Lavalava kaikalia nafasi yangu pale WCB

gonamwitu

JF-Expert Member
Feb 16, 2018
703
707
Ahlan wasahlan wanajamvi,

Hopefully mko poa.

Ni yule yule mzee wa kuumiza gonamwitu a.k.a Santiago Pandamunio a.k.a Masokolindo Mavi ya Kuku.

Back to the topic. Kiukweli kunako viunga vya WCB huyu msanii wa kuitwa Lavalava kwa uwezo mdogo alionao na kushindwa kubadilika kuendana na gemu, kaishikilia nafasi yangu WCB. Katika nafasi ya Lavalava walitakiwa wanisainishe mimi kutokana na uwezo wangu wa kuandika, kujua kutengeneza melody kali, sauti yenye punch, uwezo wa kuimba aina ya muziki zaidi ya mmoja. Nina uwezo wangu kuchana, kuimba bongofleva, reggae, dancehall n.k

So, baada ya Harmonize kusepa WCB inahitaji kuni-sign msanii kama mimi japokuwa bado sijarekodi ngoma hata moja but I'm still in process coz nilikuwa bize na chuo halafu si unajua masomo ya engineering esp civil engineering ilivyokuwa ya moto. But now I'm done with my college and I'm free to do music so let's wait and see how I'm going to trash them like hell.

Siyo kwa ubaya, siyo kwasababu nina chuki, la hasha! Ila huu ni ukweli mchungu kutoka kwenye kabati ya maktaba ya moyo wangu iliyojaa hekima na busara tele.

"See you at the top guys"
 
Kwa kukumbusha tu , Wale wote wanaoenda kwenye auditions za BSS huwa wanaamini wana vipaji vikubwa sana lakini huwa unaona yanayotokea...



Sent using Jamii Forums mobile app
Muziki ni sauti yenye punch+uwezo was kuimba+creative mind(uwezo wa kuandika,uwezo wa kutengeneza melody Kali na kufanya wimbo uwe hitsong,uwezo wa kufanya zaidi ya aina moja ya muziki,uwezo was kuisoma gemu,uwezo was kubadilika na kuendana na gemu,n.k) katika vitu hivi vyote nilivyovitaja creative mind ndio kitu cha muhimu vingine vyote unaweza kufundishwa so hiki ndicho kinachonitofautisha na hao wa bss,
 
Muziki ni sauti yenye punch+uwezo was kuimba+creative mind(uwezo wa kuandika,uwezo wa kutengeneza melody Kali na kufanya wimbo uwe hitsong,uwezo wa kufanya zaidi ya aina moja ya muziki,uwezo was kuisoma gemu,uwezo was kubadilika na kuendana na gemu,n.k) katika vitu hivi vyote nilivyovitaja creative mind ndio kitu cha muhimu vingine vyote unaweza kufundishwa so hiki ndicho kinachonitofautisha na hao wa bss,

Umeongea vizuri mkuu lakini jitahidi utoe hata nyimbo tatu na ukishapata feedback ya audience ndipo uanze kujiona master. Kama hujawahi fanya lolote zaidi ya kuwa na imani tu ya kuweza, kwa wenye akili utaonekana day dreamer
 
Ahlan wasahlan wanajamvi,

Hopefully mko poa.

Ni yule yule mzee wa kuumiza gonamwitu a.k.a Santiago Pandamunio a.k.a Masokolindo Mavi ya Kuku.

Back to the topic. Kiukweli kunako viunga vya WCB huyu msanii wa kuitwa Lavalava kwa uwezo mdogo alionao na kushindwa kubadilika kuendana na gemu, kaishikilia nafasi yangu WCB. Katika nafasi ya Lavalava walitakiwa wanisainishe mimi kutokana na uwezo wangu wa kuandika, kujua kutengeneza melody kali, sauti yenye punch, uwezo wa kuimba aina ya muziki zaidi ya mmoja. Nina uwezo wangu kuchana, kuimba bongofleva, reggae, dancehall n.k

So, baada ya Harmonize kusepa WCB inahitaji kuni-sign msanii kama mimi japokuwa bado sijarekodi ngoma hata moja but I'm still in process coz nilikuwa bize na chuo halafu si unajua masomo ya engineering esp civil engineering ilivyokuwa ya moto. But now I'm done with my college and I'm free to do music so let's wait and see how I'm going to trash them like hell.

Siyo kwa ubaya, siyo kwasababu nina chuki, la hasha! Ila huu ni ukweli mchungu kutoka kwenye kabati ya maktaba ya moyo wangu iliyojaa hekima na busara tele.

"See you at the top guys"
Kwani hapa bongo kutoa wasanii watano kuna anaye mfikia lavalava kuanzia sauti mpaka utunzi(LAVALAVA NI MOTO MWINGINE).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom