Challya
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 469
- 609
Naleta mashtaka kwako baba Paroko, naleta mashtaka kwenu kanisani, mimi na mama ya watoto nyumbani kivumbi na jasho. Nyumbani hapaliki wala hapalaliki, kisa na mkasa Paroko sielewi
Ni wiki ya tatu mfululizo vituko baada ya kituko,
Ni wiki ya tatu baba Paroko kituko baada ya kingine.
Nanyimwa hata haki yangu ya ndoa Paroko nitetee.
Eti nikilala naye nisimsemeshe, nikimgusa napigwa kipepsi!!
Eti tukilala wala nisimchombeze, nikimpapasa napigwa na kisigino.
Ni wiki ya tatu baba Paroko kituko baada ya kituko.
Ni wiki ya tatu haki ya MUNGU kituko baada ya kingine.
Nanyimwa hata haki yangu ya ndoa, paroko nilioa kwanini?
Eti nikilala naye nisimsemeshe, nikimgusa napigwa kipepsi.
Eti tukilala wala nisimchombeze, nikimpapasa napigwa kisigino!!
Ni wiki ya tatu mfululizo vituko baada ya kituko,
Ni wiki ya tatu baba Paroko kituko baada ya kingine.
Nanyimwa hata haki yangu ya ndoa Paroko nitetee.
Eti nikilala naye nisimsemeshe, nikimgusa napigwa kipepsi!!
Eti tukilala wala nisimchombeze, nikimpapasa napigwa na kisigino.
Ni wiki ya tatu baba Paroko kituko baada ya kituko.
Ni wiki ya tatu haki ya MUNGU kituko baada ya kingine.
Nanyimwa hata haki yangu ya ndoa, paroko nilioa kwanini?
Eti nikilala naye nisimsemeshe, nikimgusa napigwa kipepsi.
Eti tukilala wala nisimchombeze, nikimpapasa napigwa kisigino!!