake lilikuwa kumfukuza kazi ili kuifanya nyumba yake kuwa katika hali ya utulivu. Wasiwasi wake ilikuwa hali ya dharau na kujiamini kwa msichana wa kazi kwa vile alikuwa ameisha ujua mnazi wake na kibaya siku ile hakutumia kinga risasi zilitua ndani. Lakini alijiuliza ataanzia wapi kumfukuza kazi bila maelezo ya kutosha, kutokana na sifa walizokuwa wakimpa msichana wao wa kazi ya heshima na kumlea vyema mtoto wao kama mwanaye wa kumzaa pamoja na umri wake ndogo mkewe asingemuelewa.
Pia ingekuwa vigumu kumwondoa haraka kwa vile hakukuwa na mbadala wake hasa wakizingatia wasichana wengi wa kazi hawako makini na malezi ya mtoto mdogo. Moyoni alipanga kesho yake amweleze kuwa hakufurahishwa na kitendo kila pia alichokifanya asimweleze mtu yeyote ibakie siri yao.
Baada ya kuondoka Tumu, Teddy alibakia na maswali yasiyo na majibu juu ya shemeji yake kuondoka bila kumuuliza chochote kuhusiana na kitendo cha usiku wa kuamikia siku ile.
Hakutaka kusubiri kufukuzwa kazi bali kuomba mwenyewe kuacha kazi.

Nini kiatendelea?
 
Love Stori: Mzee wa Dodo
Sehemu: 07
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500......

ILIPOISHIA:

Wazo lake lilikuwa kumfukuza kazi ili kuifanya nyumba yake kuwa katika hali ya utulivu. Wasiwasi wake ilikuwa hali ya dharau na kujiamini kwa msichana wa kazi kwa vile alikuwa ameisha ujua mnazi wake na kibaya siku ile hakutumia kinga risasi zilitua ndani. Lakini alijiuliza ataanzia wapi kumfukuza kazi bila maelezo ya kutosha, kutokana na sifa walizokuwa wakimpa msichana wao wa kazi ya heshima na kumlea vyema mtoto wao kama mwanaye wa kumzaa pamoja na umri wake ndogo mkewe asingemuelewa.
Pia ingekuwa vigumu kumwondoa haraka kwa vile hakukuwa na mbadala wake hasa wakizingatia wasichana wengi wa kazi hawako makini na malezi ya mtoto mdogo. Moyoni alipanga kesho yake amweleze kuwa hakufurahishwa na kitendo kila pia alichokifanya asimweleze mtu yeyote ibakie siri yao.
Baada ya kuondoka Tumu, Teddy alibakia na maswali yasiyo na majibu juu ya shemeji yake kuondoka bila kumuuliza chochote kuhusiana na kitendo cha usiku wa kuamikia siku ile.
Hakutaka kusubiri kufukuzwa kazi bali kuomba mwenyewe kuacha kazi.
SASA ENDELEA...
****
Jioni tajiri wake wa kike aliporudi, alimsubiri atulie kwanza ndipo amweleze dhamila yake ya kuacha kazi. Baada ya kuoga na kupata kinywaji, alimfuata na kusogea karibu yake kitu kilichomshtua Snura na kujiweka tayari kumsikiliza msichana wake wa kazi.
“Dada," Teddy aliita huku akichezea kucha zake.
“Abee mdogo wangu, mama yake Gift,” alimwitikia huku akizichezea nywele za Teddy zilizokuwa fupi za kipilipili.
“Samahani dada.”
“Bila samahani mdogo wangu,”alimjibu huku akimtazama usoni.
“Naomba niache kazi.”
“Nini?” Snura alishtuka.
“Na...na..omba kuacha kazi.”
“Kwa nini mdogo wangu?”
“Nimewakumbuka nyumbani.”
“Teddy jamani, hata miezi minne haijakatika toka wazazi wako waondoke?”
“Basi tu dada, nimewakumbuka nyumbani.”
“Hapana mdogo wangu, au mshahara mdogo?”
“Hapana dada.”
“Nimekuudhi?”
“Hapana.”
“Sasa nini?”
“Hakuna kitu dada basi tu nimewakumbuka nyumbani.”
“Teddy au shemeji yako kakuudhi?”
“Hapana dada.”
“Kakutongoza?”
“Hapana.”
“Sasa mdogo wangu unataka kuondoka, mwanao Gift atabakia na nani?”
“Si mtafute mtu mwingine.”
“Si rahisi kumpata kwa haraka pia hawezi kumzoea mwanangu kama alivyokuzowea. Siku zote anajua mama yake ni wewe. Naomba kama kuna kitu chochote nieleze hata kama unaona mshahara mdogo nitakuongeza mara mbili ili usiondoke,” Snura alimbembeleza Teddy.
Muda huo Tumu alikuwa akirudi, alipoingia Teddy alinyamaza kimya. Baada ya kuwasalimia alielekea chumbani kubadili nguo. Snura alimwacha Teddy amekaa kwenye kochi na kumfuata mumewe chumbani.
Alimkuta akivua nguo, alipofika alimsimamia kama jini la kutumwa.
“Vipi mbona hivyo?” Tumu alimuuliza mkewe huku akiteremsha suruali na kubakia na nguo ya ndani.
“Teddy umemfanya nini?” Alimuuliza amemshikia mkono kiunoni.
Kauli ile ilimshtua na kujua aliyoyahofia ametokea. Lakini hakutaka kukubali kirahisi kwa aliamini hakukuwa na ushahidi wowote wa kumtia hatiani.
“Teddy!” Tumu alijifanya kushtuka.
“Eeh!”
“Nimemfanya nini?”
“Mbona anaomba kuacha kazi?”
“Kwa hiyo kakwambia mimi ndiye niliyemfukuza kazi?”
“Siyo kwanza kaniambia umemfukuza kazi, haiwezekani nirudi leo aombe kuacha kazi bila tatizo lolote.”
“Kwa kweli sijui lolote muulize wenyewe sababu ya yeye kuacha kazi.”
“Mmh! Sawa nitajua kama umemtaka kimapenzi na ikiwa hivyo nitajua nifanye nini, maana wanaume ninyi hamtosheki,” Snura alisema huku akielekea sebuleni alipomuacha Teddy aliyekuwa njia panda kwa vile hakuwa na sababu za kuacha kazi.
Maneno ya Snura kidogo yamchekeshe Tumu kwani mkewe hakujua tatizo lililotokea usiku chanzo ni yeye aliyekuwa hamridhishi kimapenzi. Lakini bado alibakia na wasiwasi wa siri kutoka nje, lakini aliamini hakumbaka bali yeye ndiye aliyebakwa.
Alitoka sebuleni na kuwakuta wanazungumza, aliingilia mazungumzo na kumuuliza.
“Teddy mke wangu eti kwa nini unataka kuaacha kazi?”
“Nimewakumbuka nyumbani,” Teddy alijibu akiwa ameangalia chini.
“Au mimi nimekuudhi?”
“Hapana.”
“Sema tu yoyote aliyekuudhi akuombe radhi mbele yetu.”
"Hakuna aliyeniudhi.”
“Sasa shida yako kuacha kazi au kwenda kuwaona nyumbani kwenu?”
“Kwenda nyumbani.”
“Utakwenda basi, dada yako siku ya sikukuu atapata mapumziko ya wiki nzima, mtakwenda pamoja, sawa mama Gift?”
“Sawa,” Teddy ilibidi akubali kwa vile hakuwa na sababu ya msingi ya kumfanya aache kazi. Walikubaliana kumuongeza nusu ya mshahara ili kuhakikisha anaendelea kuwepo pale nyumbani.
****
Tumu ilibidi awe makini na Teddy kutokana na kitendo kilichotokea siku za nyuma. Aliamini kabisa msichana wa kazi naye alikuwa na hamu zake ambazo hakuwa na sehemu za kuzitolea.
Hali aliyoikuta siku ile ilidhihirisha Teddy alikuwa na muda mrefu hajapanda mnazi kutokana na ugumu aliokutana nao. Aliamini lazima Teddy naye atapata maumivu kwa vile mpambano haukuwa na upashaji wa moto misuli.
Aibu ya Teddy ilikuwa kubwa sana ilikuwa tofauti na zamani baada ya kumtengea chakula hukaa karibu ya Tumu kusubiri kuagizwa kitu, lakini baada ya tukio lile alikuwa akitenga chakula tu anakimbilia chumbani kwake pia hata ule utani wa zamani ulipotea.

Nini Kitaendelea,
 
Love Stori: Mzee wa Dodo
Sehemu: 08
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500......

ILIPOISHIA:
Tumu ilibidi awe makini na Teddy kutokana na kitendo kilichotokea siku za nyuma. Aliamini kabisa msichana wa kazi naye alikuwa na hamu zake ambazo hakuwa na sehemu za kuzitolea.
Hali aliyoikuta siku ile ilidhihirisha Teddy alikuwa na muda mrefu hajapanda mnazi kutokana na ugumu aliokutana nao. Aliamini lazima Teddy naye atapata maumivu kwa vile mpambano haukuwa na upashaji wa moto misuli.
Aibu ya Teddy ilikuwa kubwa sana ilikuwa tofauti na zamani baada ya kumtengea chakula hukaa karibu ya Tumu kusubiri kuagizwa kitu, lakini baada ya tukio lile alikuwa akitenga chakula tu anakimbilia chumbani kwake pia hata ule utani wa zamani ulipotea.
SASA ENDELEA...
Hali ile iliifanya nyumba ipooze hata mkewe aliiona hali ile na kuwa na wasiwasi na uwepo wa Teddy pale labda kuna siri ambayo haijui inayomfanya msichana wa kazi apoteze uchangamfu wake wa zamani. Kila alipokaa naye kumuuliza kuna kitu gani kinachomkosesha raha Teddy alikataa na kusema yupo sawa.
Snura alimbana mumewe huenda anajua sababu ya Teddy kuwa katika hali ile ya kukosa uchangamfu waliouzoea.
“Mke wangu nikuambie mara ngapi sijui chochote kwa Teddy,” Tumu alimtetea.
“Hapana mume wangu au umemkalipia?”
“Walaa, wee si mwanamke mwenzako kwa nini usimbane akueleze ukweli.”
“Nimembana sana lakini hajaniambia kitu.”
“Amesemaje?”
“Anasema yupo sawa lakini nikimwangalia nagundua ana kitu kinamsumbua.”
“Kuna umuhimu wa kumpa ruksa hata ya wiki moja ili tu furaha yake irudi kama zamani.”
“Hapana mume wangu tukimruhusu Teddy aondoke tutamkosa, tunatakiwa kumuonesha upendo ili ajisikie kama yupo nyumbani kwao.”
“Basi siku unazopata muda wa kupumzika unamchukua na Gift unakwenda nao ufukweni ili kumrudisha katika hali ya kawaida.”
“Nitafanya hivyo mume wangu Teddy ni muhimu sana kwangu, kama akiondoka nitaadhirika.”
“Nami nakuahidi kurudisha furaha ya Teddy.”
“Nitashukuru mume wangu jitahidi.”
Wakati Tumu na mkewe Snura wakitafuta sababu ya msichana wa kazi kupoteza uchangamfu wa zamani, ambao Tumu alikuwa akijua sababu yake ambayo hata yeye ilimshtua na kuwa na wasiwasi huenda akibanwa sana anaweza kusema.
Pamoja na wasiwasi ule aliamini yeye kama yeye hakuwa na kosa lolote kwa vile alibakwa hakumbaka. Wazo lilikuwa ni kukaa na Teddy na kumtoa wasiwasi na kumweleza jambo lile alione kama la kawaida.
Alipanga siku ya pili wakibaki wawili amtoe wasiwasi kabisa ili kumfanya aone tukio lilitokea lilikuwa la kawaida wala halina ubaya wowote. Upande wa pili ilikuwa tofauti na mawazo ya Snura na Tumu ambao walikuwa na mawazo tofauti.
Teddy alikuwa kwenye wakati mgumu toka siku alipoonja kuupanda mnazi wa shemeji yake ulimchanganya na kuamini hata upanda tena. Wasiwasi wa kufukuzwa kazi uliondoka baada kuonesha wote wanamuhitaji. Kilichoendelea kumtesa ndoto za kila siku kuota anaukwea mnazi wa bosi wake tena akisaidiwa kuukwea mpaka kufika kileleni.
Kila aliposhtuka alijikuta amejivunjia yai la bata mzinga lililomchafua na kuhisi kichefuchefu, asubuhi alipoamka na kumkuta shemeji yake akienda mezani kufungua kinywa akiwa amevaa bukta na singland anajikuta kwenye hali mbaya ambayo aliamini mwenye uwezo wa kutuliza mzuka wake ni tajiri yake ambaye alimuona kukamilika kwa kila kitu.
Usiku pia alikuwa kwenye wakati mgumu baada ya kumuandalia chakula na kusuburi ale kisha aondoe vyombo. Kwake ilikuwa ikimpa mateso kila alipokuwa akitazama akila kwa pozi na kutamani siku moja angekuwa mke wa mtu na kuwa pembeni ya mumewe wakila pamoja kisha wanaenda kulala pamoja na kupewa haki yake ambayo aliishia kuipata ndotoni.
Mateso yale yalimfanya aione nyumba chungu na kupanga kuondoka la sivyo ashee na bosi wake kujiti cha rilei cha mbio za utamu wa hamu usioisha hamu. Lakini hakuwa na jeuri ya kumweleza shemeji yake ambaye alikuwa na mke mzuri kuliko yeye tena mfanyakazi wa mshahara mkubwa kuliko yeye muosha mtoto kupika na kuosha vyombo.
Hali ile ilikuwa ikimzidi kumtesa binti mdogo na kuiona nyumba ile kama sehemu ya mateso. Wazo alililokuwa nalo ni kuacha kazi ili akaolewe kijijini kwao na bwana yake wa zamani aliyemuingiza dunia ya wakubwa.
Usiku kwake ulikuwa wa mateso kila siku lazima amuote tajiri yake tena akimtandika kisawasawa na yeye kukata mawimbi vilivyo. Lakini alinaposhtuka usiku hujikuta peke yake na kuanza kujisindikiza kama mpapasa kinanda na mwisho wake hubaki na hamu zake na kuona njia nyepesi ilikuwa kuacha kazi na kwenda kuutafuta utamu nje.
****
Siku ya pili kama kawaida Teddy baada ya kuandaa kila kitu mezani alirudi chumbani kwake kusubiri Tumu aondoke. Akiwa amejilaza kitandani kwake macho ametazama juu alishtushwa na mlango kugongwa. Alishtuka na kunyanyuka kitandani bila kuuliza alijua ni shemeji yake.
Alijitengeneza vizuri na kutoka hadi mlangoni kabla ya kufungua aliitika.
“Abee shemeji.”
“Vipi mbona umejificha ndani?”
“Hapana shem nilikuwa nacheza na Gift.”
“Njoo basi tuzungumze.”
“Nakuja shemu,” Teddy alijua anakwenda kupewa maelekezo ya siku ile kabla ya shemeji yake kwenda kazini.
Alipotoka alishangaa kumkuta shemeji yake amevaa kaptula fupi na singland na kuufanya mwili wake wote uwe nje. Tumu hakujua sehemu za mwili wake ndiyo mateso kwa msichana wake wa kazi.
Alipotoka alisimama kama jini wa kutumwa asijue afanye nini aibu ilimtawala kama ndo kavunja ungo usiku wa kuamkia siku ile.
“Teddy.”
“A..a..bee,” aliitikia vidole mdomoni shingo kangalia pembeni.
“Teddy una nini?”
Alimuuliza huku akimshika sehemu za shingoni kitu kilichofanya Teddy asisimke na kuhisi vitu vikitembea mwili mzima mara ghafla yai lilipasuka na kumfanya amng’ang’anie shemeji yake asianguke. Alimshika kwa nguvu mpaka alipomaliza maji yote kwenye dafu kisha alishusha pumzi ndefu na kumwachia tajiri yake.
Kisha alitimua mbio kukimbilia bafuni kujisafisha kwani aliamini asingeweza kuzungumza na tajiri yake kwenye hali ile. Kila kilichotokea kilimwacha njia panda Tumu na kujiuliza kinachotokea ni kweli au usanii wa msichana wake wa kazi.
Alishindwa afanye nini alikwenda kukaa kwenye kochi kumsubiri Teddy aliyekuwa amekimbilia bafuni. Teddy baada ya kuingia bafuni alijisafisha na kuoga kabisa na kufanya usafi wa kufuli huku akijiuliza hali ile itaendelea mpaka lini.
Aliona heri aseme ajue moja kama atapata au atakosa, alijiapiza kama atakosa basi ataacha kazi kwa kuondoka bila kuaga.

Nini kitaendelea Teddy ataendelea kuteseka mpaka lini? Je, atachukua uamuzi gani?
 
Chombezo: Mzee wa Dodo
Sehemu: 09
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500......

ILIPOISHIA:
Alimuuliza huku akimshika sehemu za shingoni kitu kilichofanya Teddy asisimke na kuhisi vitu vikitembea mwili mzima mara ghafla yai lilipasuka na kumfanya amng’ang’anie shemeji yake asianguke. Alimshika kwa nguvu mpaka alipomaliza maji yote kwenye dafu kisha alishusha pumzi ndefu na kumwachia tajiri yake.
Kisha alitimua mbio kukimbilia bafuni kujisafisha kwani aliamini asingeweza kuzungumza na tajiri yake kwenye hali ile. Kila kilichotokea kilimwacha njia panda Tumu na kujiuliza kinachotokea ni kweli au usanii wa msichana wake wa kazi.
Alishindwa afanye nini alikwenda kukaa kwenye kochi kumsubiri Teddy aliyekuwa amekimbilia bafuni. Teddy baada ya kuingia bafuni alijisafisha na kuoga kabisa na kufanya usafi wa kufuli huku akijiuliza hali ile itaendelea mpaka lini.
Aliona heri aseme ajue moja kama atapata au atakosa, alijiapiza kama atakosa basi ataacha kazi kwa kuondoka bila kuaga.
SASA ENDELEA....
Baada ya kumaliza kufanya usafi alijifunga upande wa khanga na kwenda chumbani kwake na kupita mbele ya Tumu bila kumsemesha.
Tumu alimsindikiza kwa macho mpaka alipopotea machoni mwake, mwili wa Teddy ulikuwa mchanga uliokuwa una kivutio kwa mwanaume rijali mpenda ngono. Kifua chake kidogo kilichojaza dodo zilizojaa na kukifanya kifua chake kipendeze kutazamwa kila wakati muda wote.
Mwili wake mdogo ulikuwa kama kompyuta mpakato (Ipad) unayoweza kutembea nayo popote. Kiuno kilikuwa kidogo kilichobeba makalio ya wastani lakini yenye kumpendezesha kama akivaa suruali. Siku zote Tumu alimfananisha na mdogo wake hivyo hakuwa na wazo la kumtamani hata siku moja.
Lakini hali iliyokuwa ikiendelea na tukio lilitokea siku ya nyuma aliamini alitakiwa kufanya maombi mazito, kwani shetani alionekana kuwa na nguvu na kuanza kuusambaratisha moyo wake.
Chumbani Teddy akiwa anabadili nguo alikumbuka mchezo aliomfanya shoga yake kwa tajiri yake mpaka akafanikiwa kufanya naye mpenzi na mwishowe akawa nyumba ndogo. Alipanga kama siku ile shemeji yake hatamuelewa basi naye atajitoa akili kuhakikisha anamnasa kimapenzi.
Baada ya kubadili nguo alivaa gauni fupi lenye kuuweka mwili wake sehemu kubwa nje ndani hakuvaa kitu chochote kama angetanua miguu angemwaga radhi. Wakati wa kutoka sebuleni macho ya Tumu yalitua kwenye kifua kilichoonesha sehemu kubwa ya dodo, ilikuwa tofauti na alivyoondoka alirudi akiwa amejiamini sana na kwenda kukaa pembeni ya tajiri yake na kukunja mguu na kuyafanya mapaja yote yawe nje.
Alimuona Tumu akiyaangalia kwa chati, Teddy aliona mtego wake kama unataka kunasa, mtoto wa kike alizidi kuitanua miguu yake bila wasi huku akijifanya hajui anafanya nini. Macho ya Tumu yalishtuka kuona kama duka la Teddy lipo wazi, alikaza macho vizuri ili apate uhakika Teddy alijigeuza kwa ghafla na kumsemesha tajiri yake aliyeshtuka mpaka akadondoka kwenye kochi.
“Ndiyo mume wangu.”
“E..e..ee,” Tumu alibabaika.
“Jamani mume wangu kulikoni,” Teddy alimfuata alipokuwa ameteleza ili amnyanyue.
“Niache nitaamka mwenyewe.”
“Pole mume wangu,” Teddy siku ile alichangamka kuliko kawaida tofauti na mwezi mzima uliopita alikuwa mwoga na mwenye aibu.
“Asante,” Tumu aliitikia huku akikaa kwenye kochi.
“Vipi tena?” Teddy aliamua kujitoa akili ili siku ile ijulikane mbivu na mbichi. Alimsogelea na kumshika shingoni na kumwinamia.
“Nipo kawaida tu.”
“Pole, hukuumia?”
“Nipo sawa sijaumia.”
Teddy alirudi alipokuwa amekaa awali na kutulia kumsikiliza shemeji yake kwa kuamini ujumbe utakuwa amefika. Tumu alijikuta akijiuliza ni kweli Teddy hakuvaa kufuli na kama hakuvaa kwa nini amefikia hatua ile. Kwa hali ile aliamini nyumba yake ipo katika majaribu makubwa. Isingekuwa mkewe angemfukuza kazi ili kulinda nyumba yake lakini asingeeleweka kwa mkewe na kuonekana pengine yeye ndiye mwenye tatizo.
Tumu alijikaza kiume ili aweze kumuuliza Teddy alichomuitia, binti aliyeonekana amekuja kwa nia moja ya kuhakikisha anakipata alichokikusudia.
Alijitahidi kuchezesha mbali macho yake na mtego wa Teddy, lakini macho yalikataa yaling’ang’ania kutazama paja changa za msichana wa kazi zilizoonesha hazitumii dawa za kuchumbua zilizidi kumweka kwenye hali mbaya.
Kwenye kambi hali ilikuwa mbaya sana mkuu wa majeshi alitaka kutoka nje ya kambi. Alijikuta akiona aibu kwa kuuweka mkono juu ya kambi ya jeshi ili kuficha hasira za mkuu wa kikosi. Teddy naye alizidi kufanya makusudi kwa kuitanua miguu yake kama amejisahau hajavaa kitu ndani.
Tumu alijikuta katika wakati mgumu, kwani kila alipokwepesha jicho lake alishindwa na kubakia kutazama mateso bila chuki. Teddy alirudisha jicho lake na kukutanisha na bosi wake ambaye mahanjamu yalimfanya awe kama mtu aliyekula kuberi iliyokuwa ikipanda taratibu na kukimbilia machoni.
Alimuangalia Teddy kwa jicho la ‘nihurumie unanitesa mwana wa mwenzio’. Teddy aliamini mtego ulikuwa umenasa sawasawa kama samaki alikuwa amemeza doano mpaka tumboni, kuitoa lazima itoke na utumbo.
Bila hofu alinyanyuka na kusimama huku akimtazama bosi wake aliyekuwa dhoofu lihari na kukitoa kiblauzi kilichomwacha mti wa mwembe uoneshe dodo zilizotulia. Ile ndiyo ulikuwa ugonjwa uliokuwa ukimtesa sana Tumu alipoziona dodo zilizosimama sawa bint sawia kama askari vijana waliotoka depo juzi wakiwa kwenye ukaguzi.
Teddy akiwa ameuma mdomo wa chini upande mmoja kama anataka kuutafuna, macho yaliyolegea kama kibatari kilichoishiwa mafuta na kuwaka kwa kujilazimisha. Alimtazama Tumu aliyokuwa ametokwa na macho kama kaona sisimizi kambeba tembo.
Teddy baada ya kuamini Tumu ni kuku wake hakutakiwa kumshikia manati. Aliitupa chini blauzi na kuzishika dodo zake kama mfungaji anayetaka kukamua maziwa na kuziminya kidogo kama anaziogopa na kuzidi kumtesa tajiri yake.
Aliamua kumpiga tajiri yake pigo la mwisho kwa kumalizia sketi na kuinama kuiweka chini, ilikuwa tofauti na alivyovua blauzi aliitupa chini. Lakini sketi aliiweka chini tena akiwa amemgeuzia mgongo tajiri yake na kumwachia ateseke na kiti cha nyuma kilichokuwa kimechongoka kama cha baiskeli ya Wakulya wa Kitunda ya kubebea mayai.
Tumu alimshika mkuu wa majeshi kwa nguvu ili atulie, mapigo ya moyo yalimwenda mbio na kujiuliza kama mkewe anatokea pale nini kingetokea. Alitaka kunyanyuka kwenda chumbani lakini mwili haukuwa na nguvu kwa vile tayari sumu ya hamu ilikuwa imemsambaa mwilini.

