Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 242
- 431
*Nimejifunza kuwa wachina wanazichukia nchi za Magharibi na washirika wake kama Japani Mfano movie za JET LEE
*Nimejifunza kuwa waafrika tunakumbatia unyonyaji mfano filamu ya blood diamond
*Uchawi upo sehemu zote duniani
*Wazungu wana taaluma kubwa kwenye movie industry mfano prison break
*Waafrika hatuna taaluma ya kutosha kwenye hii industry,mfano Tanzania filamu zimejaa uswahiliswahili ambao hauna tija kuifundisha jamii
*Wamarekani wanazichukia nchi zinazolinda maslahi yake dhidi ya unyonyaji mfano filamu ya Chuck Norris
*Wahusika weusi aghalabu hutumika kama mazimwi,majambazi ambayo yamenyimwa akili ya kumuua starring mweupe,majitu ya kutisha kwenye vita za bunduki.Ni Mara chache hupatiwa uhusika bora.
*Movie za Waafrika hazieleweki zina mtizamo gani juu ya utawala mamboleo
Ni hayo tu niliyojifunza,je ww umejifunza nini???????Share with us.
*Nimejifunza kuwa waafrika tunakumbatia unyonyaji mfano filamu ya blood diamond
*Uchawi upo sehemu zote duniani
*Wazungu wana taaluma kubwa kwenye movie industry mfano prison break
*Waafrika hatuna taaluma ya kutosha kwenye hii industry,mfano Tanzania filamu zimejaa uswahiliswahili ambao hauna tija kuifundisha jamii
*Wamarekani wanazichukia nchi zinazolinda maslahi yake dhidi ya unyonyaji mfano filamu ya Chuck Norris
*Wahusika weusi aghalabu hutumika kama mazimwi,majambazi ambayo yamenyimwa akili ya kumuua starring mweupe,majitu ya kutisha kwenye vita za bunduki.Ni Mara chache hupatiwa uhusika bora.
*Movie za Waafrika hazieleweki zina mtizamo gani juu ya utawala mamboleo
Ni hayo tu niliyojifunza,je ww umejifunza nini???????Share with us.