SHOWMAX

SHOWMAX

henry kilenga

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
1,329
Reaction score
1,119
Nilikua naomba kuuliza jambo ... Kuna hii huduma ya VOD inayomilikiwa na multchoice Africa inaitwa SHOWMAX nilikua nataka kufahamu je kuna muundo mwingine wa malipo wa hiyo huduma mfano mpesa , tigopesa au airtelmoney ... maana naona wameweka hizo credit card peke yake ?



Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi leo jamaa hajajibiwa? Hii ndio jamiiforums
 
Mjibu sasa mkuu..

Airtel mastercard,au M-pesa mastercard ..tengeneza kadi then lipia.
Mi situmii hii huduma na sina taarifa kamili.
Ingawa niliona tangazo wateja wa DSTV premium wanapata showmax free.
 
kenya wanafanya na Safaricom kulipa unaweza tumia mpesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom