Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habar wana JF kwa wakubwa, Shkamooo! Jioni ya leo katika pita pita zangu nimekutana na kijana yupo anasikiliza huo wimbo kupitia simu ake (****mbele kwa mbele) kweli nilimtizama kwa hasira sana...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hello guys, Kwa wale mnaofuatilia Bb naija lockdown karibuni sana huu uzi ni wetu wetu. ledada
0 Reactions
5 Replies
2K Views
enjoy kama ulikuwa unautafuta na bado unauhitaji!
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Wakuu habari, Nimetokea kukapenda haka kajingle ka Clouds, ka jamhuri ya wapambanaji nadhani ile ni sauti ya Ruby. Naomba ambaye anaweza nisaidia kuipata anipandishie tafadhali.
2 Reactions
1 Replies
5K Views
Kwa wale wanaofuatilia Idols SA season 16. karibuni tutetee. Top 16 hawa hapa. Succedor anajua saana huyu kijana. Nilipenda audition ya groups ile combination yake, Brandon na Bruce Mr Music...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu namba tukutane hapa ili tuweze kupeana movies kali zinazohusiana na mazombi tu na vampire. Zombies wa movi hiz wawe sio wale wa kupiga hatua moja moja yaan hata kukimbia hawawezi...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
SIMULIZI-MJI WA LAANA-1 MTUNZI-SHADU TELL-0677884981 UTANGULIZI..... Kila mwanadamu ana mitihani ya kidunia ambayo inaweza kumkatisha tamaa ili asifikie malengo yake ambayo alikuwa amejipangia...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Wakuu mnakumbuka mwaka flani Jay-Z alikua nomenated kwenye cartegories 8 kwenye tuzo za GRAMMY lakini mwisho wa siku akaambulia zero (sifuri) yaani 0/8? Naona GRAMMY walikusudia kumdhalilisha...
1 Reactions
5 Replies
868 Views
Huyu ndo king wa mziki wa bongo Fleva hatabiliki Hit baada ya hit, hakuna kucopy copy ma idea yamejaa Tem Mziki mzuri dude hili hapa
9 Reactions
49 Replies
6K Views
Wasaalaam wakuu ngoma mpya kutoka katka ufalme, huu hapa ni uchambuzi usio rasimi nitachambua baadhi ya mistari nilio ielewa Alikiba kuna mstari kaimba[emoji116] "Bruu mpaka chini pigooo...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
TATHIMINI YA SOKO LA MUZIKI TANZANIA NA WASANII WA FILAMU Naitwa Don Nalimison ni moja ya Wanamuziki nchini Tanzania ninayefanya mziki katika Lugha ya Kiingereza cha Kiafrika. Leo nataka...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Maana huku mikoani kuna wasanii wa ndani lakini hata hawajulikani na hata media kama radio za ndani ya mkoa hazipigi nyimbo zao.haziwatambui kiujumla
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ahlan wasahlan wanajamvi, Hopefully mko poa. Ni yule yule mzee wa kuumiza gonamwitu a.k.a Santiago Pandamunio a.k.a Masokolindo Mavi ya Kuku. Back to the topic. Kiukweli kunako viunga vya WCB...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
DEDICATED TO IBRA87 RIP, Inspired by true story. UTANGULIZI Katika maisha mapambano hayaepukiki,Wakati wa kutunga mimba mbegu moja ya kiume hupambana na zingine milioni 45 kurutubisha yai...
6 Reactions
90 Replies
22K Views
Nigeria ni nchi ambayo imeendelea sana ukiacha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwenye upande wa burudani wapo vizuri. Wanaijeria ndo wameshikilia soko la muziki na filamu Afrika nzima. Wana...
1 Reactions
3 Replies
826 Views
Nashukuru sana uongozi wa serikali ya wanafunzi wa chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM kwa kunialika kama mgeni rasmi. Leo katika Matembezi ya Amani na wanafunzi wa vyuo kupinga dhana potofu kwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Miaka mingi imepita na siku nazo kusonga tangu Familia ya Mr Spafford aliyeishi huko Chicago Marekani kupatwa na dhoruba na mtikisiko mkubwa na huzuni kuu isiyo na kifani. Mr Spafford alikuwa...
27 Reactions
94 Replies
9K Views
ONYO Hairuhusiwi chini ya miaka 20 UTANGULIZI Kinukamito, ni mwanamke asiyedumu katika mahusiano au ndoa kutokana na sababu mbali mbali. Kusema ni mwanamke ambaye hudhaniwa ana mkosi kutokudumu...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana JF! Please, kama kuna mtu ana kile kibao cha yule mwanamuziki Munishi kinachoitwa CCM naomba anipatie hapa. Yule jamaa yupo wapi siku hizi? "miss sana yule mtu"
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu jamaa ana kipaji hadi upande huu haha
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…