Nini kitaendelea Teddy ataendelea kuteseka mpaka lini? Je, atachukua uamuzi gani?
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 10
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500
...
ILIPOISHIA:
Aliamua kumpiga tajiri yake pigo la mwisho kwa kumalizia sketi na kuinama kuiweka chini, ilikuwa tofauti na alivyovua blauzi aliitupa chini. Lakini sketi aliiweka chini tena akiwa amemgeuzia mgongo tajiri yake na kumwachia ateseke na kiti cha nyuma kilichokuwa kimechongoka kama cha baiskeli ya Wakulya wa Kitunda ya kubebea mayai.
Tumu alimshika mkuu wa majeshi kwa nguvu ili atulie, mapigo ya moyo yalimwenda mbio na kujiuliza kama mkewe anatokea pale nini kingetokea. Alitaka kunyanyuka kwenda chumbani lakini mwili haukuwa na nguvu kwa vile tayari sumu ya hamu ilikuwa imemsambaa mwilini.
SASA ENDELEA...
Teddy baada ya kuusambaratisha moyo wa Tumu taratibu kama jini wa kutumwa alimfuata bosi wake kwenye kochi kama mteja aliyekuwa akisubiri kufanyiwa masaji. Alipofika alimkalia kwenye majapa na kumpa juisi laini ambayo aliipokea na kujikuta wote wakiimba wimbo mmoja.
Taratibu chombo kiliingia katikati ya maji ya kuanza safari ambayo ilionekana kumfurahisha dereva na abiria. Baada ya mwendo abiria hakufurahia barabara na kuomba wahamie barabara nyingine.
“She..she..me..me..meeeji,” Teddy alimwita Tumu kwa sauti ya mtu aliyekuwa akitafuna pilipili.
“U..u..unase..semaje?” Tumu alipata kigugumizi cha ghafla baada ya mchicha kukolea nazi.
”Ha..ha..pa, ha..ha..pa..fa..fai.”
“Kwa..kwa..hiyo?”
“Tu..tu..ha..ha....hame ha..ha..pa.”
“Su..su..bi..bi..bi i..ii..ii.”
Mwanaume alijikuta akichanganya miguu kama Ronardo na kuanza kuingia nao kama Mesi kwa kuwatambuka mabeki mmoja baada ya mwingine.
Teddy naye hakukubali alikula naye sahani moja, alimfukuza mpaka ndani wa wavu na kutulia wote wakiwa wameangukia banda la kuku na kuvunja mayai ya mbuni kwa mpigo.
Kwa vile mechi ilikuwa ya kumshtukiza Tumu hakukumbuka kofia nyepesi kwa ajili ya taadhari ya safari. Baada ya kutulia kwa muda kama wapiganaji wa mieleka waliochoka kupigana, Teddy aliita.
“Shemu.”
“Naam.”
“Twende ndani hapa sifaidi.”
Tumu ambaye alikosa gemu la live kwa muda mrefu, hasa la mchana alihamia kwenye chumba cha mfanyakazi na kuendelea mpambano ambao baada ya muda Teddy alichoka sana na kuomba mchezo uharishwe.
“She..shem to..to..sha, nimechoka.”
“Poa.”
Tumu alikipaki chombo pembeni na kuteremka na kumwacha Teddy amelala alikuwa amechoka kama alikuwa akifua vyuma. Tumu alimwacha apumzike na siku ile kushinda nyumbani akimlea Gift kumpa na mapumziko Teddy baada ya mtanange uliomfurahisha Tumu mwanzo mpaka mwisho wa mpambano na kutamani kila siku ingekuwa kama vile.
Wasiwasi wa kuivunja ndoa yake iliondoka moyoni na kuamini kwa mtindo ule wa kutoka na Teddy ndiyo utakuwa muarobaini wa tatizo lake la kulishwa kiporo na mkewe.
Tumu alijikuta akijimilikisha msichana wake wa kazi, kila siku usiku alikuwa akijishindia shamba kwa raha zake. Kila asubuhi Teddy alikuwa na heshima zote kama msichana wa kazi.
Lakini baada ya Snura kwenda kazini na kumwacha mumewe ambaye alibadili ratiba ya kuwahi kuondoka na kuchelewa kila siku. Walipobaki wawili waligeuka mtu na mkewe, walioga pamoja na kunywa chai pamoja kisha Tumu alipata cha asubuhi na kuoga tena kisha aliwahi kazini.
Siku zote Teddy alionesha utiifu mbele ya Snura huku akionesha kuifurahia kazi yake. Bila kujua mama mwenye nyumba alishukuru kwa msichana wake wa kazi kubadili uamuzi wa kuendelea kufanya kazi bila kujua kageuzwa babu jinga inama ufikiri mali zako zinaliwa kwa uvivu wako.
Teddy alibadili hata utaratibu wa kila usiku alimsubiri Tumu arudi wale pamoja kwa kulishana kama ndege. Wakati huo Snura amelala kama maiti akiamini mumewe shida yake kubwa kumwaga mzigo tu na kusahau raha ya wimbo kupokezana.
Mtoto wa kike ndani anaanza kunawili na kuvutia. Umbile nalo lilinona kutokana na mbolea ya majimaji ya tajiri yake ambayo ilikuwa hajachangwanywa na madawa ya sumu.
Pamoja na kupewa penzi la ushirikiano kwa binti mchanga Teddy tena mwenye chungu kilichokuwa kipya kilichoonesha kimetumika kidogo hakikuwa tofauti na kipya.
Teddy alikuwa mgeni wa mapenzi siku zote alipenda mtindo wa kuhudhulia mazishi ya mende yasiyo na mazishi. Pamoja kuwa mgeni wa mahanjumati lakini binti alikuwa na nyonga laini kama ute wa yai.
Tatizo lingine alikuwa anakwenda nje biti kwa kunyumbulika kwa papara kwa kuamini mwanamke nyonga na kusahau raha ya ngoma ifuate mdundo.
Tumu ilibidi aingie kazi ya kumfundisha binti kunata na binti kwa kuzungusha nyonga taratibu kulingana na mzungusho wa mwiko kwenye chungu ili kukifanya chakula kiive vizuri.
Mwanzo ulikuwa mgumu kwa kujisahau pale ngoma inapokuwa inogile na kujikuta akipandwa na wazimu wa mapenzi. Kila alipoanza kupandisha mashetani alimkumbusha.
“Teddy taratibu.”
“Shemu si..si..wezi.”
“Utaweza taratibu.”
“Najitahidi lakini najikuta nimepandisha mashetani, najisahau na kutoka nje ya biti.”
“Lakini lazima nikusifu mambo unayaweza.”
“Namzidi dada?”
“Ukimzidi itakuwaje?”
“Si unioe niwe mke wa pili.”
“Taratibu basi.”
“Shemeji hata sijui kwa nini?”
“Hujui nini tena?”
“Nini hatima ya penzi letu yaani najikuta naumia ukienda kulala kwa mkeo.”
“Mmh! Lakini kama usiku sikuja asubuhi si nakupa raha kamili.”
“Siku nyingine unanizidishia dozi asubuhi na kunifanya nilale muda wote. Kazi inakuwa ngumu, kama vipi uwe unaanza kunipa dozi ya kunilaza kisha unakwenda kwa dada.”
“Teddy kila kitu kitapangwa usiwe na shaka.”
“Lakini kumbuka sasa hivi nimekuwa kama mkeo kila kitu nakufanyia zaidi ya mkeo. Nakupikia nakufulia nakulelea mtoto na mwisho nakupa penzi kamili ambalo naamini kwa mkeo hulipati.”
“Umejuaje?”
“Siku ile baada ya kukusafirisha wakati wa kukutua uwanjani aliniambia nakupa penzi tamu kuliko mkeo.”

Nini kitaendelea?
 
SEHEMU: 11
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500

...ILIPOISHIA:
“Namzidi dada?”
“Ukimzidi itakuwaje?”
“Si unioe niwe mke wa pili.”
“Taratibu basi.”
“Shemeji hata sijui kwa nini?”
“Hujui nini tena?”
“Nini hatima ya penzi letu yaani najikuta naumia ukienda kulala kwa mkeo.”
“Mmh! Lakini kama usiku sikuja asubuhi si nakupa raha kamili.”
“Siku nyingine unanizidishia dozi asubuhi na kunifanya nilale muda wote. Kazi inakuwa ngumu, kama vipi uwe unaanza kunipa dozi ya kunilaza kisha unakwenda kwa dada.”
“Teddy kila kitu kitapangwa usiwe na shaka.”
“Lakini kumbuka sasa hivi nimekuwa kama mkeo kila kitu nakufanyia zaidi ya mkeo. Nakupikia nakufulia nakulelea mtoto na mwisho nakupa penzi kamili ambalo naamini kwa mkeo hulipati.”
“Umejuaje?”
“Siku ile baada ya kukusafirisha wakati wa kukutua uwanjani aliniambia nakupa penzi tamu kuliko mkeo.”
SASA ENDELEA...

“Mimi?” Tumu alishtuka.
“Jamani nani mpenzi wangu humu ndani?”
“Mimi.”
“Mmh! Siamini kama nilisema mimi,” Tumu alijikuta akiona aibu kwa vile hakutaka kuitoa siri ya mke wake kwa msichana wa kazi ambaye angezidi kumdharau.
“Umenifundisha mwenyewe, sasa hivi full dozi kwenda mbele na nitahakikisha unamwacha mkeo na mimi kuimiliki nyumba hii.”
“Ukifikia huko utakosa kila kitu, we jilie vyako vingine havikuhusu,” Tumu alizungumza kwa sauti iliyoonesha hakufurahishwa na maneno Teddy.
“Nimekuelewa shemeji.”
Teddy baada ya kujua kamuuzi tajiri yake alijituma mtoto wa kike kiasi cha kimrusha akili na kusahau yote yaliyopita huku akimuahidi wakipata msichana mwingine wa kazi ampangie chumba.
***
Wakati penzi la tajiri na mfanyakazi wake yamepamba moto, mama mwenye nyumba alijikuta akijishtukia na hali aliyokuwa akijikuta nayo asubuhi akiamka. Kila aliposhtuka na kushika kwenye sahani alikuta hapajatumika.
Alijikuta akishtuka na kuona kama mumewe kachoka na penzi self service la kujipakulia mwenyewe. Alijikuta akikosa raha kila alipoamka na kufikiri labda asubuhi ya siku ya pili akiamka atakuta sahani umetumika. Lakini kila alipoamka aliikuta kavu kuonesha haikuguswa kabisa usiku.
Kitendo kile kilimyima raha hata kazini alikuwa mtu wa mawazo mengi, kuna kipindi alihama kabisa kimawazo kitu kilichomshtua shoga yake Edna.
“Shoga vipi unajua wiki hii yote sikusomi, lakini leo naona imezidi.”
“Mmh! Wee acha tu.”
“Hapana shoga, lako langu langu lako usinifiche naweza kukupa msaada,” Edna alimbembeleza Snura.
“Unajua siku hizi mume wangu simuelewi kabisa.”
“Kivipi?”
“Zamani japokuwa sikumpa ushirikiano lakini ilikuwa haipiti siku mbili ukiamka usubuhi unakuta sahani imetumika mi kazi yangu kuiosha ili jioni iwe safi kwa ajili ya mlo mwingine.”
“Kwa hiyo ukiiosha asubuhi ndiyo basi?”
“Hapana shoga, kabla ya kulala unakikisha sahani safi kwa kujua lazima mume wangu atajipakulia na kujilia tani yake.”
“Mmh! Lete habari.”
“Basi sasa hivi mwezi unakatika kila asubuhi nikiamka nakuta kavu haijatumika.”
“Labda akimaliza kutumia anasafisha.”
“Shoga wee hata shombo linalobaki kwenye sahani halibaki! Shoga najifahamu mwenyewe nikitumika najijua?”
“Mmh! Basi labda anaumwa.”
“Walaa haumwi, huenda kachoka kujilia mzoga.”
“Mzoga?” Edna alishtuka kusikia neno lile.
“Eeh mzoga, kisichochinjwa si mzoga tu.”
“Una maana gani kusema hivyo?”
“Penzi lisilo na maandalizi si sawa na kula mnyama asiyochinjwa?”
“Mmh! Makubwa, kwani umemuuliza shemeji kwa nini siku hizi hajipakulii.”
“Mmh! Shoga aibu, kwetu matusi kuuliza kitu kama hivyo kama humpi mumeo haki yake kwa asilimia mia.”
“Kwa hiyo?”
“Wasiwasi wangu huenda kapata nyumba ndogo inampa penzi la ushirikiano tofauti na langu.”
“Mmh! Shoga wasiwasi wako tu.”
“Siyo wasiwasi wangu, tena kilichonichanganya zaidi leo asubuhi wakati nakuja kazini kwenye redio ya kwenye gari langu, nilisikia sababu ya wanaume kuwa na nyumba ndogo tena yangu ndiyo walisema mbaya sana inaweza kusababisha talaka.”
“Kwa hiyo unataka kuniambia ndiyo sababu?”
“Nina imani kabisa ndiyo sababu.”
“Lakini naamini kama utajipanga kazi utafanya na mzee atapate haki yake sawasawa.”
“Lazima nifanye hivyo, kazi naipenda lakini mume wangu nampenda zaidi. Kama mwezi mzima hajanigusa ndoa yangu inakwenda sehemu mbaya.”
“Basi shoga jipange kazi na mumeo ili tusipoteze chochote katika vitu vyote.”
“Yaani wiki nzima sina raha, lakini mada ya leo niliyoisikia kwenye redio imenichanganya sana na kuninyima raha. Kidogo nigeuze gari nirudi nyumbani nikampe haki yake mume wangu.”
“Shoga usiumie sana, leo fanya kazi kwa kiasi ili mwili uwe na nguvu ili kumfanya mzee kama ana kidumu basi kuanzia leo usiku arudishe penzi nyumbani.”
“Yaani nitakachokifanya leo mume wangu mwenyewe lazima atachanganyikiwa.”
“Na uhakikishe kutenga sahani leo mwisho.”
“Shoga mwezi huu hata nikifukuzwa kazi potelea mbali lakini nihakikishe nyumba nairudisha mkononi mwangu.”
Walipeana moyo na kuendelea na kazi.
***
Snura alikuwa kazini kimwili lakini mawazo yake yalikuwa nyumba akiwaza jinsi kuhakikisha siku ile anamfanyia mumewe kitu kipya ambacho kitamshtua na mshtuko ule uwe wa siku zote.
Alikumbuka kitu kingine kuhusu chakula cha jioni ambacho aliamini alitakiwa kukipika mwenyewe. Alimpigia simu msichana wa kazi na kumkataza asipike chakula cha jioni.

