Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna siku nilikua kwenye gari la haya ya mkoani, iliwekwa move moja Kali sana nitahadithia hapa kwa alieiona na kuijua jina aniambie nikaitafute dukani, stori ya move inaanza ilikua familia moja...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
10. Iokote /Maua Sama ft Roma Stamina 9. Niite basi/ Joslin Wakali Kwanza 8. Fresh - Fid Q ft Diamond Platnum 7. Si uliniambia /MB dog ft Yakuza 6. Uswazi take away / Chege ft Diamond 5. Mzee...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa wale wanaokifahamu kipindi cha Our Perfect wedding kinachorushwa na Mzanzi Wethu wamekuwa wakitumia beat ya wamerudi ya Belle 9. Ni moja ya vipindi navyovipenda saana....mara kibao nimekuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni wakati wa kumwomba Mungu. Ni wakati wa umoja. Tanzania nakupenda.
5 Reactions
11 Replies
6K Views
Aiseee nimesikiliza goma jipya la Mboso Khan linaitwa "Yalaah" nimehitimisha Kwa kusema kuwa Mbosso ni fundi mpya wa mashairi hapa mjini...... Director Hanscana ni legend Kitu kingine...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
STORY: JINI KURUTHUMU EPISODE 1 Ni jumapili angavu ndani ya mji wa Moshi, mji uliosheni kila aina ya pilikapilika na purukushani. Jua lilikuwa likielekea magharibi na kulipisha giza lichukue...
2 Reactions
26 Replies
14K Views
Kwa urembo na uzuri wa mama, wanaume wengi walipenda kuwa nae ili awe mke wao. Lakini kati ya wanaume hao wengi ni baba tu aliyebahatika kumuoa mama. Baba alijitahidi sana kuchakarika ili familia...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
RIWAYA: MERISA - JINI MWITU MTUNZI: ZAYNAB TALY Zaynab Taly ni mwandishi chipukizi ambaye ndotozake ni kuja kuwa mwandishi mkubwa katika nchihii. Wapo waliokwisha msoma kazi zake na wapoambao...
1 Reactions
24 Replies
8K Views
NAKUFAHAMU VIZURI MTUNZI: KJM (0718274130) SEHEMU YA KWANZA Niliamka mapema kidogo kuliko kawaida yangu. Nikaingia bafuni na kuoga kisha nikarudi chumbani kwangu. Nikavaa nguo harakaharaka kisha...
3 Reactions
125 Replies
81K Views
RIWAYA: HUJUMA 1 MTUNZI: richard R. MWAMBE UTANGULIZI Tanzania inasonga katika nyanja ya sayansi na teknolojia, inapate uwezo wa kutengeneza silaha kubwa na za kisasa, vitu mbalimbali vya thamani...
7 Reactions
75 Replies
38K Views
RIWAYA:: MAISHA YANGU YA UVUVI MTUNZI:: Author Mudhihili SIMU:: 0652667153 LINDI-RUANGWA SEHEMU YA KWANZA 01 ENDELEA.............. .................Niliweza kuishi Maisha ya tabu baada ya...
3 Reactions
50 Replies
21K Views
RIWAYA: JOTO LA MSHUMAA MTUNZI: MUDHIHILI MNALI SIMU: 0652667153 LINDI-RUANGWA SEHEMU YA KWANZA 01 Anza nayo............... Ndani ya kijiji kimoja kijulikanacho kwa jina la BWAWANI. Kwenye familia...
1 Reactions
36 Replies
10K Views
Hebu wakuu tuje hapa tujadili masuala mbalimbali. Mbinu za uandishi, namna na sehemu za kupublish, masoko, hatimiliki nk. mpasta, Chachasteven, Nelson Ntimba Mogambi Yericko Nyerere Six Man...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Mtunzi: Ally Katalambula SEHEMU YA 01 Awali ya yote, namshukuru mwandishi wa mkasa huu, kaka Ally Katalambula, pamoja na mhariri wa gazeti la Champion ndugu John Joseph ambaye ameipa nafasi...
15 Reactions
245 Replies
72K Views
Mtunzi: Ally Katalambula Sehemu ya 01 Katika dunia ya Mungu kuna mambo mengi ambayo ukihadithiwa unaweza kuona na simulizi ya kutunga na kusisimua. Lakini siku zote kila isifue mvua basi...
10 Reactions
173 Replies
30K Views
TUZO YA KISWAHILI YA MABATI-CORNELL YA FASIHI YA AFRIKA: 2021 Utaratibu wa Kushiriki Tunafurahi kuwajulisha utaratibu wa kushiriki katika mashindano ya Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Hayo yamesemwa na waziri wa habari Mh Innocent Bashungwa wakati kamati ya bunge ilipotembelea ofisi za TBC leo. Waziri Bashungwa tiyari ameshatoa maelekezo suala la visimbuzi vya TBC vianze...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mapigano yapi unaona director aliumiza kichwa? Ride of Rohirrim kwenye Lords of the ring 300 spartans The Hobbit the battle of five armies. Kingdom of heaven battle for Jerusalem...
0 Reactions
8 Replies
817 Views
wakuu natumaini mko salama mimi n mmoja wa watu wanaopenda sana kuangalia movies hasa za kizungu ,napendelea sana sana action movies kuna baadhi ya vitu huwa vinaniumiza kupata fumbuz juu ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom