Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ni mwanzo kabisa wa Mwezi Mei.. Kheri ya siku ya wafanyakazi. Mei Mosi. Hii [emoji1484]ni list ya movies [emoji327][emoji897]zitakazotoka kuanzia mwezi huu mpaka mwisho wa mwaka. MAY -Black...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani kuna kipindi ninakisikiliza kinaitwa The Classic mtangazaji ni Jabir Salehe. Aisee jamaa anatisha mnoo, kupitia E fm kila jumamosi
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Dj Khalid baada ya kufanya vizuri na Album yake ya father of Asad. Sasa amerudi kivingine. Amerudi na Album ya Khalid Khalid itakayo achiwa hivi karibu. Track gani unahisi itakuwa moto zaidi...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanangu hamjamboni? Leo tujikumbushe mambo ya kizamani kidogo hasa wapenzi wa reggae kama mimi baba yenu. Japo marehemu Bob Marley aliufanya wimbo wa buffalo soldier maarufu, mtunzi wake ni Giddes...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
"Ana dela jipya chupi ya zamani"... nyimbo kama hii ya Miss Buza inafundisha nini jamii na nyie mmeruhusu ipigwe? Badilisheni jina kutoka BASATA muitwe BANGOTA
1 Reactions
13 Replies
940 Views
Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Dkt. Ezekiel Kiongo amesema kumrushia mtu wimbo bila idhini ya mwenye nao ni kosa hata kama huuzi. Amesema ni kosa kurusha kazi ya mtu mwingine bila kibali...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimejaribu Mara kadhaa kutafuta Ila hakuna movie ya kibongo lakini kwa wenzetu wakenya naona wameweka movie zao. Swali linakuja inawezekana bongomovie hazijafikia level za kimataifa au vipi?
2 Reactions
43 Replies
5K Views
WASANII MNAOIBUKIA KULIKONI? KWANI YOUTUBE NI HIVYO SASA 😨 Sikatai kuwa hata mchicha na mbuyu vilianza sawa, lakini Huu mtindo wakuomba sub 4 sub au kuomba views Na subscribe inbox kama...
0 Reactions
4 Replies
910 Views
Katika harakati za kutafuta maisha, mwishoni mwa miaka ya 90, niliamua kuondoka nyumbani na kuzamia bila passport wala ela ya kutosha. Lengo lilikuwa kufika Italy au Spain kwa maana maisha ya...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Simulizi : MALAIKA WA SHETANI Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES Sehemu ya 1 LANGO uligongwa tena. Safari hii mgongaji aligonga kwa nguvu zaidi. Kwa mbali, sauti yake...
2 Reactions
78 Replies
16K Views
Mangudu Digi... Dark Master Ngwair! Cowboys in the House! Maseeeela, {Maheeela} Cowboys in the House! Maseeeela, {Maheeela} C'mon, Cowboys in the... Maseeela! Nipeni, nipeni dili masela, Nipeni...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Naulizia tu, Mana sioni kiukweli kabisa, na siongelei views hapa
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Hawa watunzi wa Nyimbo za ToT wabadilike Kuendana na Wakati Wa Sasa, Nyimbo Gani Kama Za Miaka ya 1980. Khaaah!
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Kuna huu wimbo wa Jay Helody-huba hulu. Sound yake nakuwa sielewi elewi, kila nikijaribu kuuweka naona unatoa sound ya ajabu, najaribu ku-equalizer lakin bado sound inayotoka haisound poa. Sasa...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani huyu mtu wasanii wakongwe kwenye game nasikia wanamtaja sana, mfano kina Joh Makini, RIP Ngwea. Kwa mwenye kujua huyu mtu alikua ni nani, anafanya nini, na kwa sasa yuko wapi naomba mnijuze...
1 Reactions
34 Replies
14K Views
Mie nitamkumbuka kwa ngoma yake ya 'Ghetto Langu', hii ngoma Ngwea kabla ajaipeleka radio enzi hizo nilikuwa mmoja kati ya watu wa kwanza kabisa kuisikiliza sikuamini kama ingekuwa kubwa kama...
4 Reactions
152 Replies
56K Views
Jaman mwenye huo wimbo naomba anisaidie please
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Wale wapenzi wa ngoma za Dini kuna hii ngoma inaitwa EKUEME, Ekueme ni neno la ki-Igbo huko Nigeria likimaanisha Mungu anayeahidi, anayesema na kutenda ni spirit song nzuri sana ukipata na video...
0 Reactions
1 Replies
825 Views
Wakali wa series mje na vyuma vikali vya moto hapa jf amkosekani tupeane. Izo chini nsha zicheki ziko poa sana na binafsi nazielewa za mtindo huo zenye mwendelezo na sio za kuunga matukio kama 24...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Inafahamika kama Nunchaku. Wengine wa mtaani wanaiita Cheni (kila mmoja uipachika jina lake kwa namna yake). Tupeane experience na mbinu mbili tatu. Uliijulia wapi na ulijifunzia/Fundishwa wapi...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Back
Top Bottom