habarini wanajamvi! poleni na misuko suko
moja kwa mojaa kuna wimbo nimeshindwaa kupata jina au lyrics yake, umeimbwa na msaani kutoka mwanzaa.
baadhi ya lyrics zake,
"jitunze mke wangu, watunze wangu....
na hyo biashara ya dagaaa usiache mamaa...."
nisaidieni
moja kwa mojaa kuna wimbo nimeshindwaa kupata jina au lyrics yake, umeimbwa na msaani kutoka mwanzaa.
baadhi ya lyrics zake,
"jitunze mke wangu, watunze wangu....
na hyo biashara ya dagaaa usiache mamaa...."
nisaidieni