abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar wadau wa JamiForums
Nimekaa na kuangalia upepo wa Mashabiki wa simba na matokeo ambayo wameyabeba kwenda nayo uwanjani huenda ikaleta tabu
Kwanini nasema muda sio Mzuri ni sababu Daresalam Tunafturu saa 12 na dakika 28 kwaio muda wa mechi ulio pangwa na ftari ni mda mmoja sababu watu Dar tutaanza kufturu katikakat ya kipindi cha pili na Huenda matokeo yakawa Tayar mezani kwa kua naamini Yanga tunashinda Basi Upande wa pili huenda ftari isipoe kabisa
My take yanga inashinda 3 moja wafungaji
Kaseke
Nchimbi
Feytoto
Nimekaa na kuangalia upepo wa Mashabiki wa simba na matokeo ambayo wameyabeba kwenda nayo uwanjani huenda ikaleta tabu
Kwanini nasema muda sio Mzuri ni sababu Daresalam Tunafturu saa 12 na dakika 28 kwaio muda wa mechi ulio pangwa na ftari ni mda mmoja sababu watu Dar tutaanza kufturu katikakat ya kipindi cha pili na Huenda matokeo yakawa Tayar mezani kwa kua naamini Yanga tunashinda Basi Upande wa pili huenda ftari isipoe kabisa
My take yanga inashinda 3 moja wafungaji
Kaseke
Nchimbi
Feytoto