Nini kitaendelea?
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 12
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500

ILIPOISHIA:
Snura alikuwa kazini kimwili lakini mawazo yake yalikuwa nyumba akiwaza jinsi kuhakikisha siku ile anamfanyia mumewe kitu kipya ambacho kitamshtua na mshtuko ule uwe wa siku zote.
Alikumbuka kitu kingine kuhusu chakula cha jioni ambacho aliamini alitakiwa kukipika mwenyewe. Alimpigia simu msichana wa kazi na kumkataza asipike chakula cha jioni.
SASA ENDELEA...
“Teddy za saizi?”
“Nzuri tu dada.”
“Vipi Gift hajambo?”
“Hajambo anacheza tu baada ya kushiba.”
“Asante mdogo wangu kwa kumtunza vizuri mwanangu, sasa Teddy.”
“Ndiyo dada.”
“Chakula cha jioni pika cha kwako.”
“Leo mnakwenda kwenye pati?”
“Hapana , nitakuja kupika mwenyewe.”
“Na hiki nilichonunua?”
“Kiweke utapika kesho, lakini chakula cha mume wangu nitapika mimi.”
“Jamani dada kwa nini ujitese? Acha nitakusaidia.”
“Hapana Teddy, leo nitawahi kurudi usiwe na wasi.”
“Hakuna tatizo dada yangu.”
Baada ya kumkataza msichana wa kazi asipike chakula cha jioni, alimpigia simu mumewe ili kumuulizia jioni ya siku ile angependa kula nini.
“Haloo my love leo jioni unataka kula nini?”
“Maagizo nimemuachia Teddy.”
“Teddy ni nani katika nyumba yangu?” Snura alikuja juu.
Kauli ile ilimshtua sana Tumu na kujawa na mawazo huenda mkewe kashtukia mchezo.
“Mke wangu hilo ni swali gani?” naye alijifanya kukasirika.
“Nakuuliza Teddy ni nani ndani ya nyumba yangu?”
“Maswali ya kipumbavu kama hayo yameanza lini?”
“Mimi na Teddy nani anayetakiwa kupanga chakula cha ndani?”
“Lakini mke wangu haya unayoyasema leo yameanza lini. Kila siku unasema kila kitu umezungumza na Teddy, kosa langu nini kukueleza chakula cha jioni Teddy anajua?”
“Hata kama anajua, sina haki ya kukuuliza?”
“Unayo, lakini nilijua chakula cha jioni kila siku kipo mikononi kwa Teddy.”
“Kwa hiyo kama kila kipo kwa Teddy sina haki ya kuuliza unachokula mume wangu?”
“Unayo.”
“Sasa kwa nini nakuuliza unampa kipaumbele msichana wa kazi au ndiyo amekuwa mkeo?”
“Hapana mke wangu, sikuwa na maana hiyo, najua unachelewa kurudi na ukirudi umechoka sasa suala la nyumba uliliacha mikononi kwa Teddy.”
“Hata kama, leo nimeamua kukupikia chakula cha jioni mume wangu.”
“Mmh! Nitafurahi sana mke wangu hata mimi nina hamu nacho.”
“Haya mume wangu niambie leo unataka kula nini?”
“Kama kawaida tambi nyama.”
“Mume wangu majibu si hayo, unataka turumbane bure.”
“Basi nisamehe mpenzi wangu.”
“Nisamehe miye kwa kukufokea mume wangu, naomba unisamehe sana nipo chini ya miguu yako.”
“Mke wangu wala usiwe mnyonge, una haki ya kuwa makali, siku zote nyuki mkali kwa asali yake.”
“Jamaniii, asante mume wangu.”
“Basi mke wangu nikutakie kazi njema.”
“Na wewe pia ubavu wangu mmmwaaa,” Snura alimchumu mumewe.
“Asante na wewe mmmmwaaaa,” Tumu naye alijibu.
Snura baada ya kukata simu alimgeukia shoga yake Edna.
“Vipi naona unampiga mkwala mzee?”
“Shoga kweli nyumba yangu ipo katika hali mbaya.”
“Kivipi?”
“Anasikilizwa msichana wa kazi kuliko mama mwenye nyumba.”
“Shoga sasa huo wivu wa kijinga, leo ndiyo umejua. Lini aliingia jikoni jioni zaidi ya kurudi unakula na kulala.”
“Lakini nilipomuuliza anakula nini angenijibu.”
“Kwa vile si mpikaji alikuwa na haki ya kukujibu hivyo. Kweli tunafanya makosa kuwaachia wasichana wa kazi wafanye kila kitu.”
“Sasa kwa kazi zetu unafikiri tutafanyaje?”
“Kama hatuna la kufanya tusilalamike." "Shoga hali iliyonitokea na majibu ya mume wangu, inaonesha kabisa nyumba imenisahau na mwanangu muda si mrefu ataniita shangazi badala ya mama.”
“Umeona eeh! Tubadilike.”
Baada ya kazi hakutaka kufanya za ziada ambazo zingemuingizia fedha za muda wa ziada katika mshahara wake. Alipita sokoni na kununua mahitaji ya jioni kisha alirudi nyumbani.
Alipofika alijifunga upande wa kanga na ndani alikuwa na kufuri tu, kisha aliingia jikoni kuandaa chakula cha mumewe. Aliandaa chakula kitamu ambacho aliamini mumewe atakipenda.
Baada ya kumaliza kupika alikiandaa vizuri juu ya meza na kwenda kujimwagia maji kisha alijipulizia utuli uliomfanya anukie sana na kujifunga upande wa kanga nyepesi bila kitu ndani na kukaa mkao wa kumpokea mumewe.
Tumu naye siku aliwahi kurudi ili asimuudhi mkewe, alipofika mkewe alimpokea kwa kumkumbatia na kumbusu kisha alimshika mkono hadi chumbani.
Alipofika alimvua nguo zote kisha alimfunga upande wa kanga na kumpeleka bafuni kuoga. Wakiwa bafuni alikumbuka mwanzo wa mapenzi yao, kwani kabla ya kuoana walikuwa marafiki baada ya penzi kukolea ndipo walipotangaza ndoa.
Snura alianza kumliza mumewe chozi lisilo na msiba bafuni, Kitendo kile kilimshtua sana Tumu na kujiuliza mke wangu alikuwa na ajenda gani siku ile. Toka mchana alikuwa mkali pia hata kutaka baadhi ya mambo ya ndani afanye mwenyewe.
Wasiwasi wake huenda machale yamemcheza kuwa karibu na Teddy. Hakutaka kuhoji alitaka kuona mwisho wake. Baada ya kutoka kuoga Snura alitenga chakula kitandani. Walikuwa salesale maua hakuna aliyekuwa na nguo mwilini.
Walikula kwa kulishana kama ndege, kwa vile Snura alikuwa amejiandaa muda mrefu alijikuta akipandwa na mzuka na kusahau kama walikuwa wakilishana baada ya kupeleka chakula kilichokuwa mdomoni kwake mumewe alipoteremsha mdomo aliudaka na kuanza kudendeka.
Walijikuta wamesahau kama walikuwa wakila na kujikuta wapo katikati ya bahari. Snura kujituma kukumbushia enzi walipoanza mapenzi, japokuwa kulikuwa na tofauti ya mwili. Zamani alikuwa na mwili mdogo na mwepesi kwenye nyonga lakini baada ya kunenepa alijitahidi lakini nyonga ilikuwa nzito.
Mchakamchaka haukuwa wa kitoto kila mpira ulipotua Snura alifika, faulo ulipiga yeye kona yeye golikiki yeye kutupa yeye. Mpaka wanakwenda mapumziko palikuwa pamechimbika bila jembe.

Nini kitaendelea?
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 13
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500

ILIPOISHIA:
Walijikuta wamesahau kama walikuwa wakila na kujikuta wapo katikati ya bahari. Snura kujituma kukumbushia enzi walipoanza mapenzi, japokuwa kulikuwa na tofauti ya mwili. Zamani alikuwa na mwili mdogo na mwepesi kwenye nyonga lakini baada ya kunenepa alijitahidi lakini nyonga ilikuwa nzito.
Mchakamchaka haukuwa wa kitoto kila mpira ulipotua Snura alifika, faulo ulipiga yeye kona yeye golikiki yeye kutupa yeye. Mpaka wanakwenda mapumziko palikuwa pamechimbika bila jembe.
SASA ENDELEA...

Waliposhtuka walikuta kitanda kimetapakaa tambina mchuzi zingine zikiwa zimewaganda mwilini.
“Mmh! Kazi kwelikweli kumbe unaweza,” Tumu alimtania mkewe.
“Mume wangu kazi zinanikosesha raha ya mapenzi.”
“Sasa tutafanyaje?”
“Hakuna cha kufanyaje, nimerudi rasmi sitaki tena mchezo.”
“Hakuna tatizo mke wangu.”
“Mume una mwanamke wa nje,” Snura alianza kulia wivu.
“Kwa nini mke wangu?”
“Mbona siku hizi una hamu na mimi?”
“Mke wangu mapenzi gani ya upande mmoja, hivi penzi tamu kama hili hata kila siku sitalichoka.”
“Basi mume wangu nitajitahi kurudisha furaha yako, nakupenda mume wangu.”
“Hata mimi nakupenda mke wangu.”
Walikumbatiana bila kujali kama wamelala kwenye mchuzi na tambi. Penzi lilikuwa shatashata kama ndiyo siku yake ya kwanza kukutana kimapenzi. Tumu alishangazwa na mkewe kumpa kitu ambacho kilikuwa kigeni katika medani ya mapenzi. Hata vilio vilikuwa vipya kama mtoto wa mbwa mwenye njaa alivyokuwa akinung’unika.
***
Tokea siku ile mambo yote muhimu ya ndani aliyafanya mwenyewe Snura na kuifanya nyumba yake kurudisha furaha iliyopotea. Chakula chote cha usiku alipika mwenyewe na kula na mumewe ambaye naye alibadili ratiba ya kuwahi nyumbani ili asimuudhi mkewe.
Kazini nako alijipanga kuhakikisha haaribu sehemu yoyote, kazi ilikwenda vizuri na mumewe alipata penzi kamili lililomfanya ayafurahie maisha ya ndoa.
Wakati Snura akifurahi penzi lake, hali ilikuwa mbaya kwa Teddy aliyekuwa amezoea kujilia kwa upole kwenye shamba lililokosa mwenyewe.
Kutokana na tajiri yake kuliacha shamba bila mlinzi na ngedere kama Teddy kujilia kwa upole. Baada ya Snura kugundua udhaifu wake na kuamua kurudi kwenye shamba lake. Kwa upande wa Teddy iligeuka kuwa mateso mazito.
Kila usiku kwake ulikuwa mrefu usingizi ulimkimbia kabisa kwa kutamani angalau apate hata mguu wa jini ili apate angalau kulala, lakini Snura alikuwa akikaba mpaka penati.
Kila alipozidiwa alitumia maji ya moto kupunguza mateso ya wadudu wadogowadogo waliokuwa wakinyemvua vibaya. Lakini alijikuta akiyazoea na kufanya kila aalipoyatumia hayakupunguza kitu chochote.
Siku moja alishtuka usiku wa manane baada ya kuota yupo katika ya mnazi wa Tumu akikaribia kuyafikia madafu. Haja ndogo iliyoharibu ndoto yake.
Baada ya kutoka kujisaidia alijikuta kwenye wakati mgumu sana. Kwa bibi kulikuwa na hali mbaya kama kachambia pilipili na mkunaji hakuwepo. Alinyanyuka hadi sebuleni na kukaa kwenye kochi akiwa na upande wa kanga bila kitu kingine mwilini ili kuvizia labda Tumu angetoka.
Kila dakika hali ilizidi kuwa mbaya, alijikuta akiamua liwalo na liwe. Alisogea hadi kwenye mlango wa chumba cha tajiri zake. Wazo la kugonga lilikuja lakini alijiuliza akitoka Snura atamwambia nini.
Alijua kama atatoka Tumu hatakuwa na tatizo kwani atamueleza tatizo lake. Kila alipotaka kugonga moyo ulisita. Alijikuta alia mwenyewe baada ya wadudu kuzidi kunyemvua. Alijikuta akirusha miguu kama anakanyaga moto.
Alipata wazo la kurudi kwenye kochi kuvulimia huenda Mungu akabariki Tumu akatoka. Lakini alijikuta akipitiwa usingizi bila kujua.
Tumu alikuwa wa kwanza kuamka na kuelekea sebuleni kuangalia magazetini kwenye tivii. Alipotoka sebuleni alishtuka kumkuta Teddy akiwa amejilaza akiwa ametanua miguu, mguu mmoja ulikuwa juu kwenye mkono wa kochi. Kidole gumba cha mkono wa kulia kilikuwa mdomoni na kukinyonya kama mtoto mdogo ananyonya chupa ya maziwa na kidole cha kati cha mkono kushoto kilikuwa kwenye kisiwa cha burudani.
Alishtuka sana kwa kujua kama mkewe angewahi kuamka ingekuwa picha mbaya ambayo lazima ingetoa picha ya madhambi aliyofanya na Teddy.
Alitembea haraka mpaka alipokuwa amelala na kumtikisa ili aamke aende chumbani kwake.
Alipofika alipokuwa amejilaza Teddy huku akinyonya dole gumba na kidole cha kati kikitafuta kitu kilichojificha ndani. Alijikuta akisisikwa na kutamani kumsaidia kwa analojia badala ya kujipa raha kwa dijitali, lakini bahati mbaya mkewe alikuwepo.
Kingine kibaya mkewe kujirudi hakutaka kumwacha mumewe wakati wa kwenda kazini kama zamani ambapo Tumu alimaliza haja zake asubuhi.
Kila alipotoka alifuatana na mumewe kwenye gari moja na jioni Snura alikuwa akiwahi kurudi kabla mumewe hajarudi.
Kitu kile kilimnyima nafasi Teddy ya kujivunia shamba lisilo na mwenyewe.
“Teddy...Teddy,” alimwita kwa sauti ya chini.
Lakini Teddy hakumsikia aliendelea kula raha aliyojipa mwenyewe na kuthibitisha usemi wa raha jipe mwenyewe. Tumu aliendelea kumwita kwa sauti ya chini bila mafanikio.
Alipoona hasikii alimtikisa kwa mkono huku akiendelea kumwita. Teddy alifumbua macho taratibu na kukutana na Tumu. Kama nyani alimrukia huku akilia.
“Shemeji ndo unanifanya nini?”
“Te..Teddy niachie.”
“Sikiachii mpaka unipe haki yangu.”
“Subiri basi kwanza.”
“Nisubiri nini, leo siku ya ngapi unanipita kama daladala lililojaa mbele ya trafiki.”
“Teddy hebu niachie dada yako akiamka itakuwa soo.”
“Ili isiwe soo nipe hata mguu wa jini.”
“Sasa hapa nitakupaje, basi tangulia chumbani kwako.”
“Sitangulii hapa mguu kwa mguu.”
“Mmh! Haya.”
Tumu hakuwa na ujanja aliongozana Teddy hadi chumbani kwake. Walipofika Teddy hakusubiri, alimfanya Tumu kama mhindi wa kuchemsha kwa kumtoa maganda kisha kumsukumia kitandani.
Akiwa kama teja aliyekuwa akibembea kwa hamu aliudandia mnazi na kuanza kuukwea mwenyewe bila msaada wa mwenye mnazi. Alipoanza kujivuta kama funza mzee kuelekea juu ili afikie nazi, sauti ya Snura kumtafuta mumewe. Iliwashtua na kumfanya Tumu amsukume Teddy aliyeanguka chini ya kitanda.
Sauti ilizidi kuita huku ikielekea upande wa chumba cha Teddy, kitu kilichowaweka wote kwenye hali ngumu. Tumu alimlaumu Teddy kimoyomoyo na kujua hata kama nyumba yake itavunjika au kuingia katika migogoro atakuwa yeye.

