Tunaompenda huyu jamaa hapo chini

Tunaompenda huyu jamaa hapo chini

April26

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2020
Posts
1,405
Reaction score
2,162
Wasalaam

Njoo, sema unamfaham vipi?

Screenshot_20210512-155534.jpg
 
Niseme niniiii.. Nisemee niniiiiii..... Sina la kusemaaaaaaaaaa!!!! Remmy ni mnyongeee!!


Mwarabu na pajeroo, msukuma na baiskeeeelii!!!
 
Kila nyimbo ya huyu jamaa sina neno tofauti na kusema hakuna anae weza kuimba dance kama yeye karne hii!!

Nasema uongo ndugu zanguni??
Wachangiaji hapa hawatokuwa wengi maana vijana wengi wamezaliwa enzi ya kikwete hawawezi kumjua Dr Remmy
Labda waambie wakuimbie nyimbo za Zuchu na Nandy zilizojaa matusi sijui "baba leta ukuni"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chuchumaa iingie, iokote weka mate itereze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nyimbo za siku hizi ni full kuimba mikuyenge na mbususu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom