exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Wasaalaam wakuu ngoma mpya kutoka katka ufalme,
huu hapa ni uchambuzi usio rasimi nitachambua baadhi ya mistari nilio ielewa
Alikiba kuna mstari kaimba
"Bruu mpaka chini pigooo
"Unataka uking wa mafumboo
"Mimi ndio baba kingdom
"Tena mnaji show huyu comandoo, steji mafundoo
"wachafu wa roho waongeza zeroo, washung'uno.
Uchambuzi
Bruu mpaka chini pigo = alimanisha ile puuuu mpaka chini harmonize kwenye yanga day alivyo dondoka na kamba harafu bado anjiita jeshi comando
Wachafu wa roho waongeza 000= mara nyingi hii imezoeleka baadhi ya vitu pale wachafu WCB wakifanya jambo huwa wanalikuza ndio maana ya kuongeza sifuri
Mwisho kabisa Alikiba kaona hakuna wa kurithi ufalme wake wa bongofreva kaamua amrithishe mbuzi,
Hapo kwenye mbuzi hili ni fumbo huenda siku za hivi karibuni kingkiba akasitaafu mziki.
Nitaendelea na uchambuzi twende na hii kwanza
Exalioth.
huu hapa ni uchambuzi usio rasimi nitachambua baadhi ya mistari nilio ielewa
Alikiba kuna mstari kaimba
"Bruu mpaka chini pigooo
"Unataka uking wa mafumboo
"Mimi ndio baba kingdom
"Tena mnaji show huyu comandoo, steji mafundoo
"wachafu wa roho waongeza zeroo, washung'uno.
Uchambuzi
Bruu mpaka chini pigo = alimanisha ile puuuu mpaka chini harmonize kwenye yanga day alivyo dondoka na kamba harafu bado anjiita jeshi comando
Wachafu wa roho waongeza 000= mara nyingi hii imezoeleka baadhi ya vitu pale wachafu WCB wakifanya jambo huwa wanalikuza ndio maana ya kuongeza sifuri
Mwisho kabisa Alikiba kaona hakuna wa kurithi ufalme wake wa bongofreva kaamua amrithishe mbuzi,
Hapo kwenye mbuzi hili ni fumbo huenda siku za hivi karibuni kingkiba akasitaafu mziki.
Nitaendelea na uchambuzi twende na hii kwanza
Exalioth.