henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,119
Nilikua naomba kuuliza jambo ... Kuna hii huduma ya VOD inayomilikiwa na multchoice Africa inaitwa SHOWMAX nilikua nataka kufahamu je kuna muundo mwingine wa malipo wa hiyo huduma mfano mpesa , tigopesa au airtelmoney ... maana naona wameweka hizo credit card peke yake ?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app