Nini kitaendelea?
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 14
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500
...ILIPOISHIA:

Sauti ilizidi kuita huku ikielekea upande wa chumba cha Teddy, kitu kilichowaweka wote kwenye hali ngumu. Tumu alimlaumu Teddy kimoyomoyo na kujua hata kama nyumba yake itavunjika au kuingia katika migogoro atakuwa yeye.
SASA ENDELEA

Lakini baada ya muda sauti ilionekana kuondoka eneo lile kuonesha baada ya kumkosa amekwenda kumtafuta kwingine. Tumu akiwa amevaa nguo zake wasiwasi ulimjaa, alitoka taratibu huku akiomba Mungu asikutane na mkewe.
Alipofika sebuleni paliwa patupu, kwa haraka alikwenda kufungua mlango wa kutokea nje. Lakini kabla hajamalizia mkewe alitokea.
“Mume wangu unatoka wapi?”
“Nje.”
“Nje! Kufanya nini?”
“Wakati natazama magazeti kwenye tivii jirani aliniita.”
“Alikuwa na shida gani?”
“Gari la lilikuwa haliwaki,” Tumu alitengeneza uongo.
“Mume wangu ufundi wa magari umejifunzia wapi?” Snura alimshangaa mumewe.
“Mke wangu ukiisha kuwa na gari lazima ujue matatizo madogomadogo na jinsi ya kuyatatua.”
“Mi ndo maana nilikueleza tuweke tivii ndani kwa tabia yako ya kuniacha kitandani peke yangu.”
“Lakini wewe ndiye uliyekataa kuweka tivii chumbani kuwa inakupigia kelele.”
“Ni wakati ule.”
“Lakini hii kubwa hatuwezi kuiweka hii ndani kwa vile inatumika kwa watu wote.”
“Basi leo nikirudi jioni narudi na tivii ndogo ya chumbani.”
“Hakuna tatizo.”
“Yaani mume wangu niliposhtuka usingizini nilikuwa na hamu na la asubuhi. Nimetoka nikajue upo sebuleni lakini hola, nilijikuta nakwenda kukutafuta msalani kwa jinsi nilivyoshikika.”
“Pole mpenzi wangu.”
“Sijapoa, twende ndani ukanipe haki yangu.”
Tumu aliongozana na mkewe chumbani la kumpa la asubuhi kisha walioga pamoja kujiandaa kwenda kazini. Wakati wao wakila raha zao Teddy chumbani alikuwa akiteseka na kujilaumu kuwachokoza nyuki wakati hana mbio matokeo yake wamemuuma chini.
Kwa jinsi alivyokuwa ameshikika, hata nguvu za kunyanyuka kitandani hakuwa nazo. Alijikuta akiichukia ile nyumba na kuwa tayari kuondoka siku ileile kwa vile hali aliyokuwa nayo shetani wake ndiye aliyekuwa akijua. Hakutaka kujisindikiza kwa vidole kama kinanda kwa kuamini muwasho anaokuwa akisikia kwa kujipapasa kama kinanda aliona sawa na kujikuna na vidole butu visivyo na kucha ambavyo haviondoi muwasho.
Aliapa moyoni siku ile hata iwe vipi atamtafuta hata mtu wa nje na kumpa fedha ili tu ammalize muwasho wake, kwani aliamini siku ile ingepita bila kupata angeweza kupoteza uhai.
Kama wangekuwa vidudu vya maralia vingepimwa basi vingekutwa milioni moja vinavyoweza kumuua mgonjwa mara moja, ndivyo hali aliyokuwa nayo Teddy baada ya kuupanda mnazi nusu na kusukumwa na tajiri yake baada ya kusikia sauti ya mkewe akimtafuta.
Wadudu wadogowadogo walikuwa wakinyemvua kama wanataka kutoka nje. Bwawa lilijaa maji na kuanza kuchafua shuka. Mateso yalipozidi alianza kulia na kusahau asubuhi ile alitakiwa kuandaa chakula cha bosi wake na cha mtoto.
Aliendelea kujilaza kitandani huku akipiga miguu kwa nyuma kama yupo ndani ya maji. Aliamini njia ya kumtafuta mtu wa nje ingeweza kumbakisha kazini. Bila hivyo hakuwa na budi ya kuondoka.
Akiwa bado amejilaza kitandani bila kitu chochote mwilini. Snura baada ya kujiandaa alikwenda mezani kupata kifungua kinywa. Alipofika alishangaa kukuta hakuna kilichoandaliwa mezani. Alishtuka na kujikuta akielekea chumbani kwa Teddy akiwa na hasira.
Mlango wa chumbani kwa Teddy ulikuwa kazi, aliingia bila hodi. Alishangaa kumkuta Teddy alilala kifudifudi mikono kailalia kwa ndani huku miguu akipiga kwa nyuma kama anaogelea.
“Teddy!” alimwita kwa sauti.
Teddy hakujibu aliendelea kupiga miguu kwa nyuma kitu kilichomshtua Snura. Alisogea hadi kitandani na kumtikisa.
“Teddy una nini?”
Teddy hakujibu aliendelea kulala, Snura alishtuka na kumtikisa.
“Teddy mdogo wangu una nini?”
“Tumbo dada,” alijibu kwa sauti ya chini.
“Limefanya nini?”
“Linakata.”
“Tokea saa ngapi?”
“Usiku.”
“Mbona hujatuamsha?”
“Nilijua litapoa.”
“Mmh! Sasa itakuwaje?”
“Acha tu dada litapoa tu.”
“Haiwezekani, itabidi shemeji yako akupeleka hospitali mi nawahi kazini.”
“Hapana dada nyie nendeni tu litapoa.”
“Wee Teddy lisipoe toka usiku lipoe asubuhi, hapana mi naenda kazini lakini shemeji yako atakupeleka hospitali, kitakachoendelea atanijuza.”
“Sawa dada,” kauli ile Snura aliiona ndiyo tiba sahihi ya maradhi yake.
“Baba Gift,” Snura alimwita mumewe kwa sauti ya juu.
“Naam.”
“Mkeo anaumwa.”
“Nini?”
”Tumbo.”
“Limemuanza lini?”
“Usiku.”
“Mbona hakusema?”
“Alijua litapoa.”
”Sasa.”
“Itabidi ubaki ili umpeleke mkeo hospitali.”
“Hakuna tatizo.”
Kauli ile ya kubakia Tumu kidogo imfanye Teddy apige vigelele kwa kuona mtego asio utegemea umenasa.
“Sasa mdogo wangu hebu amka ukaoge ili shemeji yako akupeleke hospitali.”
Teddy alinyanyuka na kujifunga upande wa kanga na kutembea kisanii kwa kuinama kuonesha tumbo linamuuma. Alikwenda kuoga na kupewa huduma ya kwanza ya kunywa glasi ya maji moto na kujifanya limeanza kupoa.

Nini kitaendelea?
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 15
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500

ILIPOISHIA:
Kauli ile ya kubakia Tumu kidogo imfanye Teddy apige vigelele kwa kuona mtego asio utegemea umenasa.
“Sasa mdogo wangu hebu amka ukaoge ili shemeji yako akupeleke hospitali.”
Teddy alinyanyuka na kujifunga upande wa kanga na kutembea kisanii kwa kuinama kuonesha tumbo linamuuma. Alikwenda kuoga na kupewa huduma ya kwanza ya kunywa glasi ya maji moto na kujifanya limeanza kupoa.
SASA ENDELEA...

“Teddy lazima upate tiba kamili.”
“Sawa dada.”
“Basi mi niwahi kazini, kama tumbo limepoa kidogo basi mtayarishie Gift chakula kisha muelekee hospitali.”
“Hakuna tatizo dada.”
Snura aliondoka kuwahi kazini na kumwacha Teddy akielekea jikoni kuandaa chakula cha mtoto. Tumu alijua nini kinaendelea kwa kuamini kabisa Teddy alikuwa haumwi chochote, ili kupata uhakika baada ya mkewe kuondoka alimfuata jikoni na kumuuliza.
“Teddy kweli unaumwa?”
“Ndiyo.”
“Nini?”
“Subiri nikifika kwa daktari utajua.”
“Sawa malizia basi ili nikupeleke hospitali kisha niende kwenye kazi zangu.”
“Sawa.”
Teddy aliandaa chakula cha mtoto, baada ya kumlisha na kumuosha alimbembeleza na kulala. Alimlaza sebuleni kitu kilichomshangaza Tumu.
“Teddy mbona umemlaza mtoto wakati tunataka kwenda hospitali?”
“Kwani tatizo nini, si kwenda hospitali tutakwenda tu hofu ondoa.”
“Mmh! Haya,”Tumu alijibu huku akipeleka macho kwenye runinga.
Teddy baada ya kukamilisha kila kitu cha muhimu. Aliamini muda muafaka wa kupata tiba imewadia. Aliingia chumbani na kuvua nguo zote na kubakia kama alivyo zaliwa.
Baada ya zoezi lake kukamilika alimwita Tumu.
“Shemeji.”
“Naam.”
“Njoo.”
Tumu bila kujua anachoitiwa alikwenda na kuingia chumbani. Alishtuka kumkuta Teddy hana nguo.
“Vipi Teddy?”
“Safi, mbona unashangaa?”
“Ndiyo, mbona upo hivyo?”
“Kipi cha ajabu?”
“Hakuna cha ajabu, kwa nini umevua nguo?”
“Ili unitibu maradhi yangu.”
“Teddy si unaumwa tumbo?”
“Walaa, ila upupu ulionipaka uliponiacha chumbani ndiyo unaonisumbua hebu nikune uwahi kwenye kazi zako.”
“Na hospital?”
“Nikafanye nini?”
“Si unaumwa tumbo?”
“Mimi siumwi tumbo.”
“Mbona ulimwambia dada yako unaumwa tumbo?”
“Sasa ulitaka nimwambie nanuka shombo ulilonipaka wakati anakutafuta?”
“Ha..ha..pana.”
“Sasa, bila kusingizia ugonjwa angekubakiza leo? Kila siku kakuganda anajua mwenye kuwashwa ni yeye wengine hatuwashwi na kukunwa.”
“Lakini Teddy, si..si..si.”
“Shemu usiniudhi hebu nipe haki yangu ili uwahi kazini.”
“Akiuliza umetibiwa wapi?”
“Mwambie hospitali yoyote.”
“Akitaka cheti?”
“Shida yake cheti au kupona kwangu, baada ya tiba yako atanikuta nimechangamka kama nimetiwa ndimu.”
“Mmh! Sawa,” Tumu naye alikuwa sitaki na taka kwani alilimisi penzi live la Teddy binti mchanga.
Naye mashetani yalianza kumpanda kila jicho lake lilipotua kwenye mwili mchanga wa Teddy hasa ‘dodo’ waswahili wanaita embe nyonyo almaarufu mkoa wa Morogoro maeneo ya Mzinga, ambazo hutakiwi kutumia kisu zaidi ya mdomo kunyonya ndipo utafaidi utamu wake.
Mahanjamu yalimpanda Tumu na kujikuta yupo katikati ya mnazi huku Teddy akitoa kilio cha mtoto wa mbwa aliyekuwa akifurahia nyonyo ya mama yake aliyoikosa toka asubuhi. Mchana uliingia bila kujijua kwani kila wapomaliza na kupumzika kidogo na kuendelea kutokana na kila mmoja kuwa na hamu na mwenzake baada ya kukosana kwa muda mrefu.
Snura kazini baada ya kumaliza kazi zake majira ya saa tano alimpigia simu mumewe kutaka kuja hali na Teddy, lakini simu iliita bila kupokelewa, alirudia zaidi ya mara kumi bila kupokelewa.
Alijaribu namba ya Teddy nayo iliita bila kupokelewa. Hali ile ilimtia wasiwasi na kuamini huenda Teddy amezidiwa. Wazo la haraka lilikuwa kuomba ruhusa ili arudi nyumbani kwenda kuangalia kinachoendelea kwani kazi ilimshinda.
Alikwenda kwa bosi wake kuomba ruhusa ili akaangalie hali ya msichana wake wa kazi aliyewacha mgonjwa na kuruhusiwa. Aliingia kwenye gari na kurudi nyumbani.
Snura aliendesha huku akiwa na mawazo mengi kuhusu msichana wake wa kazi na hali aliyomwacha nayo asubuhi. Wasiwasi wake mkubwa labda amezidiwa sana. Alijikuta akimlaumu mumewe kushindwa kumtaarifu kwa njia ya simu kipi kinaendelea.
Kibaya zaidi kilichozidi kumchanganya simu zote alizopiga kwa mumewe na msichana wa kazi ziliita kwa muda mrefu bila kupokelewa zilidizi kumchanganya.
Wakati akikaribia nyumbani Teddy na Tumu walikuwa wanatoka kuoga kama mtu na mkewe. Sauti ya gari nje ilimshtua Tumu alipochungulia nje alishtuka kuona gari la mkewe.
“Mungu wangu! Mama Gift,” alisema macho yamemtoka pima.
“Nani?” Teddy aliyekuwa amesimama ameshikilia kanga bila kuifunga alishtuka na kuuliza kama hakusikia.
“Mke wangu?”
“Mkeo wako nani?” Teddy naye alichanganyikiwa.
“Snura.”
“Yupo wapi?”
“Teddy najificha chumbani kwako akija mwambie nimekurudisha muda si mrefu unatoka kuoga na hujambo umekutwa huna ugonjwa wowote na sasa hivi hujambo huumwi tena na mimi nimekwenda kazini na Gift amekula ameshiba na amelala,” Tumu alipagawa.

