Nimeusikiliza huu wimbo aisee kijana ameimba kwa hisia saaana.. inawezekana ukawa ndio wimbo unaoamsha sana hisia kuliko zote kwenye nyimbo za maombolezo ya msiba wa raisi wetu Magufuli.
Kuanzia...
TIPWATIPWA TETEMA... OOH TETEMA!- 1
MTUNZI: HASHIM AZIZ Hashpower7113
MWANZO
Sauti ya jogoo aliyekuwa anawika kuashiria mapambazuko ndiyo iliyonizindua kutoka kwenye usingizi mzito. Nilifumbua...
THAMANI YA MTU MWEMA, HUNG’ARA AKISHALALA!
Tenda wema nenda zako, msemo tangia enzi,
Timiza wajibu wako, kwa watu na kwa Mwenyezi,
Iache alama yako, kwa kizazi na vizazi,
Thamani ya mtu mwema...
Wengi hua tunadhani muvi za bongo tu ndio zina vitu vya hovyo. Kiukweli muvi za kizungu pia zina maujinga mengi yasiyo na uhalisia. Hivi ni kati ya vitu vya uongo na vinavyokera hasa kwenye muvi...
Kendrick Lamar amezaliwa 17 /6/ 1987 Lamar alianza kazi yake ya muziki akiwa kijana alikuwa hakifahamika kama K-Dot.
• Kendrick Lamar ni miongoni mwa rapa wafupi zaidi katika Hip-Hop, anaurefu wa...
Ni muda sasa imekuwa nilitafakari sana kuhusu hizi tamthilia za kihindi na za kichina zilizotafsiriwa kwa kiswahili. Kwakweli zimepa mashabiki wengi sana hapa nchini kwetu.
Tamthilia hizi...
MAGUFULI, DAIMA TUTAKUKUMBUKA
Kifo hakina rufani, pia hakina huruma,
Kimempoka kundini, Rais mwenye heshima,
bado ali ujanani, mudawe umesimama,
Daima tutakuenzi, Tangulia Magufuli
Kifo hakina...
Nimejaribu kuangalia video zao nyingi walizoweka You Tube, hawa vijana wanatisha. Kwenye hii kolabo nammiss Ringo na Maufundi, wangewaongeza hawa mbona tungecheka hadi kuzimia[emoji13][emoji13]
Igweeee!
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu kwa msiba mzito wa taifa letu.
Najaribu kupitia mitandao lkn bado sijapata nyimbo za maombolezo.
Tushirikishane tafadhali ht kwa kutaja...
katika album ambazo zipo underrated basi album ya pili ya Albert Mangwear
Nipe ni dili
speed 120
Bata kila sehemu
kimafia
bonnie and clyde
tuko juu
CNN
wakitaa
Bila muziki
Mapenzi gani
inakosaje...
Tanzania songs only
Barua- Daz Nundaz
Kamandaaaaa-Daz Nundaz
Mwanamkiwa - K -sal ft Ferooz
Sauti ya Manka- Gk
Nitakufaje - GK
Maisha ya Bongo - 20%
Tunataabika - Mabaga Fresh
Mama- Mr Nice
Mbona...
Wimbo huu ukipigwa unafanya nimkumbuke baba yangu mzazi enzi hizo tukiwa uwingereza malechela akiwa balozi uk naumia Sana .
Naomba mwenye mashairi yake video zipo utube .
I shall sing sing my...
Hivi vile beat/instrument za kwenye hadithi zile ambayo hua ni za taratibu
YouTube nimejarbu kutafta ila zina kuja za hip hop.
Je, niandikeje ili iwe rahisi kuzipata au hua zinaitwaje?
Soma haya mashairi ya nyimbo zinazopigwa kila uchao na watoto wetu wanasikiliza no wonder nimesoma huko Temeke watoto wanabakana sababu mojawapo ni manyimbo haya yasiyo na maadili. Kwaani BASATA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.