Leo nimeusikia wimbo wake "Nitakushukuru" wa kitambo kidogo ukaniflashback enzi hizo
Ni Wimbo touchable sana uliotendewa haki sana sio kwa kuimba ni hadi video, mama anaimba, mama ana sauti, mama...
Katika pitapita zangu huko Youtube nimekutana na huu wimbo wa Roma Zimbambwe na hii Comment ya Jamaa imenifungua mengi sana, maana toka wimbo utoke sikuwahi kuelewa.
Je, kuna ukweli wowote...
Wapenzi wa movie wanaelewa nini nimeuliza hapo juu.
Naomba nisipoteze muda sanaaa kwenye hili
Kama umewahi kuona series ya blacklist naam utakuwa unamjua fika Raymond Reddington mzee alietumia...
Nafikili sehemu hii itakuwa muhimu kwetu kujuzana movie mpya na link za kutazama au ku download cha msingi kama unamovie umeisikia ujawai kuiona tuambie na sisi tutakupa link utaweza ku download...
binti jinxiu familia yake inauliwa yote na wajapan anapona peke ake anakwenda mjini huko anakutana n a na dada yake lakini dada hamtaki naye anataka kulipa kisasi kwa vile baba ake na binti...
Evening wakuu
Katika kumalizia weekend nimekaa nacheki hii series ya next daaah huu mzigo ni balaa kwa wale wapenda movie za sci-fi hii si ya kukosa
Nilichoona humu ni kwamba watu tunashangilia...
Tupia wimbo wowote ulioimbwa miaka hiyo unaoukubali.
Ukiwa na maelezo ya wimbo husika (mfano Kwa nini uliimbwa,msanii au wasanii na mwaka uliombwa) itakuwa njema Sana.
Lakini pia unakukumbusha...
THE PALE DOOR
Jake na Duncan ni watoto wawili wa kiume waliotiwa uyatima na majambazi walioua familia yao na kuteketeza kabisa makazi yao kwa moto. Bahati nzuri waliokoka.
Miaka kadhaa mbele...
Huwa siangalii kabisa filamu za Bongo Movie, lakini hii ya Danga naomba niseme kwamba nimekaa madakika mengi naitazama. Ilikuja tu kama recommendation ya You-Tube nikasema niicheki na kukuta...
Nilikua naomba kuuliza jambo ... Kuna hii huduma ya VOD inayomilikiwa na multchoice Africa inaitwa SHOWMAX nilikua nataka kufahamu je kuna muundo mwingine wa malipo wa hiyo huduma mfano mpesa ...
Ngoma inaitwa BABA na imeimbwa na STAMINA, Profesa J na ONE SIX.
Hakika iko kiwango na video yake ni nzuri ikimshirikisha mama Kanumba ambaye kaonyesha kipaji cha hali ya juu kabisa.
Hizi ndio...
Watanzania tumekuwa tukiubeza mziki wa singeli lakini kuna wakati utafika kuna nchi itaupora na kuuongezea ubunifu. Wataupa jina lingine na sisi tutaanza kulalamika kama kawaida yetu.
Singeli is...
RIWAYA: LOVE SPEAR 01
MTUNZI; AUTHOR XAV
NAMBA; 0672493994
Email: xavemmanuel12@gmail.com
----------------------------
UTANGULIZI;
MAPENZI ni moja kati ya njia ambayo kila binadamu anapaswa...
SCRIPT ZA IMA
KUTOKA:KWA MSANII JOTO LA MOTO.
SEHEMU YA KWANZA.
NYUMBANI KWA MR BEN-SEBULENI-USIKU.
Mama Esta, Mama,30, na Mr Beni, bwana, 35, wameketi sofani wakipata chakula huku wakipeana...
Hamjambo wakuu,
Moja kwa moja, ukiwa Zanzibar km wew ni mnywaji usikose kwenda CCM, Nyuki na Mkoa, huku utakutana na pombe na wine aina zote, bila kusahau watoto wazuri kwa wasuza rungu...
Wale wazee wa kuruka tukutane hapa,
Toa jina la ngoma na artist wake ukiweza kwa ngoma ambayo ukiisikia club huwezi kaa chini lazima uruke(ucheze)
Ili tuwaweke sawa ma Dj wetu hapa Bongo.
Crazy...
Kwanza unaweza kufikilia inakuwaje asichukuliwe mwanamuziki wa Marekani au mataifa mengine yaliyoendelea, pili ni kiasi gani cha pesa analipwa mwanamuziki huyo kutoka Afrika ya kaskazini...