Nini kitaendelea?
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 16
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500….
ILIPOISHIA:
“Teddy najificha chumbani kwako akija mwambie nimekurudisha muda si mrefu unatoka kuoga na hujambo umekutwa huna ugonjwa wowote na sasa hivi hujambo huumwi tena na mimi nimekwenda kazini na Gift amekula ameshiba na amelala,” Tumu alipagawa.
SASA ENDELEA...
“Jamani shemu nitaweza kujibu yote hayo mengine naweza kusahau.”
Sauti ya geti kufunguliwa ilizi kuwaweka kwenye hali mbaya, Tumu kumshika mkono Teddy na kukimbilia naye hadi chumbani kwake.
“Teddy mi naingia uvunguni, mjibu nilivyo kwambia sawa?”
“Sawa, sijui kama nitaweza yaani natetemeka mpaka utumbo.”
Snura alipofika mlangoni alisukuma mlango na kukuta umefungwa. Alibonyeza kengele iliyoashilia yupo mlangoni. Teddy kabla ya kwenda kufungua mlango alijipa ujasiri kwa kuvuta hewa ndani na kuitoa kisha alifuta mikono usoni na kusema.
“Mmh! Sina jinsi, liwalo na liwe.”
Alikwenda mpaka mlangoni na kufungua, alijenga tabasamu la uongo huku akisema:
“Karibu dada, mbona umerudi mapema?”
“Tuachane na hayo yote, unaendeleaje?”
“Sijambo.”
“Umekwenda hospitali?”
“Ndiyo.”
“Vipi, umepata tiba?”
“Ndiyo.”
“Unajisikiaje kwa sasa?”
“Mmh! Sijambo, huwezi kuamini yaana nina nguvu kama kifaru.”
“Wamesema tatizo nini?”
“Wamesema sina ugonjwa wowote ni mshtuko wa mwili wamenipa dawa za maumivu.”
“Mmh! Pole sana, shemeji yako ameondoka saa ngapi?”
“Kama saa moja iliyopita.”
“Sasa kwa nini hajanijulisha afya yako wala nisingekuja huku.”
“Aliponifikisha tu aliondoka sijui alipigiwa simu na nani?”
“Na wewe mbona hupokei simu?”
“Ooh! Yaani jinsi nilivyokuwa hata simu niliisahau nyumbani. Na niliporudi nilifikia kujilaza kidogo na muda huu niliamka na kuoga ili niandae chakula cha mtoto na changu.”
“Kama hujisikii vizuri ungepumzika nitakupa hela ya chakula cha mchana na jioni.”
“Hapana dada nipo sawa,” Teddy kwa msisitizo alirukaruka kuonesha yupo sawa.
“Basi nimekubali, sasa huyu mwanaume atakuwa wapi?” alisema huku akitoa simu kwenye pochi na kumpigia mumewe.
Ajabu baada ya kuweka sikioni simu ya mumewe iliita kwenye kochi palepale sebuleni. Teddy alishtuka na kuona ameumbuka mpaka tumbo lilimpundika na kuhisi tumbo la kuhara, lakini Snura hakuwa na wazo hilo.
“He! Na hii simu vipi?” alisema huku akiichukua na kukuta Missed calls zaidi ya ishirini kuonesha haijaguswa muda mrefu.
“Hata najua, labda amesahau,” Teddy alijitahidi kujibu japokuwa angebanwa sana angechemka.
“Basi haraka zake hizo, sijui alikuwa anawahi nini mpaka kusahau simu. Sasa mdogo wangu kwa vile nimekuta hujambo, wacha mi nirudi kazini.”
“Hakuna tatizo, usiwe na wasiwasi nipo fiti kama chuma,” Teddy alizidi kumtoa hofu Snura.
“Hata mi naona kama asubuhi ulikuwa vile sasa hivi upo hivi. Ila simu sitaichukua najua lazima atarudi tu muda si mrefu. Shemeji yako toka nimjue hajawahi kuacha simu zaidi ya dakika tano. Leo nashangaa inawezekana ugonjwa wako na haraka ya huko anakokwenda kumfanya asahau simu.”
“Inawezekana.”
“Haya wacha niwahi maana sikuwa na amani moyoni, Gift amelala.”
“Akila akashiba hana tatizo ndo maana nafanya kazi zangu kwa nafasi.”
“Haya kwa heri.”
Snura aligeuza na kuwahi kazini, Teddy alimsindikiza kwa macho mpaka gari lilipopotea machoni mwake ndipo aliposhusha pumzi ndefu na kupiga alama ya msalaba huku akisema:
“Asante Mungu.”
Kweli wanadamu tunamgeuza Mungu babu yetu, yaani atoke kwenye kumchukiza halafu amshukuru kwa lipi, unamwambia asante badala ya kusema.
“Asante shetani,” kwa vile yeye ndiye mhamasishaji mkubwa wa maovu.
Alikwenda hadi chumbani na kumueleza Tumu mkewe ameondoka.
“Bwana eeh! Hebu toka mkewe amekwisha ondoka.”
“Mmh! Leo nilikuwa naumbuka mzee mzima.”
“Mmh! Halafu kwa nini ulitaka kuchoma picha.”
“Kivipi?”
“Simu si uliisahau juu ya kochi.”
“Mungu wangu! Amesemaje?”
“Amejua umesahau wala akuhoji kitu na kuamini utarudi muda wowote kwa vile hujawahi kutembea bila simu.”
“Alikwenda chumbani?”
“Walaa, aliposimama wakati ananikuliza ndipo alipogeuza na kurudi kazini.”
“Mmh! Kwa vile hana wasiwasi na wewe ndipo maana hakutilia mashaka.”
“Basi ondoka uwahi kwenye mihangaiko yako unipe uhuru wa moyo.”
“Nimechoka lakini sina jinsi lazima niondoke mmejua kunitesa leo kama mliambiana. Lakini lazima niondoke ili nipate la kunitetea.”
“Kuanzia leo kumbuka una wake wawili ndani ya nyumba wote tunahitaji haki sawa.”
“Nitajitahidi nitakupangia siku zako.”
“Sawa, siyo kila siku hata mara mbili kwa wiki inatosha, ukishikwa sana na mamaa, hata mara moja kwa wiki, basi isipite wiki bila kuyashusha mashetani yangu.”
“Sawa mama.”
Snura alirudi hadi ofisini mapema tofauti na jinsi alivyoondoka mpaka shoga yake Edna alimuuliza.
“Vipi mbona mapema?”
“Nimemkuta hajambo.”
“Lakini si ulipata ruhusa kwa nini usirudi kesho?”
“Kukaa nyumbani peke yangu mpaka jioni nitaboweka, bora ingemkuta mzee najua siku ingekuwa nzuri.”
“Tena siku hizi husinzii au ushaanza kumtengea mzee ajipakulie na kuondoa vyombo?”
“Walaaa, shoga nimejipanga, huwezi kuamini leo muadhini ndiye aliye tutenganisha na asubuhi nilipoamka nikawa sawa,” Snura alijitapa kwa kujisikia.
“Unatumia nini ili kutochoka sana?”
“Walaa, nimejipanga, nilijiachia sana lakini mwanamke nafanya kazi zote za jioni na mume wangu anapata haki yake mpaka anasema basi.”
Nini kitaendelea? Endelea kufuatilia.
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 17
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500….

ILIPOISHIA:
“Walaaa, shoga nimejipanga, huwezi kuamini leo muadhini ndiye aliye tutenganisha na asubuhi nilipoamka nikawa sawa,” Snura alijitapa kwa kujisikia.
“Unatumia nini ili kutochoka sana?”
“Walaa, nimejipanga, nilijiachia sana lakini mwanamke nafanya kazi zote za jioni na mume wangu anapata haki yake mpaka anasema basi.”
SASA ENDELEA....

“Basi shoga nami nimeliazisha kwangu, juzi shemeji yako alipodondosha dafu moja kama kawaida akataka kuteremka kwenye mnazi nikamwambia anakwenda wapi usiteremke juu ya mnazi mpaka uangeshe nazi tatu.”
“Mmhu, ikawaje?”
“Jamani mbona nilimuonea huruma baba yule, kumbe naye alijizoesha akiangusha dafu moja anateremka, la pili aliweza kudondosha lakini la tatu mwanaume kachemka mpaka nikamuonea huruma.
“Na asubuhi nilipoamka nilimwacha amelala, lakini leo kaniapia lazima atalipa kisasi kwa hiyo shoga kesho kazi zikinishinda ujue mwenzio nimepigika.”
“Wala usihofu, ulinibeba nitakubeba.”
Mashoga walicheka na kugongeana mikono huku wakiendelea na kazi.
****
Tumu ilibadili utaratibu angalau mara moja kwa wiki alimpa haki yake Teddy ambaye kidogo ilimpunguzia mateso na kufanya mambo yaende vizuri ndani.
Teddy alianza kupendeza na kunenepeana na kuonekana mwanamke aliyepevuka kama embe bivu huku Tumu akizidi kuchanganyikiwa na binti mchanga.
Alianza kujishangaa kuchukia baadhi ya vyakula vya ndani na kichefuchefu cha kila mara kitu kilichomfanya aende kumuuliza shoga yake aliyekuwa akifanya kazi nyumba ya pili.
Wakiwa wanatoka sokoni alimweleza shoga yake hali iliyokuwa ikimtokea muda ule.
“Koleta kuna hali imenitokea kama siku nne hivi siielewi.”
“Hali gani Teddy?”
“Sasa hivi baadhi ya vyakula vinanishinda, pia kichefuchefu hakiniishi bila kulamba ndimu natamani kutapika.”
“Mmh!” Koleta aliguna.
”Mbona unaguna?”
“Wee, isiwe mimba.”
“Mimbaaa?” Teddy alishtuka.
“Ndiyo, hizo dalili huwa za mimba.”
“Mungu wangu kama mimba nimekwisha mtoto wa kike nitamwambia nini dada,” Teddy aliingia woga.
“Kwani una mpenzi?”
“Ndi..ndi..ha..hapana,” Teddy alibabaika.
“Teddy mbona sikuelewi?”
“Hapana sina.”
“Sasa kama huna mwanaume inaweza kuwa maralia japo dalili zako ni za mtu mwenye mimba.”
“Mmh! Sijui itakuwaje?”
“Kwani vipi?”
“Mwenzangu huu utata kama kweli ni mimba, kwa usalama wangu lazima nitoloke bila kuaga.”
“Wewee, vipi mzee alikuwa akila raha?”
“Ndi..ndi.. ha..ha...pana.”
“Teddy mbona una jichanganya, hebu kuwa mkweli, kama unakula kipi cha ajabu?”
“Koleta naomba leo uniache tutazungumza baadaye.”
“Hebu sikiliza ndugu yangu, kama ulikuwa ukila raha na bosi wako hakuna kigeni kwani mtu akijipendekeza we kula tena na mshahara unapanda.”
“Lakini dada akijua nina ujauzito wa mumewe anaweza kuniua.”
“Kwani mama Gift anajua?”
“Hajui.”
“Sasa wasiwasi wako nini, mbona hata mimi najilia kitoga bila woga kwa bosi wangu.”
“Sasa nitafanyaje kama nina mimba?”
“Mweleze aliyeiweka ili mjue mtafanya nini?”
“Na dada akiniuliza?”
“Mwambie mwenye mimba ulikutana naye kwa bahati mbaya hujui anapokaa.”
“Mmh! Nitajitahidi.”
“Lakini kwanza ukapime maralia ujue tatizo.”
“Nitafanya hivyo shoga yangu.”
Teddy aliagana na Koleta na kuwahi kupika, alipofika nyumbani aliandaa chakula huku kipande cha ndimu kipo pembeni.
Jioni aliporudi bosi wake alikificha kipande cha ndimu na kukila kwa kujificha. Baada ya kukosa kulamba ndimu kwa muda mrefu uzalendo ulimshinda na kujikuta akikimbilia nje kutapika.
Hali ya kutoka mbio ilimshtua sana Snura na kuamua kumfuatilia nje. Alipofika nje alimkuta Teddy amechutama akitapika. Alipofika alisimama nyuma yake na kumwacha atapike kwanza.
Baada ya kutapika alifukia matapishi na kutaka kurudi ndani, alipatwa na mshtuko baada ya kumuona dada yake kasimama nyuma yake.
“Ha! Dada?”
“Vipi mdogo wangu unaumwa?”
“Ndiyo dada sijisikii vizuri toka mchana.”
“Mbona hujasema?”
“Nilijua hali ninayoisikia labda itakata.”
“Mdogo wangu mbona sikuelewi unasumbuliwa na nini?”
"Dada hata sijui, nimekuwa nachukia baadhi ya chakula na kusikia kichefuchefu."
"Mmh! Mdogo wangu isiwe mimba!"
"Mimbaaa? Ha..ha..pana!" Teddy alijifanya kushtuka sana.
"Eeeh mbona umeshituka?"
"Haa..a.pana haiwezekani!" Teddy bado alizidi kutengeneza usanii japokuwa hofu ilizidi kumjaa moyoni na kuamini kama kweli ni ujauzito angejitetea vipi.
"Lakini usiogope labda ni maralia..twende tukaangalie hospital."
Kwa vile muda ulikuwa bado, Snura alimpigia simu mumewe kumjulisha kuwa anakwenda hospitali kumpeleka Teddy aliyekuwa hajisikii vizuri.
Walitoka na gari hadi kwenye hosptali ya Huruma iliyokuwa karibu na wanapoishi. Walipofika walikwenda moja kwa moja kwa daktari aliyewapokea.
”Karibu mama Gift.”
“Asante, Sakina leo upo usiku?”
“Ndo’ nataka kutoka.”
“Vipi shoga mbona usiku bi shost?”
“Msichana wangu hajisikii vizuri.”
“Anasumbuliwa na nini?”
“Teddy hebu mwelezee daktari tatizo lako,” Snura alimgeukia msichana wake wa kazi.
“Nasumbuliwa kichefuchefu mwili kuchoka pia hata baadhi ya vyakula vimekuwa sivipendi.”
“Mmh! Hebu akapime damu na haja ndogo.”
“Sawa daktari.”
Aliandikiwa cheti cha kwenda maabara, waliongozana hadi maabara na kuchukua vipimo na kurudi kusubiri majibu. Baada ya muda waliitwa kwa daktari. Waliingia na kukaa kwenye kiti, baada ya kutulia daktari aliwasomea majibu.

