Teflonomicss
Senior Member
- Apr 13, 2020
- 150
- 177
Evening wakuu
Katika kumalizia weekend nimekaa nacheki hii series ya next daaah huu mzigo ni balaa kwa wale wapenda movie za sci-fi hii si ya kukosa
Nilichoona humu ni kwamba watu tunashangilia sana ukuaji wa technology ila imagine ile technology inakugeuka na inataka ku wipe existence of mankind ibaki yenyewe na ukizingatia kila tunachotumia now kinategemea technology innovation kuanzia Simu, Magari, na hata silaha za makombora
Haha huku ndani watu wamepigwa matukio mpaka wamechanganyikiwa
Good Evening
Katika kumalizia weekend nimekaa nacheki hii series ya next daaah huu mzigo ni balaa kwa wale wapenda movie za sci-fi hii si ya kukosa
Nilichoona humu ni kwamba watu tunashangilia sana ukuaji wa technology ila imagine ile technology inakugeuka na inataka ku wipe existence of mankind ibaki yenyewe na ukizingatia kila tunachotumia now kinategemea technology innovation kuanzia Simu, Magari, na hata silaha za makombora
Haha huku ndani watu wamepigwa matukio mpaka wamechanganyikiwa
Good Evening