Nini kitaendelea?
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 18
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500….

ILIPOISHIA:
Aliandikiwa cheti cha kwenda maabara, waliongozana hadi maabara na kuchukua vipimo na kurudi kusubiri majibu. Baada ya muda waliitwa kwa daktari. Waliingia na kukaa kwenye kiti, baada ya kutulia daktari aliwasomea majibu.
SASA ENDELEA...
“Majibu yanaonesha kwenye damu ana maralia kidogo, lakini kwenye haja ndogo anaonesha ana ujauzito.”
Majibu yale yalimfanya Teddy abubujikwe na machozi huku akisema kwa sauti ya chini akiwa ameshikilia mikono kifuani.
"Eeh! Mungu wangu balaa gani hili!" kitu kilichomfanya Snura ahoji:
"Mdogo wangu kushika ujauzito ni balaa? Wakati kuna watu wanapoteza mamilioni ya fedha kutafuta watoto?"
"Si kwa njia hii."
"Kwani umempata kwa njia gani, umebakwa?”
“Hapana sijabakwa."
“Sasa tatizo nini?”
"Huwezi kuamini baba ya mtoto huyu hayupo."
"Amekwenda wapi?"
"Sijui."
"Basi mdogo wangu wewe sasa hivi si mfanyakazi bali ndugu nitailea hiyo mimba, nitamweleza shemeji yako nina imani atanielewa. Usihofu jione mtu uliye na haki ya kupata mtoto tena una haki ya kuitwa mama."
"Na..a..a..shukuru dada," Teddy alijibu huku akifuta machozi na michirizi ya kamasi nyembamba. Snura alijua msichana wake wa kasi kuna siku alionja na kuruka na ujauzito na bwana mwenyewe kaingia mitini.
Lakini alikuwa tayari kumwacha lazima nimuoneshe na yeye shukrani zake kwa yote aliyomfanyia ya kumlindia nyumba na mwanaye kipenzi Gift. Alipanga kutafuta mfanyakazi mwingine wa kumsaidia Teddy kutokana na hali ile.
Waliporudi nyumbani Snura alimtoa hofu Teddy kwa kumuhakikishia kuilea ile mimba mpaka atakapojifungua na kisha kumtafutia kazi.
“Teddy mdogo wangu usiwe na wasi kama baba wa mtoto hataonekana basi mimi nitamtunza na akikua nitakutafutia kazi.”
“Asante dada nashukuru.”
Baada ya kuandaa chakula cha usiku Tumu alirejea nyumbani akiwa hajui lolote. Snura alipomuona mumewe akirudi alimweka Gift kwenye kochi na kwenda kumpokea mumewe.
“Waaawoo mai bebiii,” alimkumbatia kabla kumpokea mizigo. Baada ya kukaa kwenye kochi alipewa maji na kunywa na kuulizwa habari za kazi.
“Pole na kazi mume wangu.”
“Asante, Pole na wewe.”
“Asante mpenzi wangu.”
Snura alichukua mizigo aliyompokea na kuipeleka chumbani, akiwa amejilaza kwenye kochi alimuona Teddy amekaa ameshika tama akionekana mtu mwenye mawazo mengi. Walipokutanisha macho Teddy aliangalia pembeni kitu kilichomfanya amuulize mkewe aliyekuwa akirudi toka chumbani alipopeleka mizigo ya mumewe.
“Mamito.”
“Abee Papito.”
“Vipi mama Gift alikuwa na tatizo gani?”
“Mmh! Sasa mkeo mama kijacho,” alijibu huku akitabasamu.
“Una maana gani?”
“Kumbe matatizo yote mkeo ni mjamzito!”
“Etiii?” Tumu alishtuka mpaka glasi aliyokuwa ameshikilia mkononi ikamponyoka na maji kidogo kumwagikia.
“Mume wanguuu kipi cha ajabu mpaka ujimwagie hivyo maji?”
“Si ajabu, lakini namuona Teddy mdogo.”
“Mume wangu siku hizi wanaume wanapima mguu ukitosha kwenye kiatu watu wanatembea bila wasiwasi.”
“Mmh! Haya.”
“Ila mume wangu pamoja na mtu aliyempa ujauzito hajulikani muda wote Teddy atakuwa hapa mpaka atakapo jifungua.”
“Na kazi?”
“Nitamtafutia msichana wa kazi, sasa hivi Teddy si msichana wa kazi bali ndugu wa kuzaliwa tumbo moja. Kanitunzia Gift wangu kama mwanaye wa kumzaa.”
Kauli ile iliuchoma moyo wa Teddy na kumfanya ajutie kufanya mapenzi na mume wa tajiri wake na kushindwa kujizuia na kuangua kilio kwa sauti kubwa. Kitu kilichowashtua wote pale.
“Teddy nini mdogo wangu?” Snura alimfuata Teddy na kumkumbatia.
“Dada inauma, ningeyajua haya nisingekubali.”
Kauli ile ilimtisha Tumu na kumfanya mapigo ya moyo yamwende mbio na kujua kila kitu kingekuwa wazi kama vazi la kahaba. Ili kuikwepesha aibu alimfinya jicho Teddy aliyekuwa amekumbatiana na mkewe na macho yake kumtazama yeye.
Alisema kwa uti ya kibubu.
“Usimwambie kama ni mimi,” Tumu alisema huku amekusanya mikono kama anaungama.
Maneno yalimfanya Teddy azidi kulia kwa uchungu na kumfanya Snura aingie kazi ya kumbembeleza.
“Mdogo wangu si nimesema nitakulea wewe na mwanao?”
“Sawa dada lakini inaniuma sana, ningeyajua yote haya nisinge kubali.”
“Pole mdogo wanangu najua hukutegemea, yote maisha tu mdogo wangu.”
Muda wote huo Tumu alimbembeleza bila sauti ili asimtaje mwenye mimba.
"Dada nashukuru kwa yote uyaseamayo..lakini..laki..," hakuendelea kuongea alianza kulia kitu kilichonifanya Snura ajiulize kuna siri gani ya ujauzito ule. Mmh, au ame..ha.aapana, aliyapinga mawazo yake kwa nguvu zote.
Tumu hali iliyokuwa pale sebuleni mapigo ya moyo yalimfanya ajisikie vibaya na kuamua kuondoka kwenda chumbani kusubiri bomu lilipuke. Moyoni aliapa kupinga kwa nguvu zote na kumfukuza kama mbwa Teddy kama atawanga mtama ule.
Baada ya kuelekea chumbani Snura aliendelea kumbembeleza msichana wake wa kazi aliyeonekana ameshtushwa sana na ujauzito ule.
"Teddy una siri gani moyoni mwako mdogo wangu?..au shemeji yako ame..aah...," Teddy alimkata kauli Snura huku akiwa amemtumbulia macho yaliyoonekana vizuri ukubwa wake kwa kusema:
"Shemeji amekwambia nini?"
"Hajaniambia lolote ila nilikuwa na wasiwasi labda kuna siku alikueleza neno baya kama ukibeba ujauzito na kukufanyia ukose amani ya moyo wako," Snura alimuuliza kwa sauti ya upole.
"Walaa basi tu, sijui kwa nini umeshika ujauzito huu?"
"Aah! Teddy mdogo wangu wewe si wa kwanza kushika ujauzito, kibaya ungekuwa unasoma," Snura alijikuta akiingia katika kazi ya kumtuliza Teddy aliyepaga baada ya kujijua mjamzito.
"Unafikiri mtoto asiye na baba na mimi sijui hatma ya maisha yangu hasa nikizingatia familia yangu ilivyo maskini wa kutupa lazima mtoto wangu atapata tabu."
"Apate tabu ya nini na sisi tupo na hatujaonyesha kukutenga zaidi ya kukujali na kukuona zaidi ya ndugu zangu. Teddy wema ulioupanda hauta oza milele," Mmh! Makubwa kauli yangu ile ilimfanya Teddy alie kwa sauti na kumfanya Snura achanganyikiwe na kujiuliza kwa nini analia vile.
"Dada inatosha maneno yako yanauchoma moyo wangu...inatosha dada," Teddy alisema huku akijilaza kifuani kwa Snura.

Nini kitaendelea?
 
CHOMBEZO: Mzee wa Dodo
SEHEMU: 19
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500….
ILIPOISHIA:
"Apate tabu ya nini na sisi tupo na hatujaonyesha kukutenga zaidi ya kukujali na kukuona zaidi ya ndugu zangu. Teddy wema ulioupanda hauta oza milele," Mmh! Makubwa kauli yangu ile ilimfanya Teddy alie kwa sauti na kumfanya Snura achanganyikiwe na kujiuliza kwa nini analia vile.
"Dada inatosha maneno yako yanauchoma moyo wangu...inatosha dada," Teddy alisema huku akijilaza kifuani kwa Snura.
SASA ENDELEA....
"Mmh! Teddy mbona sikuelewi kama umeambiwa ukipata ujauzito unakufa, hata hao walioathirika hawako hivi."
"Unajua dada nimewaongezeeni mzigo."
"Hapana mdogo wangu, ondoa wazo hilo jisikie ni mmoja wa familia, Teddy huwezi kuamini nakupenda hata kuliko ndugu zangu wa tumbo moja."
"Ndiyo maana moyo unanisuta dada."
"Hapana, nipo pamoja na wewe muda wote na siku zote sasa hivi ni zaidi ya ndugu, Teddy umenifanyia mambo makubwa pengine bila kuwepo wewe nyumba yangu ingeyumba, nakupenda sana."
Maneno yale yalikuwa makali sana moyoni kwa Teddy ambaye aliona amefanya kosa kubwa sana. Pamoja ya kupendwa na Snura na kumpa kila kitu alimchukulia mume kibaya zaidi amebeba ujauzito wake.
“Sawa dada nimekelewa nashukuru kwa kunijali.”
“Basi kapumzike kazi zote za usafi nitafanya mimi.”
“Hapana dada uwezo wa kazi ninao wewe pumzika tu, nitamaliza kazi zote.”
“Basi wacha nikazungumze na shemeji yako ikiwa pamoja na kukupatia msichana wa kazi wa kukusaidia mapema.”
“Sawa dada.”
Snura alielekea chumbani kumfuata mumewe aliyetangulia na kumkuta akiwa mbali kimawazo.
“Vipi mume wangu naona upo mbali kimawazo?”
“Kwani Teddy amekueleza nani mwenye ujauzito?” lilikuwa swali lililomtoka mdomoni Tumu alijaa wasiwasi wa kutajwa.
“Anasema hamjui.”
“Sasa hiyo mimba kapata ndotoni?”
“Sasa kama aliyempa hajui yupo wapi tufanyeje?”
"Mke wangu la muhimu unaonaje kama Teddy akienda kwao akatunzie ujauzito wake lakini matumizi tutamtumia kama kawaida?"
"Mume wangu yaani tumtoe mjini kwenye huduma nyingi za kiafya tumpeleke kijijini, kisa cha kumuua au kumpotezea mtoto. Pengine ndio yai lake hilo hilo moja unataka akose mtu wa kumwita mama."
"Mke wangu huyu mtoto wa watu tumrudishe kwa wazazi wake kuepusha lawama.”
"Au mume wangu ni wewe ndiye unayemuona Teddy ni mzigo basi nasema hivi haondoki nitamuhudumia mimi."
"Mke wangu walaa, muulize kama kuna siku nilimuuliza kuhusu mambo yake kwanza mimi mambo ya wanawake yananihusu nini?" Tumu alijitetea.
"Basi kaa kimya niachie mimi, huyu Teddy ni zaidi ya ndugu zangu ametulea sisi na mtoto wetu."
"Mimi sina neno,” Tumu alikubaliana na mkewe kwa shingo upande.

Usiku ulikuwa mrefu kwa Tumu kila alipofikiria ujauzito wa Teddy alichanganyikiwa. Aliamini kabisa msala ule ni wake, wazo la haraka lilikuwa kumshawishi aitoe ili kurudia amani ya moyo wake. Aliamini kabisa ipo siku lazima atasema ukweli na kusababisha kuivuruga ndoa yake.
Pamoja na mkewe mwanzo kutompa ushirikiano kitandani lakini alikuwa na mapenzi ya dhati hakupenda kumuudhi kama mkewe akijua amempa ujauzito msichana wa kazi ambaye mwanzoni alikuwa akimdharau.
Alisubiri mkewe amelala na kukoroma aliamka taratibu kitandani na kutembea mwendo wa kunyata hadi mlangoni na kuzungusha kitasa cha mlango taratibu bila kutoa kelele na kuufungua mlango kisha kunyata kutoka nje.
Alitembea peku mpaka kwenye chumba cha Teddy na kuzungusha kitasa nacho kilitii amri na kuusukuma ndani kisha aliingia bila kumshtua Teddy aliyekuwa amepitiwa na usingizi.
Kwa vile ndani palikuwa giza aliwasha taa na kumkuta msichana wa kazi amejilaza kihasarahasara bila kitu chochote mwilini. Alijikuta akipandwa na mzuka lakini hakutaka kuziruhusu hamu zake kwani sicho alichokuwa amekifuata kwa muda ule.
Alisogea hadi kitandani na kupiga goti na kumtisikisa Teddy taratibu aliyekuwa amejiachia kwa raha zake kila kitu kilikuwa wazi.
“Teddy...Teddy,” alimwita kwa sauti ya chini huku akiendelea kumtikisa.
“Mmh!” Teddy aliitikia bila kufumbua macho.
“Teddy amka mara moja.”
Teddy alifumbua macho na kukutana na shemeji yake akiwa amemuinamia, alikurupuka na kumkumbatia kwa kupitisha mikono nyuma ya shingo na kumvutia kwake.
“Mmh! Afadhali nimekuja mpenzi mtoto anataka kuongezwa viungo.”
“Teddy sicho kilichonileta.”
“Sawa lakini nipe huduma ya kwanza hali ni mbaya,” Teddy alisema huku akiutafuta mdomo wa Tumu ili ampe denda.
“Teddy nisikilize kwanza kilichonileta kabla ya kufanya unayotaka kuyafanya.”
“Shemeji siwezi kukuelewa zimejaa nilikuwa naota tupo pamoja na kujikuta nikiteseka peke yangu. Lakini kumbe upo karibu yangu.”
“Teddy taratibu.”
“Taratibu nini mwenzio navujiwa nasikia baridi.”
Teddy alisema huku akielekea ikulu kwa kupapasa kama kipofu.
“Teddy na..na..omba kwa..kwanza unisiki..li..ze ,” Tumu alijikuta akipata kigugumizi cha ukubwani baada ya Teddy kufanikiwa kuingia kwenye shamba la muhogo na kuanza kuumenya kwa mdomo.
Teddy hakuwa na shida ya kumsikiliza zaidi ya kuendelea na shughuli yake huku chini hali ikizidi kuwa mbaya bwawa lilijaa na kumwaga nje. Baada ya mchicha kukolea nazi mtoto wa kike alimpanda farasi wake na kuanza mwendo kwa kupanda na kushuka juu ya mgongo kwenye mabonde.
Tumu naye hakutaka kuonekama mshiriki bali mshindani, ilianza kama mzaha mara moto ukashika majani makavu, hukuwepo bali shetani wako alikuwepo. Mtoto wa kike alijituma huku akitoa kilio cha kuonewa ambacho kilikuwa kama chachandu yenye kuongeza ladha ya chakula na kumfanya Tumu asahau kilichompeleka usiku ule.

Nini kitaendelea?
 
SEHEMU: 20
MTUNZI: DR AMBE
SIMU: 0713646500….

ILIPOISHIA:
Tumu naye hakutaka kuonekama mshiriki bali mshindani, ilianza kama mzaha mara moto ukashika majani makavu, hukuwepo bali shetani wako alikuwepo. Mtoto wa kike alijituma huku akitoa kilio cha kuonewa ambacho kilikuwa kama chachandu yenye kuongeza ladha ya chakula na kumfanya Tumu asahau kilichompeleka usiku ule.
SASA ENDELEA....

Teddy mashetani yalipanda na kuanza kutaja jina:
“Tu..tu..tummmmu.”
“U..u..na..nasemaje?”
“Muongezee viungo mtoto ili afanane na wewe...aah sikio hilo Tumu, mtoto hajakamilika ooh! Jicho hilo jitahidi mpenzi wangu mtengeneze mwanao afanane na wewe..mmmh! pua hiyooo...oo..oo..ongeza viungo mpenzi mtoto akamilike. Tumu mwanao nitamwita jina la baba yako...aah! noo nitamwita jina la mama yakoooo ..ha..ha.ki ya..ya..a nani mtoto kopi laiti na baba yake usimkatae mwanao...tu..tu..tuuuuu....mmmmmu,” mtoto wa kike alipanda juu kama mkizi aliporudi chini alitulia alikuwa amemaliza safari ndefu.
Teddy alishusha pumzi ndefu na kutulia tuli kitu kilichomtisha Tumu na kufanya amsogelee na kumshika kifuani na kukuta anahema kwa mbali.
Alijiuliza ameua au vipi, lakini kitu kama kile hakikuwa kigeni kwake. Alimwangalia Teddy alijiyekuwa amejilaza akiwa hoi bin taabani na kujua alichokifuata hatokipata. Alimlaza vizuri na kumfunika kisha aliondoka kurudi ndani akiwa amekosa alichokifuata.
Japokuwa alitaka kupata ukweli juu ya ujauzito ule lakini maneno ya Teddy ulimuhakikishia ule ni wake hivyo alitakiwa kufanya mpango kuhakikisha anautoa kabla mambo hayajabumbuluka. Alipofika alikwenda bafuni kujiswafi na kurudi kitandani kujilaza pembeni ya mkewe.
Kabla hajalala mkewe aligeuka na kumwita.
“Bebii.”
“Naam.”
“Upo wapi mpenzi wangu?”
“Nipo sweet.”
“Nasikia baridi mpenzi nikumbatie.”
Tumu alimsogelea mkewe na kumkumbatia huku akiomba Mungu asilianzishe kwa vile alikuwa amechoka sana.
“Mpenzi.”
“Naam.”
“Mbona hunipi ushirikiano.”
“Upi tena si nimekukumbati?.”
“Joto lako limenitia hamu nishike huku mpeenzi,” Snura aliongelea puani.
Tumu ambaye alitegemea kumkuta mkewe amepitiwa usingizi alichanganyikiwa. Lakini alipanga kumpiga mkewe pigo moja pigo la nguvu pigo lililo nyooka ambalo litamfanya apate muda wa kupumzika. Baada ya kushika alipoelekezwa, mkewe mashetani yalipanda na kusubiri kupungwa.
Lakini ajabu pikipiki ya Tumu alipopigwa kiki alikataa kuwaka.
Snura aliingia kwenye kazi ya kupasha moto kiporo cha mnofu ambao ulioneka kwa muda ule hauliki.
“Baba Gift leo una nini?” Snura alishtuka kwa vile hali ile hakuwahi kuiona katika ndoa yake, siku zote alimjua mumewe moto mara moja.
“Hata sijui,” Tumu alijitetea.
“Hapana baba Gift lazima leo umetumika,” Snura alilalamika.
“Kutumika wapi mke wangu?”
“Hii nini?”
“Hata mi nashangaa.”
“Baba Gift lazima utakuwa umetumika tu.”
“Hapana mke wangu.”
“Hebu ona kilivyochoka, mume wangu umetumika leo,” Snura alisema huku akiuchezesha mtalimbo uliokuwa umelala dolo.
Tumu alikuwa hana jinsi kwani muziki wa Teddy haukuwa wa kitoto hasa baada ya kuuzoea mnazi wake mtoto wa kike alikuwa akiupanda kama anateremka na kumfanya mwanaume badala ya kuonja ajikute akikwangua mpaka ukoko.
Baada ya mtanange na Teddy kisha mkewe kutaka haki yake muziki kugoma kupigwa kilikuwa kitu ambacho hakukitegemea. Aliamini kama mzigo angemwaga safari moja siyo gari kugoma kabisa kupanda mlima.
Snura hakukubali kuona mchezo unalala alijitahidi kuotesha makucha ya mumewe ili akunwe kwani muwasho ulikuwa mkubwa kama katambaliwa na utitiri. Mtoto wa kike akijitahidi anavyojua huku jasho likimtoka kama maji kuhakikisha anamuamsha aliyelala.
Kila alichokifanya kilikuwa kazi bure na kujikuta akichoka na muda kwenda bila mafanikio. Machozi ya uchu yalitoka huku akiendelea kumshtumu mumewe kuwa ametumika.
“Mume wangu leo umetumika.”
“Hapana mke wangu hata mimi nashangaa.”
“Sasa mbona babu hataki kuamka.”
“Subiri kidogo,” Tumu alitaka kuvuta muda kurudisha nguvu.
“Mume wangu haziwezi kusubiri hali ni mbaya zimejaa sasa zinamwagika.”
“Sasa tutafanyaje?”
“Sijui lakini mpaka nijue mwisho wake.”
Snura aliendelea uipa kashkash bakora angalau isimame dede kama mtoto anayejifunza kutambaa ili aidandie lakini hali ilikuwa tofauti mtalimbo uliendelea kulala ndolo. Kutokana na kutumia nguvu nyingi alijikuta akipitiwa usingizi kutokana na uchovu, aliposhituka alimkuta mumewe kapitiwa usingizi lakini mnofu ulikuwa mkononi ukiwa bado umelala dolo. Hakukubali aliendelea na zoezi lake bila kumuamsha mumewe.
Sauti ya muadhini ilimshtua Snura na kugundua kumbe kumekucha, lakini, ndo kwake kidooogo ndiyo palikuwa panapambazuka jogoo ndo kwanza alianza kuwika kwa kujilazimisha. Hakukata tamaa aliendelea kuupasha moto unofu ambao ulianza kupata joto.
Tumu baada ya kupumzika kwa muda alirudiwa na nguvu na kufanya mkonga kuanza kushika netiweki. Baada ya muda chuma kilikolea moto Snura alimzaba kibao mumewe aliyekuwa usingizini ili ampe mshirikiano.
Tumu kibao kilimpata sawasawa na kuamka usingizini na kuuliza huku macho yamemtoka pima:
“Vipi?” alimuuliza mkewe aliyekuwa amesimama pembeni bila kitu mwilini.
“Hujui?” Snura alimuuliza mkono ameshika kiunoni.
“Sijui nini, umenipigia nini?”
“Acha ujinga, ulivyonifanyia mazuri?”
“Yapi mke wangu?”
“Tumu chuma kikipoa hichoo atatafuta mbeleko ya kunibeba,” Snura alitoa onyo kali kwa mumewe baada ya kuupepea moto kwa shida na kuhofia mbwembwe za mumewe kuuzima.
Tumu aliposhtuka kuwa anatakiwa kuchangamka kuchemsha maji kabla moto haujazima. Kwa haraka alikimvutia chombo majini na kuanza kupiga kasia. Alishangazwa na mkewe siku ile kutatalika kama ndiyo siku ya kwanza kutafuna soseji.
Akiwa amerudi upya nguvu mpya na kasi mpya hakutaka kumuudhi mkewe na kufukia makosa aliyofanya. Mwanaume alijituma kama ndiyo siku yake ya kwanza kukutana na mkewe na kutumia mitindo yote uliyomfanya mkewe aangue kilio kilichomshtua Tumu.
“Nini mke wangu?”
“Siwezi..si..si..we zi..”
“Nini mke wangu?”
“M..m..mh!”
“Nini mke wangu?”
“Si..si..o wewe.”
“Ni nani?”
“Leo mume wangu umekuwa mpya.”
“Kivipi?”
“Nitakwambia...nitakwambia mwisho.”
Snura alipagawa alikuwa kama kidonda kilichowekewa chumvi jinsi raha zilizokuwa zikimchonyota. Si wajinga waliosema ukiwa na hamu hata utafune makalatasi utayaona matamu. Snura alizitengeneza hamu mwenyewe alipoonja utamu ukakolea.

Nini kitaendelea?
 
Back
Top Bottom